Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

HAKUNA MWANAMKE JEURI KWA MWANAUME ANAEMPENDA...
 
Hiyo ni hadi Kikuyu Kenya, wale ni Machame pure wananyoga mchana kweupe
 
1.Una anzia kanisani/Bakwata/ustawi wa jamii ngazi ya kata kwa ajili ya usuruhishi.
2.Suruhu ikishindikana, unapewa form namba 3 unapeleka mahakamani (ya mwanzo)
3. kama hautaridhika na mwenendo wa kesi/hukumu basi una kwenda mahakama ya wilaya
Anha. Sawa! Na je mfano kuna mteja anataka kushtakiwa na NMB kutokana na kushindwa kulipa deni, je, anaweza kupelekwa moja kwa moja mahakama ya wilaya badala ya mahakama ya mwanzo?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Miliona 8 ndoa kubwa? Hii inaonyesha mnaolalamika ni watu wa aina gani.
 
NA WALIVYO WA BARIDI SASA KITANDANI....
KWELI MUNGU HAKUPI VYOTE, UKIOA MCHAGA LAZIMA UWE NA MCHEPUKO
Huo ubaridi sisi ndio tunaupenda hivyo hivyo,,kwa kuwa joto tunalo,,, nyie tafuteni wenye joto inawezakana ubaridi mnao nyie!!!
 
Tatizo la wanawake wa kaskazini ni kubwa sana sana ubaguzi na ubinafsi, they don't leave their homes mentality once married. Mimi ntawadinya tu kuoa na upendi no
 
ahahaha.. bro miaka hii watu wanachanganyikana sana unaweza kukuta mtu mchaga kabila tu ila tabia zake ni only 1% unaweza ku-compare na uchaga.. kazaliwa mbeya, kakulia mbeya, kasomea iringa kazi anafanyia Morogoro hapo kwao baba yake mchaga mama mnyamwezi hizo element anazitolea wapi? Zamani mtu wa kabila fulani alikuwa ana tabia endana na kabila hilo sababu mtu anazaliwa na kukulia mazingira yale yale, baba na mama ni kabila moja hivyo itatokea tu kurithi tabia zile zile.
 
Lakini wanaoongoza kwa kuolewa ni wao. Ni wanawake wa maana sana

Heko kwa Chagga na Maasai Queens. Kazeni hapo hapo.
We ndo unawajua Sasa,halafu hawahawi hovyo hovyo,Huwa wanajua kujitunza,ni mara chache sana kuona mchagga anaolewa under 20yrs,so ni watu poa sana,ila kama huwaelewi utapata tabu sanaa.
 
The best comment of the day
 
Ila kwa aina ya mahusiano yalivyo na most of men kwa kweli

WADADA WA KASKAZINI salute kwenu.
Sisi wengine wabantu sisi hatukuandaliwa wa aina ya mapenzi, ndoa, na wanaume wa kizazi hiki na wazazi waligoma kutubadilishia mitaala.
Mi ndo mana nna mabinti wa kichaga, angalau wakichukua tabia za mashangazi zao ndo safi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…