Mabilioni yaliyofichwa na Hayati Magufuli kwake Chato, serikali ilikaa kimya!

Toa upuuzi wako CHAWA wewe
 
Wao wenywewe ni Wezi Sasa unatarajia wafichuane?
 
Alafu kuna watu utasikia eti shujaa wa Afrika,ushujaa gani huo wa kukwapua mali za taifa?
 
Napia usisahau au kujifanya kusahau kuwa.

Ccm wote ukiwepo na wewe mlishiriki kumtukana lowasa mara baada ya kujiunga na cdm.

Lkn mwenyekiti wenu akamribuni na kumrudisha ndani ya ccm.

Mlivyokosa akili mkashangilia sana kama mazuzu tu.
 
Lissu alipekua lini makao ya JPM na kwa kibali gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…