Mabingwa wa Hisabati Tanzania 1966-2015

Moshi Secondary "Ongoza vyema angaza" real proud of you.
 
walikuwa wanachagua wanafuzi watano tuu na baathi ya shule
 
Mimi nilishinda mwaka 1979 na mpaka sasa bado ni cheti lakini jina langu silioni kwenye list hiyo; ngao niliyopewa ilibaki ofisnini kwa Headmaster.
 
Yaan hamna hata aliewahi kushika mwenyekiti serkl za mitaa dc rc

Hope watakuwa kwenye tassisi za dini

Shule haina hurums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…