Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

WACHAGA hawaepukiki kwenye kuwaoa au kuolewa nao n hv Kama kungekuwa na sensa ya makabila Basi WACHAGA wangeongoza angalia mazingira unayoishi, fanyia kazi au unapopenda kupotezea muda je WACHAGA wapo kwa asilimia ngapi? Na je status yamaisha yao ipoje? Lazima ukute anajiweza na ukimuangalia baada ya miez au miaka kadhaa unamuona ATAKUWA mbali zaidi.

Kwakua umaskini n tatzo kwenye familia zetu nyingi na kupelekea kila anaetaka kuoa au kuolewa lazima achungulie kule anapotaka kwenda kunanin ndipo hapo wengi hujikuta anakutana na mchaga.

WACHAGA Kiukweli ndio kabila lenye spirit ya kumcha MUNGU, kwenda shule na kupambana kwelikweli ndio Mana kila ofisi kila taasisi kila Biashara na kila eneo lolote like lenye pesa WACHAGA ndio umewakuta wakwanza.

Vijana wajifunze kujua Kuna malezi ya familia hvyo mtu kuwa na roho nzuri au mbaya haitokan na wewe kabila gan Bali n maadali yahuko ulipolelewa.

WACHAGA hawaepukiki Kama unataka kuendelea muhimu omba utue kwa mwelewa.
Uongo
 
WACHAGA hawaepukiki kwenye kuwaoa au kuolewa nao n hv Kama kungekuwa na sensa ya makabila Basi WACHAGA wangeongoza angalia mazingira unayoishi, fanyia kazi au unapopenda kupotezea muda je WACHAGA wapo kwa asilimia ngapi? Na je status yamaisha yao ipoje? Lazima ukute anajiweza na ukimuangalia baada ya miez au miaka kadhaa unamuona ATAKUWA mbali zaidi.

Kwakua umaskini n tatzo kwenye familia zetu nyingi na kupelekea kila anaetaka kuoa au kuolewa lazima achungulie kule anapotaka kwenda kunanin ndipo hapo wengi hujikuta anakutana na mchaga.

WACHAGA Kiukweli ndio kabila lenye spirit ya kumcha MUNGU, kwenda shule na kupambana kwelikweli ndio Mana kila ofisi kila taasisi kila Biashara na kila eneo lolote like lenye pesa WACHAGA ndio umewakuta wakwanza.

Vijana wajifunze kujua Kuna malezi ya familia hvyo mtu kuwa na roho nzuri au mbaya haitokan na wewe kabila gan Bali n maadali yahuko ulipolelewa.

WACHAGA hawaepukiki Kama unataka kuendelea muhimu omba utue kwa mwelewa.
Lile kabila n kama Wanawaisraeli hata uwakatae vipi wao wamo
 
Jamaa wenge kweli wew umegonga wangp huko hadi kufikia hitimisho mademu wote wa kaskazini hawafai kuoa?!.
Kwa taarifa yako mademu wa huko wengi ni wife material...wanajua kupambana ktk maisha sio watu wa kuremba wala kupaka paka hina muda wote!
 
Jamaa wenge kweli wew umegonga wangp huko hadi kufikia hitimisho mademu wote wa kaskazini hawafai kuoa?!.
Kwa taarifa yako mademu wa huko wengi ni wife material...wanajua kupambana ktk maisha sio watu wa kuremba wala kupaka paka hina muda wote!
Kwanza ndo hao kila siku wanaolewa kwa ndoa za gharama kubwaaa, nashangaa mie.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ko mie ni Dunya?? Hebu niombe radhi plz, kwann lakiniiiii???
Tumeanza na noel gio, tunakuja kwa aggrey, anafata juma lokole. Wewe zamu yako haipo mbali, kaa square
 
Niwie radhi Mkuu wangu, nilidhani unatupa somo sisi wengine baada ya wewe kuwa muhanga wa jambo lenyewe.

Kumbe nawe umehadithiwa ubaya wa hao watu bila kuwa na ushahidi nao?

Nashauri kama haujawahi kupigwa nao tukio basi huu uzi ufutwe, manake inakuwa tunawapaka ubaya watu wasiohusika
.........Asifiaye mvua imemnyea.
 
Back
Top Bottom