Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Twende mbele turudi nyuma

Hao hao mabinti wa kaskazini wanaongoza kuolewa tena kwa sherehe kubwa za gharama

Kabla ya kuendelea kuwashambulia, mabinti wengine wajifunze mazuri ya hawa mabinti wa kaskazini na yale mabaya wayaache

Hata ww mtoa mada una mazuri yako na mabaya yako
Na mie nashangaa wanawake wa kaskazini wanaolewa kwa ndoa tena za gharama kila siku.

Afu huku wana kandiwa sielewagi yaan
 

Nje ya Box Lyrics​

House of music A city in tha house
Mpeleke joh makini nikki wa pili wara wara
Mpeleke Nje nje nje ya kumi na nane
Nje ya kumi na nane
Mpeleke Nje nje nje ya kumi na nane

(VERSE1: Niki wa pili)
Mungu nijalie demu mpenda pesa
Kila siku nipigane kuwa bakhresa
Asinipende mimi apende verosa
Wanaomegewa wengi ndio kitu wamekosa
Malighafi ya suruali si boxer
Siri nyingi mahali dingi alikosa
Demu wa shida na raha na misoto sana
Huyo demu hanifai changamoto hana
Ikiwa demu wako anapenda vidogo
Uwezi kuwa na vingi na kuwa kigogo
Demu amsifie sana bosi wangu
Nikasirike kesho nijenge kiwanda changu
Sitaki demu wa kitanga jioni moja kanga
Tayari amejipanga kwa mabusu mangapi
Demu nayemtaka Manka wa kichaga jioni anaulizaga umeingiza shingapi

CHORUS (G Nakko)
Mpeleke nje nje nje nje ya kumi nane
Nje nje nje nje ya kumi na nane
Mpeleke nje nje nje nje nje nje ya box nje ya box
Nje ya kumi na nane

(VERSE2: Joh Makini)
Namtoa nje ya box ndio nampe cha ndani ya boxer
Aulizie ferrari jo ni kitu gani verosa
Demu boda boda kwenye bajaj anasinzia
Itaua kipaji na uwezo kufikiria
Asinipende kama joh anipende kama star
Super kabisa ile gumzo ya kitaa
Hili nikaze asinilemaze nikadumaa
Sio demu anayehitaji kuwa na ndoa
Bali mwanamke anayehitaji mahitaji ya ndoa
Na sheria mikononi simpigi demu
Nachukua sheria kiunoni joh me killin them
Asiyefanya kazi na asile ndio neno lenye uhai
Asishike neno ashike maneno yenye maslahi
My lips don’t shy when yo hips don’t lie
Sio gifti, shopping, lifti, vocha, chips mayai
Demu cheap me hanifai
Habari gani afanye niwaze milioni
Kumwhonga laki mbili tatizo nisione
Flow na mdundo ni mapene ya mweusi n
Sio miaka thelethini na tano driving school
Hapendi mimi niendeshe magari mazuri yea that’s cool
Manka wa kichagga siku hizi wamekengeuka, hawasikii la muadhini wala la mnadi swala
 
Twende mbele turudi nyuma

Hao hao mabinti wa kaskazini wanaongoza kuolewa tena kwa sherehe kubwa za gharama

Kabla ya kuendelea kuwashambulia, mabinti wengine wajifunze mazuri ya hawa mabinti wa kaskazini na yale mabaya wayaache

Hata ww mtoa mada una mazuri yako na mabaya yako
Sio kweli.
 
Kijana mwenzangu mwenye ndoto kubwa sana huko mbeleni, naomba nikueleze mambo ambayo yanaweza kukusaidia sana na kukupunguzia vikwazo pale unapotaka kutimiza ndoto.Ninayasema haya nikiwa ni mmoja wa waliotokea kaskazini hivyo nina uzoefu wa kutosha. Epuka mabinti wa kaskazini

Kwenye safari hii vijana wengi hukwama maana hapo katikati huwa na mahusiano na huamua kuoa, hapo kwenye kuoa epuka mabinti wa kaskazini.

Wana mioyo ya chuma, huruma ni msamiati ambao kwao haupo. Pesa ipo mbele kuliko jambo lingine lolote. Epuka mabinti wa kaskazini

Jeuri + kiburi, hii ndio alama kuu ya utambulisho(SI Unit). Tumezoea kuwa wanawake/mabinti kwa jinsi walivyoumbwa huwa wanapaswa kuwa humble. Kuwa wapole, wanyenyekevu, lakini kwa hawa hiyo kitu SAHAU. Epuka mabinti wa kaskazini

Mali, hili ni neno ambalo utalisikia maisha yako yote kuliko neno lingine lolote. Ni kweli mali ni kitu kizuri lakini hatupaswi kuwa wanyama kwa sababu ya kuwaza muda wote Mali. Epuka mabinti wa kaskazini

Ukiwa upo vizuri kimaisha, atakuheshimu sana. Ukiweka ndani tu hakuna rangi utaacha kuona. Na mwisho anaweza kukumaliza kwa stress/depression.
Chake ni chake, chako ni chake, chako na chake ni Chao. Kifupi tu vyote ni vyao sio vyenu

Unae katika mahusiano? Chapa alafu sepa, ukishasepa jipige kifuani alafu sema mimi ni mwamba mjanja.

Be warned, vijana wenzangu don’t be afraid to make decisions you know you can live with afterward, never make decisions you know you can’t live with later. That’s my free advice, no charge. Epukaaaaaaa

Wanawake wote, hata wa zaramo wapo hivyo, mwanamke pekee mzuri kwako ni Mama yako, ambaye ni mbaya kwa Baba yako.
 
Fafanua vizuri hapa. Dark skin wapo wengi tu, na light skin wapo wengi tu

Au unamaanisha kile kichotokea kwa wajaluo weupe?
Sikuwahi dhani kama panaweza kuwepo mchagga mweusi mf wa Mwijaku.

Kuna mtu nimefanya nae kazi mwaka mzima nikidhani kwa ule weusi + urefu wake anaweza kuwa muhaya. Imefika Dec ananiambia naenda Moshi, nikabaki kushangaa. Ndio kumuuliza vizuri
 
Anamaanisha milenda kama wewe na wanaokuunga mkono, Kaskazini hamwezi ku fit! Kaskazini ya wachapakazi, sio ya washirikina na wapunga pepo, wala ya waganguzi...WACHAPAKAZI, WANAOJITAMBUA, HAWAYUMBISHISHWI, USIPOMUOA WEWE, ANAOLEWA NA mchapakazi[emoji35]
Mimi ni wa kaskazini tena ile kaskazini haswaa, lakini mikono nimenyoosha juu mwendo wa mateka
 
WACHAGA hawaepukiki kwenye kuwaoa au kuolewa nao n hv Kama kungekuwa na sensa ya makabila Basi WACHAGA wangeongoza angalia mazingira unayoishi, fanyia kazi au unapopenda kupotezea muda je WACHAGA wapo kwa asilimia ngapi? Na je status yamaisha yao ipoje? Lazima ukute anajiweza na ukimuangalia baada ya miez au miaka kadhaa unamuona ATAKUWA mbali zaidi.

Kwakua umaskini n tatzo kwenye familia zetu nyingi na kupelekea kila anaetaka kuoa au kuolewa lazima achungulie kule anapotaka kwenda kunanin ndipo hapo wengi hujikuta anakutana na mchaga.

WACHAGA Kiukweli ndio kabila lenye spirit ya kumcha MUNGU, kwenda shule na kupambana kwelikweli ndio Mana kila ofisi kila taasisi kila Biashara na kila eneo lolote like lenye pesa WACHAGA ndio umewakuta wakwanza.

Vijana wajifunze kujua Kuna malezi ya familia hvyo mtu kuwa na roho nzuri au mbaya haitokan na wewe kabila gan Bali n maadali yahuko ulipolelewa.

WACHAGA hawaepukiki Kama unataka kuendelea muhimu omba utue kwa mwelewa.
 
Back
Top Bottom