Mabinti huwa mnahitaji nini?

Mabinti huwa mnahitaji nini?

Ulipo wewe ndo hawajiamini na kujitambua!!

Nwy kwa kuuliza mabinti wanahitaji nini hutopata jibu unalotaka maana mabinti hawafanani!Nnachohitaji mimi sio sawa na anachohitaji partner wangu AD au mwenzi wako....ndo maana unaona watu wengine wanakimbilia kua na mtu kwasababu ana pesa huku mwingine anakimbia...mwingine yuko na sharobaro wakati mwingine hata kusikia hataki.Hili swali huwezi kujibiwa collectively hata siku moja kwahiyo hata matokeo ya hako kautafiti kako usigeneralize!Ni sawa na unachotaka wewe kwa mwanamke ambae unadhani atafaa kua mke sii sawa na anachotaka jirani yako!


Asante...
 
Asha D usifanye jambo ili uniprove wrong coz hautakuwa real,problem ya mabint ni kuwa hawajitambui,pia sio suala la kuamini kwangu hii ni real kabisa!
 
Ah, kama ni hivyo basi hivi viumbe ni vya ajabu sana. Lakini pia vinatofauitina maana kila kimoja kina na vionjo vyake. Aidha, vingine ni kama kunguru havifugiki.
 
I'm not suprise Liz amekusapoti coz both of u are in the same sex,second ni patna wako kama alivyosema,but nataka kumweleza kuwa huo ndio ukweli,ni tatizo la ulimwengu mzima,sijui unafaham kichekesho cha Beyonce na Damon Dash,halafu Posh Spice na huyo huyo jamaa,huyu jamaa aliwabanjua wote hawa na wapo kwenye ndoa hebu fikiria?Kisha ujiulize kituko cha Tamia na Fabollous wakati wanapiga picha za video wa wimbo so into u remix,baada ya mama huyo kumlazimisha kijana kumbanjua,kisha jiulize kuhusu Posh tena na Fillipo Inzaghi kumbuka alikuwa kwenye ndoa,wanawake bwana
 
I'm not suprise Liz amekusapoti coz both of u are in the same sex,second ni patna wako kama alivyosema,but nataka kumweleza kuwa huo ndio ukweli,ni tatizo la ulimwengu mzima,sijui unafaham kichekesho cha Beyonce na Damon Dash,halafu Posh Spice na huyo huyo jamaa,huyu jamaa aliwabanjua wote hawa na wapo kwenye ndoa hebu fikiria?Kisha ujiulize kituko cha Tamia na Fabollous wakati wanapiga picha za video wa wimbo so into u remix,baada ya mama huyo kumlazimisha kijana kumbanjua,kisha jiulize kuhusu Posh tena na Fillipo Inzaghi kumbuka alikuwa kwenye ndoa,wanawake bwana

Kwahiyo wewe ulileta hii mada ukiwa unaamini unachoamini wala hutaki kusikia tofauti na unavyoamini???!
Kama nia yako ni kujua wangapi wangekusapoti ungefanya kuweka poll wapige kura badala ya kutaka maoni usiyoyataka!Nwy mimi sitetei kwasababu ni mwanamke ila kwasababu MIMI KAMA MIMI NAJUA NNACHOKITAKA....na nnajua wapo wengibe pia wanaofahamu pia wasiofahamu!Kwenye makundi yote wapo nnaowajua personaly!!

Hao unaowaongelea sio wawakilishi wa mabinti ulimwengu mzima kwahiyo sioni uzito wa hoja za mbona Beyonce sijui na nani nani hawajui!Kama wao hawajui haina maana mimi sijui au rafiki yangu nae hajui!
 
Ah, kama ni hivyo basi hivi viumbe ni vya ajabu sana. Lakini pia vinatofauitina maana kila kimoja kina na vionjo vyake. Aidha, vingine ni kama kunguru havifugiki.

Hajifaham but usitumie lugha kali sana,pamoja na matatizo yao tuyajadili kwa upendo na upole best!
 
Okey guys "love is not enough "and in Love women they dont make sense "ndo maana suleiman alioa wanawake 700 na300 concubines,ni ngumu kumuelewa mtu anayetumia hisia kureason as u know feelings and emotions vary each minutes, MWANAMKE NI INJILI YA TANO (baada ya mark,mathew,luke n yohana)na ndo maana huwa mm natongozaga tu i cnt lie to myself that the one i have we shall be forever coz emotion na feelin zake zinavary kwa stlye ambayo haieleweki.unaweza ukampenda mwanamke akapata Kila kitu kwa standard ya Tz " bado akasepa! njia nzuri ya kumpenda mwanamke, Jipende ww kwanza , men love urself ! Mwenyewe ataona kuna kitu atamiss ktk maisha yake kama akizingua huwa sipendagi drama za love ,ni nzuri ila ni feki tupu.so topic ifungwe coz ITS HARD TO FIND ORIGINAL WOMAN AND MEN MOST OF US WE ARE PHOTOCOPIES
 
Lizzy acha hasira mama,ninachotaka kutoka kwenu ni hoja nzito,nimekupa mfano simaanishi hao wanawawakilisha ninyi wote ila mifano mingi sana,nitafurahi sana kama ni kweli utakuwa unajua unacho kitaka,shemeji atakua na nafuu,lakini nadhani utakuwa ni wewe tu,lakini pia ni kazi nzito kuthibitisha,naomba unipe mfano wa binti anaejitambua kama mimi nilivyotoa wa wasiojitambua nipe mfano wa wa5 angalau naweza kuanza kuamini kwa uchache!
 
Safety last umenichekesha sana,ni kweli binadam wote ni matatizo lakini wenzetu hawa ni balaa,kati ya wanawake 700 wa Seleman hakuna hata mmoja aliyekuwa bora kama angekuwepo hiyo idadi isingefika!
 
wanawake wanajua wanachokitaka isipokuwa lugha wanayotumia kutaka ni ngumu sana na kama hukusome female language umeumia mfano akikuambia amechoka haimaanishi anataka apumzike wala kuwa peke yake anachohitaji umsifu, umkabalie, na ujali alichokifanya na anachokifanya

Hahitaji nyumba, magari wala simu ya gharama anataka umbussu mbele ya wanawake wenzake, umkumbatie mbele ya watu, na uionyeshe jamii bila yeye maisha yako hayawezekani, hapo tu ndio ...
 
Lizzy acha hasira mama,ninachotaka kutoka kwenu ni hoja nzito,nimekupa mfano simaanishi hao wanawawakilisha ninyi wote ila mifano mingi sana,nitafurahi sana kama ni kweli utakuwa unajua unacho kitaka,shemeji atakua na nafuu,lakini nadhani utakuwa ni wewe tu,lakini pia ni kazi nzito kuthibitisha,naomba unipe mfano wa binti anaejitambua kama mimi nilivyotoa wa wasiojitambua nipe mfano wa wa5 angalau naweza kuanza kuamini kwa uchache!

Hahahhaha...unanifurahisha kweli!Sasa hiyo mifano uliyotoa inaashiria vipi hao uliowataja hawajitambui?!Unajuaje kama wanayofanya (hivyo vituko) sivyo wanavyotaka?!?!

Binafsi sijui jinsi ya kumtolea mfano mtu anaejitambua na kujiamini maana siwezi kusema fulani katulia kwenye ndoa yake kwasababu anajitambua!Ila mimi najua najitambua kwasababu mambo yakiwa nnavyotaka natulia na yakibadilika sigeuki nyuma na wala siwezi kudanganyika na ya nje vile vile!!Na kwa baadhi ya nnaowafahamu vile vile
 
Safety last umenichekesha sana,ni kweli binadam wote ni matatizo lakini wenzetu hawa ni balaa,kati ya wanawake 700 wa Seleman hakuna hata mmoja aliyekuwa bora kama angekuwepo hiyo idadi isingefika!

acha tu eiyer mwanamke kitabu kingine huwa nawajifunza kila siku ,suleman alitulia na mmoja akaona anaweza kufa kabla ya muda wake aliachoamua wakimzingua tu hagombi nao anajichukulia mtoto,tutajadili hapa Ila HISIA NI KITU PERSONAL NA Wanawake wamejazwa nazo .usipende kwa Moyo ndugu yangu wataugongagong huo mtima wako mpaka ushangae ,TUMIA BRAIN TU KUSEMA I LOVE YOU Inasaidia sana wala haina stress utawaenjoy kweli,kamwe usitumie Moyo wako ukasema i love this one deadly,watautwanga moyo na hatuna mahospital ya waliovunjwa moyo!halafu Attraction has no choice , hakuchagua kuku penda ulimconvise tu .akiondoka mpe bye usilazimishe mtu awe wako hatari sana!
 
Braza ndo maana maandiko yakasema tuishi nao kwa akili mana namna Mungu alivyowatengeneza ni tofauti na namna alitutengeneza sisi. Naungana na Mkuu Safety Last kwamba cc wanaume tujipende kwanza, kwa sababu mwanamke mahitaji yanabadilika kila mara hivyo huwezi ukasema umempa gari ndo atatulia. Kuna jamaa yangu huwa anasema wanawake maksi zao ni moja kwa kila mwanaume akimaanisha wewe ukimwambia maneno matamu akacheka anaweza kukupa mzigo ukachapa, akaja mwingine akampa gari naye akachapa. yani in short needs zao zina vary kila wakati so ili uwe kwenye safe side ni kukubali lolote muda wowote na wala usipanic mana ndivyo walivyo. La mwisho kabisa uwe unamshirikisha Mungu kwenye mahusiano yako na hawa viumbe mana yeye ndiye anayetujua zaidi ya jinsi tunavyojifahamu sisi.
 
Ntuya hawa watu bwana we acha t
 
Safety huenda Sulemani angebaki na mmoja angekufa kabla ya wakati!
 
me naungana moja kwa moja na aliyesema wanawake hawajui nini wanataka,thats y ata mungu alisena tuishi nao kwa akili sana. me nkishinda home asubuh mpaka jion lazima tuvulugane,nikitoka tunavurugana,nkichelewa kurudi napo nikuvurugana tu.usiombe akuite lunch ofisin kwake alaf ukatae udai upo busy kidogo apo ni mvurugano. ushawah jiandaa kwa furaha zote wewe na wife mnatoka out then mkarudia njiani,?
 
Ni kweli wanawake wanahitaji kupendwa na kuwajali sana, hapo utakuwa unampa kitu kikubwa sana. Lakini wanawake hawa hawa unaweza ukamfanyia haya yote usijue kuwa kwako kafuata mali zako au pesa zako au elimu yako. Tatizo naloliona ni kuwa wanawake wengi wa kizazi hiki wanaishi kwa maigizo sana, anadai anakupenda kumbe tu kwa sababu unaweza kumnunulia jozi kadhaa za nguo na viatu kama vya rihana. Baadae akishachoka kuigiza ndo unaona kama vile humuelewi. Kwa kifupi wenyewe ni mafundi wa kuigiza ila tu hutamuelewa akishachoka kufanya hivyo. Mi najua wanaume wengi kama hana mpango na wewe hutachelewa kujua ila mwanamke utafanya naye mambo mengi sana kabla ya kugundua
 
Safety huenda Sulemani angebaki na mmoja angekufa kabla ya wakati!
kaka eiyer
tusingekuwa na vile vitabu vya wimbo ulio bora na mhuburi.ninawaheshimu wanawake ila kuna maamuzi wanayafanyaga u cant find merit in it.they once frustrated me i learnt a lesson i promise my self they wil never do it again,tuombe Mungu atuunganishe na huyo mke, mme mwema, nafikiri matatizo ya kiuchumi yatapungua coz one of the world Problems, MARRIGE RELATIONSHIP NA EMPLOYMENT. members ukawa salama kwa vyote(dominic staus khan) ur lucky on this land of God .
 
Mdau uko sawa ndo maana wanatuchanganya sana!Wanataka nini?Swali hili hata wao wameshindwa kulijibu!
 
Back
Top Bottom