Mabinti mliozaliwa miaka ya 2000s, nani anawadanganya?

Mabinti mliozaliwa miaka ya 2000s, nani anawadanganya?

Mimi hkn kitu ambacho nakiogopa km kuzalia nymbn, yani ni kuiahibisha familia yako kabisa. Mana uku kwetu kuna vitoto ni vidg ata shule vimeacha kwa ajili ya kubebeshwa mimba na baba wa wtt hawawalei, wanabaki kuleta mzigo kwa familia yao tu. Alafu wakikuona ww ambae umri umeenda hauna ata mpenzi, na wao wana wtt ata shikamoo hawakupi sbb ashaitwa mama tena.

Mie mtaani kwetu kwa kweli naonekana ni mtu ambaye nimetulia kabisa na siwez kuwa na mahusiano na mtu wa mtaa wangu ata siku moja. Heshima napenda iwe mbele sehemu nilipo na kuonekn ni mwnye nidhamu. Nashkr Mungu pia mpk nimemaliza elimu yng ya juu nilidate na mtu mmoja tu, na mchezo wnyw niliuanza apo apo elimu ya juu ahahah na tukaja achana pia. Kwa hiyo huwa nafrh kwa kweli kujaaliwa kutulia kias iki na bd nalipa ata km umr nao unasonga.

Kwa hiyo hawa mabinti wa siku hz ni kuwaombea tu tunapoenda makanisani na ata nymbn. Kizazi cha ss ivi wanakurupukia sn haya mambo na usiwalaumu wazazi kuwa hawasemi mana hkn mzazi ambaye anpnd kumuona mtt wake akiharibikiwa na yeye anamtazama, wanakanywa sana lkn hawa mabint wntk kushupaza shingo ni matomaso mpk washuhudie wnyew kwmb kwnn walikatazwa hili jambo na wakubwa wao.

Kwanza ata heshima zao huwa ni mbovu, mana binti akishaanza kutongozwa na yeye akaitwa babe bs heshima inapungua nymbn ,anaweza ata akapigana na baba yake kwa ajili ya mwanaume. Tuwaombee tu hawa mabint waweze kubadilika bs. Nashkr familia yng inajivunia nami.
 
Aisee ni Mungu tu! Mi nililelewa na single mother baadaya mshua wng kufariki nikiwa ndogo ila mama yangu alinilea kwa technique saana! Nakumbuka ilikua nikifanya vizuri class ananipa zawadi km motivation nakumbuka nilianza kumiliki simu enzi hizo nokia x2-01 ni km ss hv mtu uwe na samsung s9 hv au iphone7 plus...ila hii ni baada ya kupata wastan mkubwa form2 nikapewa km zawadi...ujana haukuniacha salama nikiwa form3 miaka16 kijana mmoja alikata uzi[emoji1][emoji1] ila sikuwahi jutia sababu hakua mkubwa sana wakati nipo form3 yy alikua form5 so ilikua ni ujana tu ila nilikua nasoma kwa bidii ili form4 nipate kikubwa zaidi ukiachana na konakona nyingine na mama mara nyingi alikua akinipeleka kanisani na kunionya kua nisiposoma kwa bidii na kufaulu nitamuaibisha aisee huwez amini pamoja na yote ila sikuwah kujisahau upande wa shule au kufanya mambo yangu wazi ili tu nisimuaibishe mama! Form4 nayo nikapita nikanunuliwa samsung s4 kpnd hicho ndio ipo kwa trend tulienda na mwendo huo mpk now nishamaliza degree lakini mpk leo najishtukiaga sitaki watu wajue mambo yangu ili mama yangu asiaibike[emoji28] so naona wazazi pia wapate muda wa kuongea na watoto itawajengea kitu fulani kifikra...right now my mom is a proud mom bila kujua nina mashida yangu tu nyuma ya pazia...Mungu akisaidia naomba tu nisibebee mimba home ht kimakosa...km muoaji aje atoe mahari anichukue kihalali tukajuane mbele huko!
Kwa hiyo umemaliza Form Four 2014

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wako katika vulnerability age na ukizingatia familia zimeyumba sasa kutokana na umasikini watoto wanakuwa bila role models ni survival tu mtaani kila mtu anafanya lake


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mimi nazani hizi Ni athari za advancement in technology

Tofauti na zamani ,saizi ngono imewekwa wazi wazi,,unakuta mtoto wa darasa la pili anajua each and every thing kuhusu ngono, Sasa mtoto /binti Kama huyo unategemea atakaa muda gani bila kufanya ngono, na Kila siku anaona na kusikia ngono ikisifiwa kupitia media mbali mbali. Karibu Kila nyimbo za bongo zinatukuza ngono,alafu unatakaa mtoto awe safe,,,Ni ngumu kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app,using POP 2 power
 
Hakuna kitu kama hicho ni kutokujitambua binti anayejitambua hawezi kukubali kuharibiwa future yk
Nahisi kutokana na vyakula labda homoni za kupenda zimeongezeka kwa mabinti,
 
Mabinti wengi wa 15-19 yrs wamezalishwa na kuachwa. Isitoshe wengi wao hawana kipato cha uhakika.

Hali ni mbaya huku mtaani kwetu sijui miaka kumi ijayo tutakuwa na kizazi cha aina gani.
Hahaha
 
Back
Top Bottom