Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
litutumbwe sijui alipotelea wapi....ni muongo jf nzima, eti kuku wake aliliwa na nyoka, yule nyoka akawa anang'ata minofu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haeleweki haya kidogo yaani. Nilishaacha kusoma post zakeLeo demu kesho men kesho kutwa mtoaushauri
Unique FlowerNa da mau jamani ana fix sijapata kuona!! 🤣🤣🤣
Saa 1 anakuja na uzi wa kurogwa, saa 3 amerudi na uzi wa kutapeliwa kazi, saa 5 anarejea na uzi wanawake hawampendi wanahisi atawaibia mabwana zao wa JF ( wa afu tatu) 🤣🤣🤣🤣
Saa 7 akila nguna kashiba anakuja na dedication song la mahaba ( kashafall in love) 🤣🤣🤣🤣
Jioni anarudi na umri umeenda kuna mtu kamroga na kamtia mikosi..!! Yani ni fix kwa kwenda mbele
Ana kera sanaYule anazichukua fb kwa idd makengo sio zako
Jamaa nishai sana kuna uzi mmoja alidai alijipiga copy mwili wake.Mwili mmoja ukabaki ndani nakala ikaenda kuzurula hukoo.litutumbwe sijui alipotelea wapi....ni muongo jf nzima, eti kuku wake aliliwa na nyoka, yule nyoka akawa anang'ata minofu
Mara alijibadilisha kawa kenge, kaingia jf anatype kwa kutumia mkia 🤣🤣🤣 sijui alituonaje mbwaaa🤣🤣🤣🤣 litutumbwe come backJamaa nishai sana kuna uzi mmoja alidai alijipiga copy mwili wake.Mwili mmoja ukabaki ndani nakala ikaenda kuzurula hukoo.
🤣🤣🤣🤣🤣Mara alijibadilisha kawa kenge, kaingia jf anatype kwa kutumia mkia 🤣🤣🤣 sijui alituonaje mbwaaaaa🤣🤣🤣🤣
leo ume-comment kwa mara ya kwanza nilishazoea ww ni kulike tuWa kwanza wewe hapo Equation x
Mhasibu wa mchongo huyo
Una blend in mkuu [emoji23][emoji23]Jf wote ni waongo siku ya kwanza kujiunga jf nilijikuta mimi ndo maskini pekee wengine wote wanaishi expensive life