Mabinti mliozaliwa miaka ya 2000s, nani anawadanganya?

Mabinti mliozaliwa miaka ya 2000s, nani anawadanganya?

Wanajiita somo. Nimeshangaa juzi juzi.. mtu anajiita somo wkt yeye ni kaachika. Nikasema hii ndoa sijui kama itadumu. Maana alimfunda mke jinsi ya kukaa na mume ni single mother.. yaan na yeye kaachika.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huko kwenye ndoa inakuwa ndoano, tatizo hao hao kina.somo ni mashosti wa wazazi wao na huko Baba zao wanakipata chamoto kama ni mimi sitaki somo wala nini bora nikapokee mafundisho ya kanisan basi
 
Vipi kuhusu haki za wanawake/binaadam??

cc: Lizarazu
Asante sana mkuu kwa mentioning
Binti akivunja ungo ni bora aozeshwe kama tayari kashajua utamu wa dudu.
According to UN WOMEN EMPOWERMENT PRINCIPLE NO.4 which sates that;

Promote education,training and professional development for women. Marriage before the age of 18 is fundamental human right violation that disproportionately affects young children by denying them freedom of going after their dreams

Kwa hiyo ukifanya hichi kitu unachokisema hapa mkono na wana harakati wakikufikia umekwisha.

Labda kama unafanya kwenye mazingira ya kijijini huko ambako haki za wanawake na watoto zinavunjwa kila leo na hakuna hatua zozote zinachochukuliwa.

Kuvunja ungo tu peke yake haitoshi kuwa sababu ya mtoto(binti) kuwa huru na kujiamulia maamuzi yake mwenyewe.

Binti anaweza kuwa kavunja ungo/kujua radha ya dudu na bado ana akili za kitoto sana. Kiasi cha kujitaji uangalizi

Mimi sikuzote ninashikilia pale pale tu huu mfumo wa maisha tulioukubali ndio chanzo ya haya yote.
 
Asante sana mkuu kwa mentioning

According to UN WOMEN EMPOWERMENT PRINCIPLE NO.4 which sates that;

Promote education,training and professional development for women. Marriage before the age of 18 is fundamental human right violation that disproportionately affects young children by denying them freedom of going after their dreams

Kwa hiyo ukifanya hichi kitu unachokisema hapa mkono na wana harakati wakikufikia umekwisha.

Labda kama unafanya kwenye mazingira ya kijijini huko ambako haki za wanawake na watoto zinavunjwa kila leo na hakuna hatua zozote zinachochukuliwa.

Kuvunja ungo tu peke yake haitoshi kuwa sababu ya mtoto(binti) kuwa huru na kujiamulia maamuzi yake mwenyewe.

Binti anaweza kuwa kavunja ungo/kujua radha ya dudu na bado ana akili za kitoto sana. Kiasi cha kujitaji uangalizi

Mimi sikuzote ninashikilia pale pale tu huu mfumo wa maisha tulioukubali ndio chanzo ya haya yote.
Kabisaaa.

Haya ya human right ndio matatizo haswa haya
 
Nimekaa na binti wa miaka 22 anasema huu mwaka hauwezi kuisha kabla hajabeba mimba and I was like wtf!? Kisa eti anaona umri unaenda bora azae kwanza
Mimi dada yake kikongwe hata kuzaa haipo kwenye ramani nimeshangaa mtoto wa 22 anasema kachelewa [emoji28]

Sio kwamba na wewe uliwahi kuwa na mawazo kama yake wakati upo kwenye age yake, sema sasa hivi sababu jua limezama na mabaharia wanahitaji fresh cargo wewe wanakupa chogo tu, ndio maana unasema huna mpango hata wa kuzaa!!🤩🤩
 
Kuna Saloon moja hivi wasaidizi wake mwenyewe huyo kuna binti kamaliza mwaka jana form four, mtoto anabeba njema mie na uhenga wangu siwezi mie nilichoka, mwenzie ana mtoto lakini kutwa kubadilisha mabwana halafu analalamika wanaume wabaya mmmm

Nasisitiza maisha ya wanawake mtandaoni yanawachanganya sanaa
 
Mwanamke miaka 25 nakuendelea mwenye chuchu saa sita anicheki PM hii ni opportunity.
 
Sio kwamba na wewe uliwahi kuwa na mawazo kama yake wakati upo kwenye age yake, sema sasa hivi sababu jua limezama na mabaharia wanahitaji fresh cargo wewe wanakupa chogo tu, ndio maana unasema huna mpango hata wa kuzaa!!🤩🤩
Khaa
 
Huku kwetu ndio usisemee nakwambia wapo majumbani kwao wanahangaika sana. Ukiwaona wamezeeka wananizid mpaka mm Dada yaoo inaumiza sana hawana future yeyote wamedanganya na wakipewa mimba wanakimbiwa .

Wanaume wanaowafanyia hivi mabinti sio vizuri.

Wanapatikana wapi jamani? mbona mimi siwaoni.
Natafuta binti mzuri aliyezalishwa na kutelekezwa ila anayejitambua, ambaye ana uhakika hana mawasiliano na baba mtoto na hatarajii hilo litokee. Ikiwezekana ambaye hajui hata baba mtoto yuko wapi. awe mkomavu wa maisha kwa ujumla. Niko tayari kumfungulia biashara.
 
Huku kwetu ndio usisemee nakwambia wapo majumbani kwao wanahangaika sana. Ukiwaona wamezeeka wananizid mpaka mm Dada yaoo inaumiza sana hawana future yeyote wamedanganya na wakipewa mimba wanakimbiwa .

Wanaume wanaowafanyia hivi mabinti sio vizuri.
mabaharia wa mtaan kwenu sio watu wazuri ha ha ha ha ha ha
 
Kuna thread nimeandika jinsi katoto ka <20yrs kanavyonisumbua, %99 ya wanaume humu waliniona zoba kwanini sikagegedi! Leo utashangaa kuona vitoto mtaani vina vitoto?!!
Nimekumbuka hiyo thread yako hao watoto wanakua vichocheo sometimes
 
Mabint wengi wa 15-19 yrs wamezalishwa na kuachwa,wengi wao hawana kipato cha uhakika,hali ni mbaya huku mtaani kwetu sijui miaka kumi ijayo tutakuwa na kizazi cha aina gani.
🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼 "THEY CALL US OLD SKOOL, AND IT'S TRUE WE ARE OLD SKOOL COZ WE WERE BORN AND RAISED WELL WITH GOOD MANNERS AINT WITH SOCIAL MEDIA SYNDROME,
2000s ARE GLOBALIZED WITH FAKE LIFESTYLE,THEY ARE NOT LIVING REAL AND ACTING REAL BUT IMPACTED WITH CELEBRITY WORSHIP SYNDROME IN THEIR MIND(hii kitu inamaliza sana vijana wa 2000s).
 
Sio kwamba na wewe uliwahi kuwa na mawazo kama yake wakati upo kwenye age yake, sema sasa hivi sababu jua limezama na mabaharia wanahitaji fresh cargo wewe wanakupa chogo tu, ndio maana unasema huna mpango hata wa kuzaa!!🤩🤩

Hahah jua bado halijazama bado kabisa nakataa [emoji28][emoji28]
At that age nakumbuka bf wangu aliniomba sana nimzalie na nilikataa mpaka ukawa ugomvi baada ya kama miezi miwili akampa mimba dada mwingine nimekuja kujua mtoto ana miezi minne ndio tukaachana na dada mpaka leo hajaolewa na mwanaume ananisumbua mpaka kesho turudiane aisee wanaume akili zenu mnazijua wenyewe kwaio I could have been a single mama pia
Namshukuru Mungu sana ever since huwa najiuliza mwanaume akitaka nimzalie so I fit to be a baby mama and not a wife!?kwaio sijawahi kuwaza hivyo kabisa
 
Back
Top Bottom