Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Mkuu hii mbona inaeleweka toka kitambo , japo sio wote , ila asilimia kubwa hao wanatakiwa tuu wawe single mother
Duh!
Mnawaonea bure.

Mbona ni wife material,na wanazidi kuolewa.
 

Wadada wa Arusha na Moshi wanaolewa au kuwa kwenye mahusiano vizuri na wanatulia sana tu.
 
Ni kweli kabisa mimi mwenyewe nilikutana nayo hayo...
 
Kwa nn unaelezea wachaga pekee utadhani Kaskazini ni ya wachaga peke yao, mi naona maelezo yako ni mufilisi na hakika wewe utakua ni mchaga, sasa unajaribu kuwamba ngoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…