Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SI Ha Sa haina rafiki wala adui wa kudumu, kinachodumu ni mwanasiasa mwenyewe.Baadae huyo huyo Tundu Lisu akaenda na Kardinali kuweka mauwa Kaburini 😂😂😂
Chadema ina Wajinga wengi
hicho kitu nitakifanya Inshaallah!Hakika umenena kwa uchungu sana sabodo wa leo mnunulie makamu mwenyekiti gari!
Kama ulivyobugi kwa Aziz Ki Ndivyo ulivyobugi kwa Magufuli. Una mkufuru Mungu. Usipende kupakaza! Hakufanya hivyoLakini pesa alificha
Wewe ulimuamini huyo Lisu poyoyo msema hovyo?Tunakumbusha sio kwa ubaya.
Tundu Lissu aliwahi kufumua uozo wa kufichwa kwa mabilioni huko nyumbani kwa Magufuli. Hakuna mtu aliwahi kukana
Lakini mpaka leo serikali haijatoa tamko kama inachunguza au ilitaifisha. Ni muhimu sana kudeal na ufisadi wa kutisha badala ya kukomaa na tudagaa huko Halmashauri..
Vita ya ufisadi haitakiwi kuwa na macho.
Pia soma Lissu: Dola za Kimarekani Milioni 42 (takribani Tsh. Bilioni 100) zilikutwa nyumbani kwa Magufuli baada ya kufariki
InshaAllah!hicho kitu nitakifanya Inshaallah!
Tunakumbusha sio kwa ubaya.
Tundu Lissu aliwahi kufumua uozo wa kufichwa kwa mabilioni huko nyumbani kwa Magufuli. Hakuna mtu aliwahi kukana
Lakini mpaka leo serikali haijatoa tamko kama inachunguza au ilitaifisha. Ni muhimu sana kudeal na ufisadi wa kutisha badala ya kukomaa na tudagaa huko Halmashauri..
Vita ya ufisadi haitakiwi kuwa na macho.
Pia soma Lissu: Dola za Kimarekani Milioni 42 (takribani Tsh. Bilioni 100) zilikutwa nyumbani kwa Magufuli baada ya kufariki