Mabinti msilazimishe kupendwa, wengine ni magaidi hawajui kupenda

Mabinti msilazimishe kupendwa, wengine ni magaidi hawajui kupenda

Zuleykha

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2016
Posts
1,247
Reaction score
1,815
Habarini wanajamii wenzangu.

Leo ninashare direct na ninyi hili, miaka kadhaa iliyopita katika harakati zangu za kazi nilikutana na binti mmoja ambaye ninakiri nilimpenda na nikamlea nikimchukulia kama mwanangu aliweza kuishi nami mpka akawa msichana mrembo wakuolewa ikiwa ni baada ya yeye kumaliza masomo yake.

Honestly sikuwa na hiyana nkamwambia kama anakupenda aje tumuone na uolewe kama unavyotaka kila kitu kilienda sawa, baada ya miezi mitatu kesi zilianza, ikawa yule binti analia sana anasema jamaa yupo busy na kazi hamjali, mara jamaa ana wanawake akimuuliza ni mnuno mwez mzima.

Mara jamaa hataki stor za maendeleo worst bint alipata kaz na jamaa akamwambia marufuku kaz kwangu. Binti nilimsihi amlilie Mungu kwani ndiye atakayemuonyesha njia.

Eee bwana after one year bint akabahatika kupata mimba , mshkaji akazidisha maudhi na sasa akamkimbia kabisa na kumuomba binti uhuru. Binti aliumia mno na kilichotokea ni kuparalyse na mimba ikatoka.

Ni kipind ambacho nilitambua kuwa dunia ina watu na wanawake tunazaa jamani. Sasa jamaa alivyoskia tetes za binti basi alimdivorce na alitoweka mazima, ikaishia hapo.

Nilimpambania sana na alipona na sasa nkamuomba aniambie kwanini alienda penda paspotakiwa?

Mabinti msiforce upendo sio kila mtu anaweza penda wengine wataishia kuwafundisha ugaidi na chuki...
 
Uzoefu wangu unaonesha wanawake wengi wanapendaga penye changamoto yani😂😂😂!!! Hapo ndipo atang’ang’ania weee na humwambii kitu akasikia yeye ndio kapenda hivyo! Ambapo akili yake iko tulivu by 100% hapataki ndio maana wanakataaga watu genuine na kukubalia watu fake.

They never settle where there is comfort by 100%! Kama huamini mpe hata mkeo comfort by 100% hapo msaidie kazi zake mpikie mpe uhuru afanye analotaka usimuingilie we mdekeze tu kisha ndani ya miezi 6 utanipa majibu kama hajatombwa nje na kukuletea kibezi!
 
Uzoefu wangu unaonesha wanawake wengi wanapendaga penye changamoto yani😂😂😂!!! Hapo ndipo atang’ang’ania weee na humwambii kitu akasikia yeye ndio kapenda hivyo! Ambapo akili yake iko tulivu by 100% hapataki ndio maana wanakataaga watu genuine na kukubalia watu fake.

They never settle where there is comfort by 100%! Kama huamini mpe hata mkeo comfort by 100% hapo msaidie kazi zake mpikie mpe uhuru afanye analotaka usimuingilie we mdekeze tu kisha ndani ya miezi 6 utanipa majibu kama hajatombwa nje na kukuletea kibezi!
Yaani hapo umegongea msumari wa mwisho kwenye jeneza la mwendazake!
 
Uzoefu wangu unaonesha wanawake wengi wanapendaga penye changamoto yani😂😂😂!!! Hapo ndipo atang’ang’ania weee na humwambii kitu akasikia yeye ndio kapenda hivyo! Ambapo akili yake iko tulivu by 100% hapataki ndio maana wanakataaga watu genuine na kukubalia watu fake.

They never settle where there is comfort by 100%! Kama huamini mpe hata mkeo comfort by 100% hapo msaidie kazi zake mpikie mpe uhuru afanye analotaka usimuingilie we mdekeze tu kisha ndani ya miezi 6 utanipa majibu kama hajatombwa nje na kukuletea kibezi!
MTU akiamua kutombwa anatombwa tu wala hicho so kigezo.Sema tukubali tukatae ni ngumu kupata mnaematch..I swear
 
MTU akiamua kutombwa anatombwa tu wala hicho so kigezo.Sema tukubali tukatae ni ngumu kupata mnaematch..I swear
Yeah inatokeaga kwa zali sana japo mi nilishawahi kupata mtu tunaye match kitabia once. Mahusiano ya wengi yana incompatible patners sema ndio kuvumiliana na maswala kama hayo!
 
Hahahah nae anasuuza rungu anasepa zake! Shida ni kwamba nawe akija mtu amekuelewa nae unaona sio type yako 😂!

Huu mchezo wa mapenzi ni mgumu sana! Anaweza kuwa serious sana ila wewe ukawa unaleta mchezo...
Ndo pale inapotimia kauli kuwa kumpata MTU mkamatch ni ngumu sana bro
 
Back
Top Bottom