Mabinti msilazimishe kupendwa, wengine ni magaidi hawajui kupenda

Mabinti msilazimishe kupendwa, wengine ni magaidi hawajui kupenda

Uzoefu wangu unaonesha wanawake wengi wanapendaga penye changamoto yani[emoji23][emoji23][emoji23]!!! Hapo ndipo atang’ang’ania weee na humwambii kitu akasikia yeye ndio kapenda hivyo! Ambapo akili yake iko tulivu by 100% hapataki ndio maana wanakataaga watu genuine na kukubalia watu fake.

They never settle where there is comfort by 100%! Kama huamini mpe hata mkeo comfort by 100% hapo msaidie kazi zake mpikie mpe uhuru afanye analotaka usimuingilie we mdekeze tu kisha ndani ya miezi 6 utanipa majibu kama hajatombwa nje na kukuletea kibezi!
Inaonekana boss ww ni mzoefu yaani iko hivyo. Kwa tafiti nilizofanya kidg mwanamke ukimpa uhuru sana anakupanda kichwani. Wanapenda sana pahali pa fujo hawa
 
Nimewahi kupenda wasionipenda sana tu. Ndio maana kuna mada nazungumzia kulazimisha Upendo.
Nothing interesting on me so sidhani wanaweza kujisumbua kunipenda
Kwanini unasema nothing special on you kweli kuna binadamu wa aina hii duniani!

Mambo ya mapenzi ni kizungumkuti hasa haya ya siku hizi ni mwendo wa kuumizwa kila siku.
 
Kwanini unasema nothing special on you kweli kuna binadamu wa aina hii duniani!

Mambo ya mapenzi ni kizungumkuti hasa haya ya siku hizi ni mwendo wa kuumizwa kila siku.
Means tayari yupo katika kuumoz
Nimewahi kupenda wasionipenda sana tu. Ndio maana kuna mada nazungumzia kulazimisha Upendo.
Nothing interesting on me so sidhani wanaweza kujisumbua kunipenda
Da 'Vinci, inamaana moyo wako now hausense kupendwa? Na hauwez kupenda ? Tatizo hilo..
 
Inaonekana boss ww ni mzoefu yaani iko hivyo. Kwa tafiti nilizofanya kidg mwanamke ukimpa uhuru sana anakupanda kichwani. Wanapenda sana pahali pa fujo hawa
Yeah nina uzoefu wa miaka mingi na saikolojia ya hawa ndugu zetu😂 hivyo hawanipi tabu!
 
Habarini wanajamii wenzangu...

Leo ninashare direct na ninyi hili, miaka kadhaa iliyopita katika harakati zangu za kazi nilikutana na binti mmoja ambaye ninakiri nilimpenda na nikamlea nikimchukulia kama mwanangu...aliweza kuishi nami mpka akawa msichana mrembo wakuolewa ikiwa ni baada ya yeye kumaliza masomo yake...
Wengine wanaishia kama mtoto wa Kajala kushare dushe na Mama yake ili abakie mjini, matokeo yake dushe limemkolea na shule hatakji tena.
 
Wengine wanaishia kama mtoto wa Kajala kushare dushe na Mama yake ili abakie mjini, matokeo yake dushe limemkolea na shule hatakji tena.
Well!
Ila mi ni Zuleykha sio Kajala .
 
Back
Top Bottom