Anamaanisha milenda kama wewe na wanaokuunga mkono, Kaskazini hamwezi ku fit! Kaskazini ya wachapakazi, sio ya washirikina na wapunga pepo, wala ya waganguzi...WACHAPAKAZI, WANAOJITAMBUA, HAWAYUMBISHISHWI, USIPOMUOA WEWE, ANAOLEWA NA mchapakazi[emoji35]Hadi sasa najaribu kuelewa ulichoandika Ila nimeshindwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu hujifunza kutokana na makosa, hongera Mkuu kuweza kumove on.
Manake nasikia hata shemeji yetu aliyekuwa anakupiga matukio anatokea mojawapo wa maeneo hayo.
Wana umoja sana na wapo wengi humu, wanaweza kufanya ukapigwa banAhaaa..
Now you are talking.
Ungenyoosha tu kuwa Chaga queens [emoji146]
Si wote jamani wengine hatupo hivyoKijana mwenzangu mwenye ndoto kubwa sana huko mbeleni, naomba nikueleze mambo ambayo yanaweza kukusaidia sana na kukupunguzia vikwazo pale unapotaka kutimiza ndoto.Ninayasema haya nikiwa ni mmoja wa waliotokea kaskazini hivyo nina uzoefu wa kutosha. Epuka mabinti wa kaskazini
Kwenye safari hii vijana wengi hukwama maana hapo katikati huwa na mahusiano na huamua kuoa, hapo kwenye kuoa epuka mabinti wa kaskazini.
Wana mioyo ya chuma, huruma ni msamiati ambao kwao haupo. Pesa ipo mbele kuliko jambo lingine lolote. Epuka mabinti wa kaskazini
Jeuri + kiburi, hii ndio alama kuu ya utambulisho(SI Unit). Tumezoea kuwa wanawake/mabinti kwa jinsi walivyoumbwa huwa wanapaswa kuwa humble. Kuwa wapole, wanyenyekevu, lakini kwa hawa hiyo kitu SAHAU. Epuka mabinti wa kaskazini
Mali, hili ni neno ambalo utalisikia maisha yako yote kuliko neno lingine lolote. Ni kweli mali ni kitu kizuri lakini hatupaswi kuwa wanyama kwa sababu ya kuwaza muda wote Mali. Epuka mabinti wa kaskazini
Ukiwa upo vizuri kimaisha, atakuheshimu sana. Ukiweka ndani tu hakuna rangi utaacha kuona. Na mwisho anaweza kukumaliza kwa stress/depression.
Chake ni chake, chako ni chake, chako na chake ni Chao. Kifupi tu vyote ni vyao sio vyenu
Unae katika mahusiano? Chapa alafu sepa, ukishasepa jipige kifuani alafu sema mimi ni mwamba mjanja.
Be warned, vijana wenzangu don’t be afraid to make decisions you know you can live with afterward, never make decisions you know you can’t live with later. That’s my free advice, no charge. Epukaaaaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huu wimbo ni pendwaa kwangu,sweet mangi
Dah, dai na dai bili,
Nyingi nalipa ili,
Njaa isije katili,
Msingi uwe kamili,
Vocha jumatano, elf moja Mia tano,
Jiunge bando la chuo,
Mpaka tena jumatano,
Sina takataka,
Caterpillar, kata kila demu anaenitaka,
Kata kila shorts,
Ila wanasema, kila demu anataka kila, mwanaume amkatie pochi,
Sitakupa Indian hair,
Ntakupa mtaji wakuwauzia,
Brazilian hair,
Sitakupa brazilian hair,
Ntakupa mtaji wakuwauzia,
Perruvian hair,
Arusha ina mchanganyiko wa watu wengi.Na Mimi niliyepanga kwenda huko Arusha kuopoa pisi Sasa mnanishauri vipi?
Nyie wenyewe ndio mnalalamika. Mnaogopana hadi basi. Muulize mmarangu kuhusu mmachane au mkiboshoTuachieni dada zetu tutawaoa wenyewe, mmekaa kilege lege kama mashoga hamuwezi wanawake wa chuma
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni yeye.Hatimae Nikki wa pili kafunguka kwa mara ya kwanza.
Aliyeimba "sweet mangiii" sio wewe kweli?
Basi ukishachapa endelea.Huo sio umwamba bwashee
😂😂😂🙅
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watu, uwiiiiihNje ya Box Lyrics
House of music A city in tha house
Mpeleke joh makini nikki wa pili wara wara
Mpeleke Nje nje nje ya kumi na nane
Nje ya kumi na nane
Mpeleke Nje nje nje ya kumi na nane
(VERSE1: Niki wa pili)
Mungu nijalie demu mpenda pesa
Kila siku nipigane kuwa bakhresa
Asinipende mimi apende verosa
Wanaomegewa wengi ndio kitu wamekosa
Malighafi ya suruali si boxer
Siri nyingi mahali dingi alikosa
Demu wa shida na raha na misoto sana
Huyo demu hanifai changamoto hana
Ikiwa demu wako anapenda vidogo
Uwezi kuwa na vingi na kuwa kigogo
Demu amsifie sana bosi wangu
Nikasirike kesho nijenge kiwanda changu
Sitaki demu wa kitanga jioni moja kanga
Tayari amejipanga kwa mabusu mangapi
Demu nayemtaka Manka wa kichaga jioni anaulizaga umeingiza shingapi
Una stress sana kwanza ulileta thread watu wasioe wachaga leo umekuja kugeneralise pote kinachofuata utasema watu wasioe wanawake tanzaniaKijana mwenzangu mwenye ndoto kubwa sana huko mbeleni, naomba nikueleze mambo ambayo yanaweza kukusaidia sana na kukupunguzia vikwazo pale unapotaka kutimiza ndoto.Ninayasema haya nikiwa ni mmoja wa waliotokea kaskazini hivyo nina uzoefu wa kutosha. Epuka mabinti wa kaskazini
Kwenye safari hii vijana wengi hukwama maana hapo katikati huwa na mahusiano na huamua kuoa, hapo kwenye kuoa epuka mabinti wa kaskazini.
Wana mioyo ya chuma, huruma ni msamiati ambao kwao haupo. Pesa ipo mbele kuliko jambo lingine lolote. Epuka mabinti wa kaskazini
Jeuri + kiburi, hii ndio alama kuu ya utambulisho(SI Unit). Tumezoea kuwa wanawake/mabinti kwa jinsi walivyoumbwa huwa wanapaswa kuwa humble. Kuwa wapole, wanyenyekevu, lakini kwa hawa hiyo kitu SAHAU. Epuka mabinti wa kaskazini
Mali, hili ni neno ambalo utalisikia maisha yako yote kuliko neno lingine lolote. Ni kweli mali ni kitu kizuri lakini hatupaswi kuwa wanyama kwa sababu ya kuwaza muda wote Mali. Epuka mabinti wa kaskazini
Ukiwa upo vizuri kimaisha, atakuheshimu sana. Ukiweka ndani tu hakuna rangi utaacha kuona. Na mwisho anaweza kukumaliza kwa stress/depression.
Chake ni chake, chako ni chake, chako na chake ni Chao. Kifupi tu vyote ni vyao sio vyenu
Unae katika mahusiano? Chapa alafu sepa, ukishasepa jipige kifuani alafu sema mimi ni mwamba mjanja.
Be warned, vijana wenzangu don’t be afraid to make decisions you know you can live with afterward, never make decisions you know you can’t live with later. That’s my free advice, no charge. Epukaaaaaaa
Vumilia wanguMimi Ambaye Nipo Kaskazini Nimeoa Na Watoto Tele Hapo Sanya Juu, Lawate, Fuka
Nivunje Ndoa Ama Nivumilie
Ni kuishi kwa akili tuKabisa kabisa.... Time will tell
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahZamani nilikuwa najua hakuna mchaga dark skin.
Mtu mwenye dark skin alikuwa akinambia ye mchaga namkatalia [emoji23] mpaka nilipopewa somo.
Kwa kilio hiki kuna nyundo imemtwanga mtu.Be warned, vijana wenzangu don’t be afraid to make decisions you know you can live with afterward, never make decisions you know you can’t live with later. That’s my free advice, no charge. Epukaaaaaaa