Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Jamaa wenge kweli wew umegonga wangp huko hadi kufikia hitimisho mademu wote wa kaskazini hawafai kuoa?!.
Kwa taarifa yako mademu wa huko wengi ni wife material...wanajua kupambana ktk maisha sio watu wa kuremba wala kupaka paka hina muda wote!
Uongo
 
Yaan kila siku huwa nashangaa mie, maana mitandaoni wanawake wa kaskazini wanakandiwa ila huku uraiani kila kukichaa utaona appearance tag kutoka kwa Gara B, huwa anaweka na tribes bas utaona mchaga, mpare, mmasai, mmeru, yaan na unakuta hapo mlimani city, na ndoa imefana balaaa afu ya gharamaa.

Mwezi uliopitaa Madame wangu wa field alinikuta 4m 3, aseeeh bonge la ndoa, niliona kwa Gara B, ni mmasai yeye. Na mumewe mnyaturu,

Afu hapa wanasemwa vibayaa naonaga, wanaume husika wanashindwa kuendana na hao wanawake, wanaamua kuwa dis, ila ukweli wanawapenda tatizo uwezo wao hauruhusu kuwa nao, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haya mambo hayajanza leo. Hata Mungu alipomuuliza Adam kwa nini umekula tunda nililokukataza, Adam alijitetea kuwa Eva ndiye aliyemkwaza. Angalia sana hao wanaoandama wachaga. Ni watu mufilisi, wavivu na wajinga wanaodhani matatizo yao yamesababishwa na wachaga. Au umesema ule msemo wa vita ya uchumi kutoka kwa mabeberu?
 
Jamaa wenge kweli wew umegonga wangp huko hadi kufikia hitimisho mademu wote wa kaskazini hawafai kuoa?!.
Kwa taarifa yako mademu wa huko wengi ni wife material...wanajua kupambana ktk maisha sio watu wa kuremba wala kupaka paka hina muda wote!
Mwanamke anayejua kupambana kamwe huwa hakai na mme vizur , lazima mwanaume awe likondoo ndo ndoa iende, ili ndoa iende uchumi wa mwanamke unatakiwa uwe mbovu kuliko wa mwanaume , ni 20% ya wanawake wenye uchumi mwema kuxid wanaume ndo huheshimu waume zao nayo ni kwa sababu ya malezi ya wazazi wao hasa kama walikuwa watu wa dini.....
 
Kwenye kutafuta hela na wasifu,nilienda Arusha nikaikuta pisi kali inatembeza nguo, ingekuwa dar angekuwa anatembeza papuchi.
 
Yaan kila siku huwa nashangaa mie, maana mitandaoni wanawake wa kaskazini wanakandiwa ila huku uraiani kila kukichaa utaona appearance tag kutoka kwa Gara B, huwa anaweka na tribes bas utaona mchaga, mpare, mmasai, mmeru, yaan na unakuta hapo mlimani city, na ndoa imefana balaaa afu ya gharamaa.

Mwezi uliopitaa Madame wangu wa field alinikuta 4m 3, aseeeh bonge la ndoa, niliona kwa Gara B, ni mmasai yeye. Na mumewe mnyaturu,

Afu hapa wanasemwa vibayaa naonaga, wanaume husika wanashindwa kuendana na hao wanawake, wanaamua kuwa dis, ila ukweli wanawapenda tatizo uwezo wao hauruhusu kuwa nao, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mada yyte ukitaka kujua ukweli wake njoo Jamii forum , Jamii forum huwa haidanganyi , ndo mawazo pure ya watu
 
Haya mambo hayajanza leo. Hata Mungu alipomuuliza Adam kwa nini umekula tunda nililokukataza, Adam alijitetea kuwa Eva ndiye aliyemkwaza. Angalia sana hao wanaoandama wachaga. Ni watu mufilisi, wavivu na wajinga wanaodhani matatizo yao yamesababishwa na wachaga. Au umesema ule msemo wa vita ya uchumi kutoka kwa mabeberu?
Uongo
 
Haya mambo hayajanza leo. Hata Mungu alipomuuliza Adam kwa nini umekula tunda nililokukataza, Adam alijitetea kuwa Eva ndiye aliyemkwaza. Angalia sana hao wanaoandama wachaga. Ni watu mufilisi, wavivu na wajinga wanaodhani matatizo yao yamesababishwa na wachaga. Au umesema ule msemo wa vita ya uchumi kutoka kwa mabeberu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliii haswaaaah.
 
Lyrics
Safari - Nikki Wa Pili
...
where is money oh!!
where is my honey njoo
Bila we ni presha nakesha
ah tupendane safari ya mapenzi kitaani
aziza Anita Anne
toka Nani anitukane
eti Sina pozi Sina money
niweke pozi au nikuchane
nikupe Kiki ujulikane
hakuna Kiki just fun
Sina mshahara Ila sholout
mziki biashara
wananitaka leo wakina Sarah
sio me sio joh sio g warara
watoto wanaipenda asali
watoto hawapendi ukali
hawapendi safari maisha kufika ni mbali na Tena kwa msoto mkali
I love u waubani (2)na huku I love
ur money ( uh uh eh)
I love u waubani (money') na huku I love my money
man me na we sijali
safari is not fun
jaman Hawataki kunicrown me
usijali hakianani
dem alidhani me ni jigga
nikakuacha akidhani nitapiga
hakuna gold wacha digger
utachezea wazungu wa nigga
mashoping kutwa kwa maduka
saluni mawigi kusuka
madiscko majoka kuruka
na jina nimwandike kwa chupa
kwa miguu ata nikamaliza moka
mie bado sikua Kanye
kumbe kasister du kitambo kalikua Kardashian
hakuna kitu kichwani dash Yan
watoto wanapenda asali
watoto hawapendi ukali hawapendi safari maisha kufika ni mbali na Tena kwa msoto .mkali
where is my money oh
where is my honey njoo
bila we ni presha nakesha na we (2)
I love u waubani na huku I love ur money
I love u waubani na huku I love my money
I love my money
utanipiga deki nikikudekeza
maisha safari ndo kuwekeza
Mara nataka I phone mmmh!!
nikakanunulia apple kakatafuna Kisha nikakatafuna
kakataka out nikakatoa nje kakapigwa upepo nikakaimbia xo
mapenzi mama ntakupa pepo
Mambo za Nini em karibu depo
mie ni zero juu yako simama pembeni kushoto tukamilishe kumi
watoto wanapenda asali
watoto hawapendi ukali
hawapendi safari
maisha kufika ni mbali na Tena kwa msoto mkali eh oooh.
where is my money oh
where is my honey njoo
bila we ni presha nakesha na we ( 2)
i love u waubani na huku I love ur money
I love u waubani na huku I love my money (money)
lyrics by ig alwayswith_mello
 
Back
Top Bottom