Mabinti mliozaliwa miaka ya 2000s, nani anawadanganya?

Mabinti mliozaliwa miaka ya 2000s, nani anawadanganya?

Ni kweli mzee. Unajua umri wa kubalehe unawasumbua sana Hawa binti zetu. Na mazingira wanayoishi yanakuwa favorable kwa kufanya mapenzi . Tena wanafanya wao kwa wao pia mixture watu wazima Wana haribu mabinti. Mana hata Mimi huwa natutamani tubinti tudogo kiaina Ila nakemea tamaa za mwili . Mungu atusaidie amen.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumebadili mifumo ya kuishi, lakini hatujabadili tamaduni.

Hapo ndipo tatizo linapoanzia.
 
Aisee ni Mungu tu! Mi nililelewa na single mother baadaya mshua wng kufariki nikiwa ndogo ila mama yangu alinilea kwa technique saana! Nakumbuka ilikua nikifanya vizuri class ananipa zawadi km motivation nakumbuka nilianza kumiliki simu enzi hizo nokia x2-01 ni km ss hv mtu uwe na samsung s9 hv au iphone7 plus...ila hii ni baada ya kupata wastan mkubwa form2 nikapewa km zawadi...ujana haukuniacha salama nikiwa form3 miaka16 kijana mmoja alikata uzi[emoji1][emoji1] ila sikuwahi jutia sababu hakua mkubwa sana wakati nipo form3 yy alikua form5 so ilikua ni ujana tu ila nilikua nasoma kwa bidii ili form4 nipate kikubwa zaidi ukiachana na konakona nyingine na mama mara nyingi alikua akinipeleka kanisani na kunionya kua nisiposoma kwa bidii na kufaulu nitamuaibisha aisee huwez amini pamoja na yote ila sikuwah kujisahau upande wa shule au kufanya mambo yangu wazi ili tu nisimuaibishe mama! Form4 nayo nikapita nikanunuliwa samsung s4 kpnd hicho ndio ipo kwa trend tulienda na mwendo huo mpk now nishamaliza degree lakini mpk leo najishtukiaga sitaki watu wajue mambo yangu ili mama yangu asiaibike[emoji28] so naona wazazi pia wapate muda wa kuongea na watoto itawajengea kitu fulani kifikra...right now my mom is a proud mom bila kujua nina mashida yangu tu nyuma ya pazia...Mungu akisaidia naomba tu nisibebee mimba home ht kimakosa...km muoaji aje atoe mahari anichukue kihalali tukajuane mbele huko!
Safi
 
Aisee ni Mungu tu! Mi nililelewa na single mother baadaya mshua wng kufariki nikiwa ndogo ila mama yangu alinilea kwa technique saana! Nakumbuka ilikua nikifanya vizuri class ananipa zawadi km motivation nakumbuka nilianza kumiliki simu enzi hizo nokia x2-01 ni km ss hv mtu uwe na samsung s9 hv au iphone7 plus...ila hii ni baada ya kupata wastan mkubwa form2 nikapewa km zawadi...ujana haukuniacha salama nikiwa form3 miaka16 kijana mmoja alikata uzi[emoji1][emoji1] ila sikuwahi jutia sababu hakua mkubwa sana wakati nipo form3 yy alikua form5 so ilikua ni ujana tu ila nilikua nasoma kwa bidii ili form4 nipate kikubwa zaidi ukiachana na konakona nyingine na mama mara nyingi alikua akinipeleka kanisani na kunionya kua nisiposoma kwa bidii na kufaulu nitamuaibisha aisee huwez amini pamoja na yote ila sikuwah kujisahau upande wa shule au kufanya mambo yangu wazi ili tu nisimuaibishe mama! Form4 nayo nikapita nikanunuliwa samsung s4 kpnd hicho ndio ipo kwa trend tulienda na mwendo huo mpk now nishamaliza degree lakini mpk leo najishtukiaga sitaki watu wajue mambo yangu ili mama yangu asiaibike[emoji28] so naona wazazi pia wapate muda wa kuongea na watoto itawajengea kitu fulani kifikra...right now my mom is a proud mom bila kujua nina mashida yangu tu nyuma ya pazia...Mungu akisaidia naomba tu nisibebee mimba home ht kimakosa...km muoaji aje atoe mahari anichukue kihalali tukajuane mbele huko!
VIP umeshafanikiwa kumrudisha mpenzi wako?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanajifanya papuchi ndio duka lao
Mabinti wengi wa 15-19 yrs wamezalishwa na kuachwa. Isitoshe wengi wao hawana kipato cha uhakika.

Hali ni mbaya huku mtaani kwetu sijui miaka kumi ijayo tutakuwa na kizazi cha aina gani.
 
Hivi watoto wa 2000 wameshaanza mapenzi?
Mmmh
 
Kitoto miaka 14 kimeshachakazwa mpaka kimedumaa!

Jamani muwahurumie hawa watoto ndio maana hata magufuli anawatungia sheria kali ili awaokoe!

Kitoto kidogo kimeshajazwa mimba kinahangaika hovyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom