witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Itakuwa...hapa kuna ndoa sasaAsa apo kiongozi ndoa yenu na mkeo ni vunga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa...hapa kuna ndoa sasaAsa apo kiongozi ndoa yenu na mkeo ni vunga?
😀 😀 😀Mie nimepanga nikioa naanza biashara za kusafiri na kuacha mimba nyuma😂😂😂 hivyo mama atakuwa na shughuli ya kuzaa na kulea tu! Maswala ya kukaa na mke anikere kila nikirudi jioni siyataki maana wanawake hamkosi maudhi!
Kabisa yani😅😅😅 anakula makofi kichizi na wala hawaziCha ajabu kwenye mahusiano ya hivyo ndio mtu atafanyiwa vitimbi vyote ila yumo tu na anakwambia hawezi kumuacha, ila anapopendwa anaondoka vizuri tu bila hata sababu ya maana.
Haya mambo hayanaga ushauri, we unavyoshauri hapa kuna mtu huko ndio kwanzaa kamganda mtu hadi kieleweke. Likimkuta la kumkuta ndio akili inastuka ikiwa ishavurugika.
"You are burdened with glorious purpose" sioGrolious Purpose
Have a little faith sio kila mtu ni mbaya!
Karma is a bad bitc.hMagaidi wengi ninaowafahamu wana ndoa zao tena saaaafi kabisa.
Love your reply ila umeenda mbali sana nami👏Sio rahisi. Hivi Kajala unadhani anasumbuliwa na nini ? Embu sku moja mskilize vyema historia yake, utagundua madhara ya kuchanganya bangi kwenye damu.
Yaani amenishangaza mno, wanaume wa Dar....kwa kweli basi tu🥳Hee mleta uzi ni mwanaume?
Zulekha[emoji16][emoji16][emoji16][emoji14][emoji14][emoji23][emoji23]Yaani amenishangaza mno, wanaume wa Dar....kwa kweli basi tu[emoji3060]
Yaani mhhhh, na wewe witnessj je, upoje?Zulekha[emoji16][emoji16][emoji16][emoji14][emoji14][emoji23][emoji23]
Wanaume wa dar Wana vituuuuko [emoji848][emoji848]
KabisaWanawake wengi wanavutiwa kuwa wanaume wasio na malengo ya kuoa