Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,626
- 6,731
Hiyo avatar yako ni tata sana, mi nilifikiri we ni demu....angalia, Dar Es Salaam hii, utakuja kuchumbiwa....shauri yakoMi ni kama wewe jomba.
Niungie huyo Binti.Habarini wanajamii wenzangu.
Leo ninashare direct na ninyi hili, miaka kadhaa iliyopita katika harakati zangu za kazi nilikutana na binti mmoja ambaye ninakiri nilimpenda na nikamlea nikimchukulia kama mwanangu aliweza kuishi nami mpka akawa msichana mrembo wakuolewa ikiwa ni baada ya yeye kumaliza masomo
Psychology ya mwanamke ni ngumu sana kuilewa,Habarini wanajamii wenzangu.
Leo ninashare direct na ninyi hili, miaka kadhaa iliyopita katika harakati zangu za kazi nilikutana na binti mmoja ambaye ninakiri nilimpenda na nikamlea nikimchukulia kama mwanangu aliweza kuishi nami mpka akawa msichana mrembo wakuolewa ikiwa ni baada ya yeye kumaliza masomo
[emoji16][emoji16][emoji16], nimekuelewa jomba,Uzoefu wangu unaonesha wanawake wengi wanapendaga penye changamoto yani[emoji23][emoji23][emoji23]!!! Hapo ndipo atang’ang’ania weee na humwambii kitu akasikia yeye ndio kapenda hivyo! Ambapo akili yake iko tulivu by 100% hapataki ndio maana wanakataaga watu genuine na kukubalia watu fake.
They never settle where there is comfort by 100%! Kama huamini mpe hata mkeo comfort by 100% hapo msaidie kazi zake mpikie mpe uhuru afanye analotaka usimuingilie we mdekeze tu kisha ndani ya miezi 6 utanipa majibu kama hajatombwa nje na kukuletea kibezi!
Asa apo kiongozi ndoa yenu na mkeo ni vunga?Kabisa kiongozi umenena sawa nilimpenda sana mke wangu akaja kuniona mjinga kabisa kama mtu niliyenasa kwake kamwe siwezi kutoka na siwezi kupata mwanamke mwingine duh! Siku moja akanambia siwezi kupata mwanamke mzuri kama yeye...Na kwamba mwanaume gani nashindwa kuvumilia mikikimikiki ya mwanamke duh! Alinifanyia vituko vingi sana.Nilibadilika nikajikaza kiume nikaanza kumpuuza nikatafuta pisi moja kali, yeye nikaanza kumpeleka kibabe saizi katulia heshima imerudi na kamwe siachani na pisi yangu hii nyingine mahusiano yetu yameanza mwaka wa tatu na tumeshapanga kuzaa saizi.. Baadhi ya wanawake ni wehu kabisa.
We jamaa unachamba zaidi ya ShiloleHabarini wanajamii wenzangu.
Leo ninashare direct na ninyi hili, miaka kadhaa iliyopita katika harakati zangu za kazi nilikutana na binti mmoja ambaye ninakiri nilimpenda na nikamlea nikimchukulia kama mwanangu aliweza kuishi nami mpka akawa msichana mrembo wakuolewa ikiwa ni baada ya yeye kumaliza masomo yake.
Honestly sikuwa na hiyana nkamwambia kama anakupenda aje tumuone na uolewe kama unavyotaka kila kitu kilienda sawa, baada ya miezi mitatu kesi zilianza, ikawa yule binti analia sana anasema jamaa yupo busy na kazi hamjali, mara jamaa ana wanawake akimuuliza ni mnuno mwez mzima.
Mara jamaa hataki stor za maendeleo worst bint alipata kaz na jamaa akamwambia marufuku kaz kwangu. Binti nilimsihi amlilie Mungu kwani ndiye atakayemuonyesha njia.
Eee bwana after one year bint akabahatika kupata mimba , mshkaji akazidisha maudhi na sasa akamkimbia kabisa na kumuomba binti uhuru. Binti aliumia mno na kilichotokea ni kuparalyse na mimba ikatoka.
Ni kipind ambacho nilitambua kuwa dunia ina watu na wanawake tunazaa jamani. Sasa jamaa alivyoskia tetes za binti basi alimdivorce na alitoweka mazima, ikaishia hapo.
Nilimpambania sana na alipona na sasa nkamuomba aniambie kwanini alienda penda paspotakiwa?
Mabinti msiforce upendo sio kila mtu anaweza penda wengine wataishia kuwafundisha ugaidi na chuki...
Haahaaahaa[emoji1787][emoji1787][emoji16]Uzoefu wangu unaonesha wanawake wengi wanapendaga penye changamoto yani[emoji23][emoji23][emoji23]!!! Hapo ndipo atang’ang’ania weee na humwambii kitu akasikia yeye ndio kapenda hivyo! Ambapo akili yake iko tulivu by 100% hapataki ndio maana wanakataaga watu genuine na kukubalia watu fake.
They never settle where there is comfort by 100%! Kama huamini mpe hata mkeo comfort by 100% hapo msaidie kazi zake mpikie mpe uhuru afanye analotaka usimuingilie we mdekeze tu kisha ndani ya miezi 6 utanipa majibu kama hajatombwa nje na kukuletea kibezi!
Sasa mimba inazuia nini?Mie nimepanga nikioa naanza biashara za kusafiri na kuacha mimba nyuma[emoji23][emoji23][emoji23] hivyo mama atakuwa na shughuli ya kuzaa na kulea tu! Maswala ya kukaa na mke anikere kila nikirudi jioni siyataki maana wanawake hamkosi maudhi!
HaahaaahaaSiwezi kutumwa chips morocco mimi atakaa na dadayake [emoji23][emoji23][emoji23]
Mimba itamtuliza na mie ntakuwa sipo😅😅😅 ama we hujawahi zaa bibie?Sasa mimba inazuia nini?
Mambo ya kutumana chips eti za Morroco ndio tamu banaa😆😆😆 nazitaka! Hapo saa 5 usiku yani! Utoke Kimara hadi Morocco ukamletee chipsHaahaaahaa
Kudadeki full kukutuma malapa ya mateja tandale mimba ina hamu ya kuyanusa[emoji16][emoji1787][emoji1787]
Hee mleta uzi ni mwanaume?Hiyo avatar yako ni tata sana, mi nilifikiri we ni demu....angalia, Dar Es Salaam hii, utakuja kuchumbiwa....shauri yako
Ukweli mchungu.Uzoefu wangu unaonesha wanawake wengi wanapendaga penye changamoto yani😂😂😂!!! Hapo ndipo atang’ang’ania weee na humwambii kitu akasikia yeye ndio kapenda hivyo! Ambapo akili yake iko tulivu by 100% hapataki ndio maana wanakataaga watu genuine na kukubalia watu fake.
They never settle where there is comfort by 100%! Kama huamini mpe hata mkeo comfort by 100% hapo msaidie kazi zake mpikie mpe uhuru afanye analotaka usimuingilie we mdekeze tu kisha ndani ya miezi 6 utanipa majibu kama hajatombwa nje na kukuletea kibezi!
Aseee we kiboko [emoji848][emoji848][emoji848]Kabisa kiongozi umenena sawa nilimpenda sana mke wangu akaja kuniona mjinga kabisa kama mtu niliyenasa kwake kamwe siwezi kutoka na siwezi kupata mwanamke mwingine duh! Siku moja akanambia siwezi kupata mwanamke mzuri kama yeye...Na kwamba mwanaume gani nashindwa kuvumilia mikikimikiki ya mwanamke duh! Alinifanyia vituko vingi sana.Nilibadilika nikajikaza kiume nikaanza kumpuuza nikatafuta pisi moja kali, yeye nikaanza kumpeleka kibabe saizi katulia heshima imerudi na kamwe siachani na pisi yangu hii nyingine mahusiano yetu yameanza mwaka wa tatu na tumeshapanga kuzaa saizi.. Baadhi ya wanawake ni wehu kabisa.