Mabilioni yaliyofichwa na Hayati Magufuli kwake Chato, serikali ilikaa kimya!

Mabilioni yaliyofichwa na Hayati Magufuli kwake Chato, serikali ilikaa kimya!

Tunakumbusha sio kwa ubaya.

Tundu Lissu aliwahi kufumua uozo wa kufichwa kwa mabilioni huko nyumbani kwa Magufuli. Hakuna mtu aliwahi kukana

Lakini mpaka leo serikali haijatoa tamko kama inachunguza au ilitaifisha. Ni muhimu sana kudeal na ufisadi wa kutisha badala ya kukomaa na tudagaa huko Halmashauri..

Vita ya ufisadi haitakiwi kuwa na macho.

Pia soma Lissu: Dola za Kimarekani Milioni 42 (takribani Tsh. Bilioni 100) zilikutwa nyumbani kwa Magufuli baada ya kufariki
Rushwa ndani ya Chadema imemshinda kutatua sembuse mambo yasiyomuhusu tena ya uongo anayatengeneza tu. Lissu ni wa kuogopwa kama ukoma maana ni muongo muongo sana. Halafu hao wezi wa Halmashauri Arusha ndo wamekutuma uje huku kuwatetea? Kawatetee Mahakamani siyo huku.
 
Ukiwa huna akili timami ni rahisi sana kuamini kuwa mabilioni ya fedha Tena shilingi za kitanzania ( madafu) yanaweza kuhifadhiwa nyumbani kwa mtu kirahisi.
Yaleyale ya chadema kuwaaminisha watu kuwa rizione alikamatwa na dawa za kulevya china
 
Tunakumbusha sio kwa ubaya.

Tundu Lissu aliwahi kufumua uozo wa kufichwa kwa mabilioni huko nyumbani kwa Magufuli. Hakuna mtu aliwahi kukana

Lakini mpaka leo serikali haijatoa tamko kama inachunguza au ilitaifisha. Ni muhimu sana kudeal na ufisadi wa kutisha badala ya kukomaa na tudagaa huko Halmashauri..

Vita ya ufisadi haitakiwi kuwa na macho.

Pia soma Lissu: Dola za Kimarekani Milioni 42 (takribani Tsh. Bilioni 100) zilikutwa nyumbani kwa Magufuli baada ya kufariki
Acha upuuzi.
 
Hakuna msafi kwenye nchi masikini
Watu waliiba mpaka laptop bungeni
Laptop bungeni? Bunge la wapi mkuu? Isije ikawa tukio kama hilo lilitukia Tanganyika, unless otherwise alliyefaya hivyo alilenga kuiba nyaraka na si laptop kama laptop!
 
Lissu amewahi kumueweka Lowasa katika Listi ya mafisadi iliyosomwa MwembeYanga halafu baadae akawa miongoni mwa cheerleaders waliompigia kampeni ili awe rais.

Sidhani kama Lissu ana moral authority ya kutosha kupiga vita ufisadi kama yuko tayari kumpokea, na kumpigia kampeni fisadi ili awe rais wa nchi!
Covid 19
 
Tunakumbusha sio kwa ubaya.

Tundu Lissu aliwahi kufumua uozo wa kufichwa kwa mabilioni huko nyumbani kwa Magufuli. Hakuna mtu aliwahi kukana

Lakini mpaka leo serikali haijatoa tamko kama inachunguza au ilitaifisha. Ni muhimu sana kudeal na ufisadi wa kutisha badala ya kukomaa na tudagaa huko Halmashauri..

Vita ya ufisadi haitakiwi kuwa na macho.

Pia soma Lissu: Dola za Kimarekani Milioni 42 (takribani Tsh. Bilioni 100) zilikutwa nyumbani kwa Magufuli baada ya kufariki
Kwa hiyo na wewe uliamini hizi story za Lissu 😂😂😀😀🤣🤣🤣
 
Tunakumbusha sio kwa ubaya.

Tundu Lissu aliwahi kufumua uozo wa kufichwa kwa mabilioni huko nyumbani kwa Magufuli. Hakuna mtu aliwahi kukana

Lakini mpaka leo serikali haijatoa tamko kama inachunguza au ilitaifisha. Ni muhimu sana kudeal na ufisadi wa kutisha badala ya kukomaa na tudagaa huko Halmashauri..

Vita ya ufisadi haitakiwi kuwa na macho.

Pia soma Lissu: Dola za Kimarekani Milioni 42 (takribani Tsh. Bilioni 100) zilikutwa nyumbani kwa Magufuli baada ya kufariki
Katika jambo ambalo serikali haiwezi kujifunga kitanzi ni hilo la lundo la fedha alizoficha Magufuli nyumbani kwake Chato!
 
Lissu amewahi kumueweka Lowasa katika Listi ya mafisadi iliyosomwa MwembeYanga halafu baadae akawa miongoni mwa cheerleaders waliompigia kampeni ili awe rais.

Sidhani kama Lissu ana moral authority ya kutosha kupiga vita ufisadi kama yuko tayari kumpokea, na kumpigia kampeni fisadi ili awe rais wa nchi!
Teh teh teh teh 😃 😃 😃 futa neno Lissu alafu andika Chadema.

econonist JokaKuu Tindo
 
Umetuangusha chadema digital chawa wa Mbowe!
Ukiniita Chawa wa Mbowe ni sawa na matusi, hakuna Chawa Tajiri, nimefundisha sana humu kuhusu hilo, usiwe mjinga, mimi natoa hela taslimu kusaidia Chadema, ni kama Sabodo wa leo.

Hata huyu Mbowe hatukukutana naye Zakhiem mbagala, tulikutana kwenye vikao vya Diaspora London ndio akatushawishi tuunge mkono Chadema, baadaye tukajumuika naye Washington

Mimi siyo kapuku, Muulize Mwakyembe
 
Ukiniita Chawa wa Mbowe ni sawa na matusi, hakuna Chawa Tajiri, nimefundisha sana humu kuhusu hilo, usiwe mjinga, mimi natoa hela taslimu kusaidia Chadema, ni kama Sabodo wa leo.

Hata huyu Mbowe hatukukutana naye Zakhiem mbagala, tulikutana kwenye vikao vya Diaspora London ndio akatushawishi tuunge mkono Chadema, baadaye tukajumuika naye Washington

Mimi siyo kapuku, Muulize Mwakyembe
Hakika umenena kwa uchungu sana sabodo wa leo mnunulie makamu mwenyekiti gari!
 
Back
Top Bottom