Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UongoJamaa wenge kweli wew umegonga wangp huko hadi kufikia hitimisho mademu wote wa kaskazini hawafai kuoa?!.
Kwa taarifa yako mademu wa huko wengi ni wife material...wanajua kupambana ktk maisha sio watu wa kuremba wala kupaka paka hina muda wote!
Jasiri haachi asili.Arusha ina mchanganyiko wa watu wengi.
Makabila mbali mbali yapo.
Na pia suala la uchoyo, umimi ni la mtu binafsi. Kesi za wakurya, ina maana watu hawajawahi kutana na mkurya mpole?
Si ile Tz imesha generalized mambo, basi inabaki kuwa hivyo.
Haya mambo hayajanza leo. Hata Mungu alipomuuliza Adam kwa nini umekula tunda nililokukataza, Adam alijitetea kuwa Eva ndiye aliyemkwaza. Angalia sana hao wanaoandama wachaga. Ni watu mufilisi, wavivu na wajinga wanaodhani matatizo yao yamesababishwa na wachaga. Au umesema ule msemo wa vita ya uchumi kutoka kwa mabeberu?Yaan kila siku huwa nashangaa mie, maana mitandaoni wanawake wa kaskazini wanakandiwa ila huku uraiani kila kukichaa utaona appearance tag kutoka kwa Gara B, huwa anaweka na tribes bas utaona mchaga, mpare, mmasai, mmeru, yaan na unakuta hapo mlimani city, na ndoa imefana balaaa afu ya gharamaa.
Mwezi uliopitaa Madame wangu wa field alinikuta 4m 3, aseeeh bonge la ndoa, niliona kwa Gara B, ni mmasai yeye. Na mumewe mnyaturu,
Afu hapa wanasemwa vibayaa naonaga, wanaume husika wanashindwa kuendana na hao wanawake, wanaamua kuwa dis, ila ukweli wanawapenda tatizo uwezo wao hauruhusu kuwa nao, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwanamke anayejua kupambana kamwe huwa hakai na mme vizur , lazima mwanaume awe likondoo ndo ndoa iende, ili ndoa iende uchumi wa mwanamke unatakiwa uwe mbovu kuliko wa mwanaume , ni 20% ya wanawake wenye uchumi mwema kuxid wanaume ndo huheshimu waume zao nayo ni kwa sababu ya malezi ya wazazi wao hasa kama walikuwa watu wa dini.....Jamaa wenge kweli wew umegonga wangp huko hadi kufikia hitimisho mademu wote wa kaskazini hawafai kuoa?!.
Kwa taarifa yako mademu wa huko wengi ni wife material...wanajua kupambana ktk maisha sio watu wa kuremba wala kupaka paka hina muda wote!
Pisi zisizo na matako?Ila ni pisi balaa. Nina rafiki ni mmasai aliyemix na mpare. Yule dada ni mzurii
Na ana tabia njema, sijawahi notice kama ni mchoyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] waitin kwa hamu hiyo zamu yangu.Tumeanza na noel gio, tunakuja kwa aggrey, anafata juma lokole. Wewe zamu yako haipo mbali, kaa square
Mada yyte ukitaka kujua ukweli wake njoo Jamii forum , Jamii forum huwa haidanganyi , ndo mawazo pure ya watuYaan kila siku huwa nashangaa mie, maana mitandaoni wanawake wa kaskazini wanakandiwa ila huku uraiani kila kukichaa utaona appearance tag kutoka kwa Gara B, huwa anaweka na tribes bas utaona mchaga, mpare, mmasai, mmeru, yaan na unakuta hapo mlimani city, na ndoa imefana balaaa afu ya gharamaa.
Mwezi uliopitaa Madame wangu wa field alinikuta 4m 3, aseeeh bonge la ndoa, niliona kwa Gara B, ni mmasai yeye. Na mumewe mnyaturu,
Afu hapa wanasemwa vibayaa naonaga, wanaume husika wanashindwa kuendana na hao wanawake, wanaamua kuwa dis, ila ukweli wanawapenda tatizo uwezo wao hauruhusu kuwa nao, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe ni kenge. Sasa nani kasema anawataka dada zako? Kwa kipi kwanza?Tuachieni dada zetu tutawaoa wenyewe, mmekaa kilege lege kama mashoga hamuwezi wanawake wa chuma
Yesuuuu na Maria 🤣Pisi zisizo na matako?
UongoHaya mambo hayajanza leo. Hata Mungu alipomuuliza Adam kwa nini umekula tunda nililokukataza, Adam alijitetea kuwa Eva ndiye aliyemkwaza. Angalia sana hao wanaoandama wachaga. Ni watu mufilisi, wavivu na wajinga wanaodhani matatizo yao yamesababishwa na wachaga. Au umesema ule msemo wa vita ya uchumi kutoka kwa mabeberu?
Countrywide huwa tunaparuana mno kwenye comments ila siyo case, leo umekuwa muwazi. Hongera.Kuna watu bado hawaelewi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliii haswaaaah.Haya mambo hayajanza leo. Hata Mungu alipomuuliza Adam kwa nini umekula tunda nililokukataza, Adam alijitetea kuwa Eva ndiye aliyemkwaza. Angalia sana hao wanaoandama wachaga. Ni watu mufilisi, wavivu na wajinga wanaodhani matatizo yao yamesababishwa na wachaga. Au umesema ule msemo wa vita ya uchumi kutoka kwa mabeberu?
Hili neno ilibidi uweke bold na rangi nyekundu kabisa mkuu, nyekundu ukimaanisha tahadhari na bold ukimaanisha msisitizoEpuka mabinti wa kaskazini