Mabinti mliozaliwa miaka ya 2000s, nani anawadanganya?

Mabinti mliozaliwa miaka ya 2000s, nani anawadanganya?

Aisee ni Mungu tu! Mi nililelewa na single mother baadaya mshua wng kufariki nikiwa ndogo ila mama yangu alinilea kwa technique saana! Nakumbuka ilikua nikifanya vizuri class ananipa zawadi km motivation nakumbuka nilianza kumiliki simu enzi hizo nokia x2-01 ni km ss hv mtu uwe na samsung s9 hv au iphone7 plus...ila hii ni baada ya kupata wastan mkubwa form2 nikapewa km zawadi...ujana haukuniacha salama nikiwa form3 miaka16 kijana mmoja alikata uzi[emoji1][emoji1] ila sikuwahi jutia sababu hakua mkubwa sana wakati nipo form3 yy alikua form5 so ilikua ni ujana tu ila nilikua nasoma kwa bidii ili form4 nipate kikubwa zaidi ukiachana na konakona nyingine na mama mara nyingi alikua akinipeleka kanisani na kunionya kua nisiposoma kwa bidii na kufaulu nitamuaibisha aisee huwez amini pamoja na yote ila sikuwah kujisahau upande wa shule au kufanya mambo yangu wazi ili tu nisimuaibishe mama! Form4 nayo nikapita nikanunuliwa samsung s4 kpnd hicho ndio ipo kwa trend tulienda na mwendo huo mpk now nishamaliza degree lakini mpk leo najishtukiaga sitaki watu wajue mambo yangu ili mama yangu asiaibike[emoji28] so naona wazazi pia wapate muda wa kuongea na watoto itawajengea kitu fulani kifikra...right now my mom is a proud mom bila kujua nina mashida yangu tu nyuma ya pazia...Mungu akisaidia naomba tu nisibebee mimba home ht kimakosa...km muoaji aje atoe mahari anichukue kihalali tukajuane mbele huko!
 
Amini watoto wa kike hushawishi wanaume kuzaa pamoja kama ishara ya kupenda
Huku kwetu ndio usisemee nakwambia wapo majumbani kwao wanahangaika sana. Ukiwaona wamezeeka wananizid mpaka mm Dada yaoo inaumiza sana hawana future yeyote wamedanganya na wakipewa mimba wanakimbiwa .

Wanaume wanaowafanyia hivi mabinti sio vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
It seems wewe kwa muonekano ni mpole na mtaratibu. Mungu na akusaidie umpate mume mwema ili mama yako azidi kufurahi.

Lakini pia katika yote, hakikisha unampendeza Mungu kwanza, mwanadamu awe wa pili.
Aisee ni Mungu tu! Mi nililelewa na single mother baadaya mshua wng kufariki nikiwa ndogo ila mama yangu alinilea kwa technique saana! Nakumbuka ilikua nikifanya vizuri class ananipa zawadi km motivation nakumbuka nilianza kumiliki simu enzi hizo nokia x2-01 ni km ss hv mtu uwe na samsung s9 hv au iphone7 plus...ila hii ni baada ya kupata wastan mkubwa form2 nikapewa km zawadi...ujana haukuniacha salama nikiwa form3 miaka16 kijana mmoja alikata uzi[emoji1][emoji1] ila sikuwahi jutia sababu hakua mkubwa sana wakati nipo form3 yy alikua form5 so ilikua ni ujana tu ila nilikua nasoma kwa bidii ili form4 nipate kikubwa zaidi ukiachana na konakona nyingine na mama mara nyingi alikua akinipeleka kanisani na kunionya kua nisiposoma kwa bidii na kufaulu nitamuaibisha aisee huwez amini pamoja na yote ila sikuwah kujisahau upande wa shule au kufanya mambo yangu wazi ili tu nisimuaibishe mama! Form4 nayo nikapita nikanunuliwa samsung s4 kpnd hicho ndio ipo kwa trend tulienda na mwendo huo mpk now nishamaliza degree lakini mpk leo najishtukiaga sitaki watu wajue mambo yangu ili mama yangu asiaibike[emoji28] so naona wazazi pia wapate muda wa kuongea na watoto itawajengea kitu fulani kifikra...right now my mom is a proud mom bila kujua nina mashida yangu tu nyuma ya pazia...Mungu akisaidia naomba tu nisibebee mimba home ht kimakosa...km muoaji aje atoe mahari anichukue kihalali tukajuane mbele huko!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee ni Mungu tu! Mi nililelewa na single mother baadaya mshua wng kufariki nikiwa ndogo ila mama yangu alinilea kwa technique saana! Nakumbuka ilikua nikifanya vizuri class ananipa zawadi km motivation nakumbuka nilianza kumiliki simu enzi hizo nokia x2-01 ni km ss hv mtu uwe na samsung s9 hv au iphone7 plus...ila hii ni baada ya kupata wastan mkubwa form2 nikapewa km zawadi...ujana haukuniacha salama nikiwa form3 miaka16 kijana mmoja alikata uzi[emoji1][emoji1] ila sikuwahi jutia sababu hakua mkubwa sana wakati nipo form3 yy alikua form5 so ilikua ni ujana tu ila nilikua nasoma kwa bidii ili form4 nipate kikubwa zaidi ukiachana na konakona nyingine na mama mara nyingi alikua akinipeleka kanisani na kunionya kua nisiposoma kwa bidii na kufaulu nitamuaibisha aisee huwez amini pamoja na yote ila sikuwah kujisahau upande wa shule au kufanya mambo yangu wazi ili tu nisimuaibishe mama! Form4 nayo nikapita nikanunuliwa samsung s4 kpnd hicho ndio ipo kwa trend tulienda na mwendo huo mpk now nishamaliza degree lakini mpk leo najishtukiaga sitaki watu wajue mambo yangu ili mama yangu asiaibike[emoji28] so naona wazazi pia wapate muda wa kuongea na watoto itawajengea kitu fulani kifikra...right now my mom is a proud mom bila kujua nina mashida yangu tu nyuma ya pazia...Mungu akisaidia naomba tu nisibebee mimba home ht kimakosa...km muoaji aje atoe mahari anichukue kihalali tukajuane mbele huko!

Jiandae nakuja kutoa mahari


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mama yako lazima ajiproud bhana umeruka milima na mabonde sasa hivi itabidi akule Range Rover au harrier tako la nyani mana sio powa sema uzi ndio ulishakatwa sema ongera sanaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee ni Mungu tu! Mi nililelewa na single mother baadaya mshua wng kufariki nikiwa ndogo ila mama yangu alinilea kwa technique saana! Nakumbuka ilikua nikifanya vizuri class ananipa zawadi km motivation nakumbuka nilianza kumiliki simu enzi hizo nokia x2-01 ni km ss hv mtu uwe na samsung s9 hv au iphone7 plus...ila hii ni baada ya kupata wastan mkubwa form2 nikapewa km zawadi...ujana haukuniacha salama nikiwa form3 miaka16 kijana mmoja alikata uzi[emoji1][emoji1] ila sikuwahi jutia sababu hakua mkubwa sana wakati nipo form3 yy alikua form5 so ilikua ni ujana tu ila nilikua nasoma kwa bidii ili form4 nipate kikubwa zaidi ukiachana na konakona nyingine na mama mara nyingi alikua akinipeleka kanisani na kunionya kua nisiposoma kwa bidii na kufaulu nitamuaibisha aisee huwez amini pamoja na yote ila sikuwah kujisahau upande wa shule au kufanya mambo yangu wazi ili tu nisimuaibishe mama! Form4 nayo nikapita nikanunuliwa samsung s4 kpnd hicho ndio ipo kwa trend tulienda na mwendo huo mpk now nishamaliza degree lakini mpk leo najishtukiaga sitaki watu wajue mambo yangu ili mama yangu asiaibike[emoji28] so naona wazazi pia wapate muda wa kuongea na watoto itawajengea kitu fulani kifikra...right now my mom is a proud mom bila kujua nina mashida yangu tu nyuma ya pazia...Mungu akisaidia naomba tu nisibebee mimba home ht kimakosa...km muoaji aje atoe mahari anichukue kihalali tukajuane mbele huko!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mama yako lazima ajiproud bhana umeruka milima na mabonde sasa hivi itabidi akule Range Rover au harrier tako la nyani mana sio powa sema uzi ndio ulishakatwa sema ongera sanaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app

Eeh baharia aliukata bwana[emoji28]...Ameen Mungu asaidie mama yng aje kula vinono
 
Aisee ni Mungu tu! Mi nililelewa na single mother baadaya mshua wng kufariki nikiwa ndogo ila mama yangu alinilea kwa technique saana! Nakumbuka ilikua nikifanya vizuri class ananipa zawadi km motivation nakumbuka nilianza kumiliki simu enzi hizo nokia x2-01 ni km ss hv mtu uwe na samsung s9 hv au iphone7 plus...ila hii ni baada ya kupata wastan mkubwa form2 nikapewa km zawadi...ujana haukuniacha salama nikiwa form3 miaka16 kijana mmoja alikata uzi[emoji1][emoji1] ila sikuwahi jutia sababu hakua mkubwa sana wakati nipo form3 yy alikua form5 so ilikua ni ujana tu ila nilikua nasoma kwa bidii ili form4 nipate kikubwa zaidi ukiachana na konakona nyingine na mama mara nyingi alikua akinipeleka kanisani na kunionya kua nisiposoma kwa bidii na kufaulu nitamuaibisha aisee huwez amini pamoja na yote ila sikuwah kujisahau upande wa shule au kufanya mambo yangu wazi ili tu nisimuaibishe mama! Form4 nayo nikapita nikanunuliwa samsung s4 kpnd hicho ndio ipo kwa trend tulienda na mwendo huo mpk now nishamaliza degree lakini mpk leo najishtukiaga sitaki watu wajue mambo yangu ili mama yangu asiaibike[emoji28] so naona wazazi pia wapate muda wa kuongea na watoto itawajengea kitu fulani kifikra...right now my mom is a proud mom bila kujua nina mashida yangu tu nyuma ya pazia...Mungu akisaidia naomba tu nisibebee mimba home ht kimakosa...km muoaji aje atoe mahari anichukue kihalali tukajuane mbele huko!
Asa kimbisa si nikuoe tu umalizie story yako kishujaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
juzi hapa nasikia binti wa mazahausi anamwambia mamaake kua anataka aache shule( yupo form 3), afanye mambo mengine. hahahaaaa sasa nawaza hayo mengine ni yapi!?
 
Mabinti wengi wa 15-19 yrs wamezalishwa na kuachwa. Isitoshe wengi wao hawana kipato cha uhakika.

Hali ni mbaya huku mtaani kwetu sijui miaka kumi ijayo tutakuwa na kizazi cha aina gani.
Hao wanaitwa single mothers waje inbox tuwasaidie
 
Back
Top Bottom