Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Hapo kwenye udangaji ungebold.
 
Msipo zingatia maneno haya basi maisha yenu yote lazima yawe motoni

Wana mioyo ya chuma, huruma ni msamiati ambao kwao haupo. Pesa ipo mbele kuliko jambo lingine lolote. Epuka mabinti wa kaskazini

Mimi sishauri mtu kuoa hawa dada zangu.
NAKAZIA
 
Inaonekana unawajua saana mkuu, mabint wa kaskazini ambao hawajaolewa huwa wanapenda kukaa na wamama wa kaskazini ili kuwapa mafundisho ya wanaume, hapo ndipo wanapoharibikiwa, hasahasa kuona mwanaume ni kitu cha kawaida kwao.
 
Wanawake wa huko hawana kitu kinachoitwa kuridhika/kutosheka ili ajenge familia bora. Kama alikuwa anakula dagaa kisha akatamani walau ale nyama, akipata nyama anasahau kama alikuwa anatamani kuipata hiyo nyama, so maisha yao wengi wao yapo hivyo...

Akiwa na mwanaume mwenye maisha fulani mazuri ya kumkidhi yeye na familia yao, akiona mwanaume mwingine ana ela, atatamani awe na mwanaume huyo. Mbele ya pesa, mali mwili wake hauna thamani.
 
Hapo mlengwa ni Moshi, Arusha nimesimgizia tu kidogo
nilipita siku moja kwa rafiki yangu ana biashara pale stendi ya arusha mjini, katika story akaniambia unaona hizi nyumba hapa nyingi wamiliki ni wajane ,akaniambia wanawake wa huku sio wanawake ni mashetani ,wanawamliza waume zao kisa pesa, yeye ni mchaga anasafiri kila mwezi kwenda kwa demu wake tanga
 
Sasa tutafanyaje?
 
kweli bora kugongewa kuliko kuchukuliwa mali
 
Ukiona majority inazungumza negatives kuhusu hao viumbe basi ujue hawaonewi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…