OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
kudeal na hisia za watu kazi sana kuhusu jambo Fulani ni changamoto mno, wengine wanahisi vitu vingine kabisa dah. hata hivyo ni kupoteza muda kwa kitu ambacho hakipo πTunakumbusha sio kwa ubaya.
Tundu Lissu aliwahi kufumua uozo wa kufichwa kwa mabilioni huko nyumbani kwa Magufuli. Hakuna mtu aliwahi kukana
Lakini mpaka leo serikali haijatoa tamko kama inachunguza au ilitaifisha. Ni muhimu sana kudeal na ufisadi wa kutisha badala ya kukomaa na tudagaa huko Halmashauri..
Vita ya ufisadi haitakiwi kuwa na macho
Mambo mengine ni ya kuachana nayo tu. Kabisa ulitegemea serikali iliongelee hilo?Tunakumbusha sio kwa ubaya.
Tundu Lissu aliwahi kufumua uozo wa kufichwa kwa mabilioni huko nyumbani kwa Magufuli. Hakuna mtu aliwahi kukana
Lakini mpaka leo serikali haijatoa tamko kama inachunguza au ilitaifisha. Ni muhimu sana kudeal na ufisadi wa kutisha badala ya kukomaa na tudagaa huko Halmashauri..
Vita ya ufisadi haitakiwi kuwa na macho
Lissu kichwani hamupo sawaBaadae huyo huyo Tundu Lisu akaenda na Kardinali kuweka mauwa Kaburini πππ
Chadema ina Wajinga wengi
Naona umeamua kudeal na whistle-blower badala ya wiziBaadae huyo huyo Tundu Lisu akaenda na Kardinali kuweka mauwa Kaburini πππ
Chadema ina Wajinga wengi
Kwani ukatoliki hausisitizi kuzika na kuombea wafu katika huruma za mwili?Baadae huyo huyo Tundu Lisu akaenda na Kardinali kuweka mauwa Kaburini πππ
Chadema ina Wajinga wengi
ufisadi na ubinadamu ni vitu viwili tofauti usichanganye mamboBaadae huyo huyo Tundu Lisu akaenda na Kardinali kuweka mauwa Kaburini πππ
Chadema ina Wajinga wengi
CCM ina wapumbavu wengi sana.Baadae huyo huyo Tundu Lisu akaenda na Kardinali kuweka mauwa Kaburini πππ
Chadema ina Wajinga wengi
Hahaha usiseme chadema malizia chama mfu chadema kichaoongozwa na binaadamu wasiokuwa na akili. Maana mbowe alilamba bil kazaa za lowasa akaja na inaonekana bil kazaa za CCM aunge juhudiBaadae huyo huyo Tundu Lisu akaenda na Kardinali kuweka mauwa Kaburini πππ
Chadema ina Wajinga wengi
Acha propaganda mbaya wewe. Kwa hiyo unataka kusema ni kweli magufuli alificha mabilioni chato? Chato imekua benki? Mjinga sana wewe.Tunakumbusha sio kwa ubaya.
Tundu Lissu aliwahi kufumua uozo wa kufichwa kwa mabilioni huko nyumbani kwa Magufuli. Hakuna mtu aliwahi kukana
Lakini mpaka leo serikali haijatoa tamko kama inachunguza au ilitaifisha. Ni muhimu sana kudeal na ufisadi wa kutisha badala ya kukomaa na tudagaa huko Halmashauri..
Vita ya ufisadi haitakiwi kuwa na macho.
Pia soma Lissu: Dola za Kimarekani Milioni 42 (takribani Tsh. Bilioni 100) zilikutwa nyumbani kwa Magufuli baada ya kufariki
Nchi ukiwa kiongozi ni rahisi kupata misukure yako ya kuaminisha kila kitu nayo ikaamini!Tunakumbusha sio kwa ubaya.
Tundu Lissu aliwahi kufumua uozo wa kufichwa kwa mabilioni huko nyumbani kwa Magufuli. Hakuna mtu aliwahi kukana
Lakini mpaka leo serikali haijatoa tamko kama inachunguza au ilitaifisha. Ni muhimu sana kudeal na ufisadi wa kutisha badala ya kukomaa na tudagaa huko Halmashauri..
Vita ya ufisadi haitakiwi kuwa na macho.
Pia soma Lissu: Dola za Kimarekani Milioni 42 (takribani Tsh. Bilioni 100) zilikutwa nyumbani kwa Magufuli baada ya kufariki
Tupe habari za mwembe yanga!Tunasubiri majibu
Wajinga ndo watakuelewa .Tunakumbusha sio kwa ubaya.
Tundu Lissu aliwahi kufumua uozo wa kufichwa kwa mabilioni huko nyumbani kwa Magufuli. Hakuna mtu aliwahi kukana
Lakini mpaka leo serikali haijatoa tamko kama inachunguza au ilitaifisha. Ni muhimu sana kudeal na ufisadi wa kutisha badala ya kukomaa na tudagaa huko Halmashauri..
Vita ya ufisadi haitakiwi kuwa na macho.
Pia soma Lissu: Dola za Kimarekani Milioni 42 (takribani Tsh. Bilioni 100) zilikutwa nyumbani kwa Magufuli baada ya kufariki