Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Wewe na mkeo wote wanawake. Sorry ila ndiyo ukweli. Mademu wa kaskazini 'nawatomba' mno na umri huu. Wa kawaida sana. Hakuna maajabu yoyote, na wengi ni jirani zangu. Ni hofu yako na kujishtukia tu
Kwa hiyo katika hilo la kuwaingilia umemaanisha na mimi naingiliwa siyo?
Active
Nilikuwa nasaka comments zako 🤣🤣🤣
HAhahaha yaani umesoma nyuzi zote hadi kufikia yangu mweh!🤣🤣


Kuna kijana wa Kinondoni Manyanya hapo juu kasema mimi na mke wangu wote wanawake. Na anawala sana kimasihara.

Haya matusi haya ni new version.
 
HAhahaha yaani umesoma nyuzi zote hadi kufikia yangu mweh!🤣🤣


Kuna kijana wa Kinondoni Manyanya hapo juu kasema mimi na mke wangu wote wanawake. Na anawala sana kimasihara.

Haya matusi haya ni new version
Msamehe bure. Kuna aina ya watu huku wakishashiba ugali wanasumbua.
 
Kijana mwenzangu mwenye ndoto kubwa sana huko mbeleni, naomba nikueleze mambo ambayo yanaweza kukusaidia sana na kukupunguzia vikwazo pale unapotaka kutimiza ndoto.Ninayasema haya nikiwa ni mmoja wa waliotokea kaskazini hivyo nina uzoefu wa kutosha. Epuka mabinti wa kaskazini

Kwenye safari hii vijana wengi hukwama maana hapo katikati huwa na mahusiano na huamua kuoa, hapo kwenye kuoa epuka mabinti wa kaskazini.

Wana mioyo ya chuma, huruma ni msamiati ambao kwao haupo. Pesa ipo mbele kuliko jambo lingine lolote. Epuka mabinti wa kaskazini

Jeuri + kiburi, hii ndio alama kuu ya utambulisho(SI Unit). Tumezoea kuwa wanawake/mabinti kwa jinsi walivyoumbwa huwa wanapaswa kuwa humble. Kuwa wapole, wanyenyekevu, lakini kwa hawa hiyo kitu SAHAU. Epuka mabinti wa kaskazini

Mali, hili ni neno ambalo utalisikia maisha yako yote kuliko neno lingine lolote. Ni kweli mali ni kitu kizuri lakini hatupaswi kuwa wanyama kwa sababu ya kuwaza muda wote Mali. Epuka mabinti wa kaskazini

Ukiwa upo vizuri kimaisha, atakuheshimu sana. Ukiweka ndani tu hakuna rangi utaacha kuona. Na mwisho anaweza kukumaliza kwa stress/depression.
Chake ni chake, chako ni chake, chako na chake ni Chao. Kifupi tu vyote ni vyao sio vyenu

Unae katika mahusiano? Chapa alafu sepa, ukishasepa jipige kifuani alafu sema mimi ni mwamba mjanja.

Be warned, vijana wenzangu don’t be afraid to make decisions you know you can live with afterward, never make decisions you know you can’t live with later. That’s my free advice, no charge. Epukaaaaaaa
Madini sana,

Nilicho jifunza MWANAMKE anavyo act before ndoa hio ni mission Moja iki be completely complishied.... kwenye ndoa Ina Anza mission nyingine........

Nakupongeza Kwa haya madini Kwa vijana.....
 
Mwanamke anayeleta maswala ya pesa na mali masaa 24 huyo sio mwanamke wa kuwa nae kimahusiano au kufanya awe mke. Huyo anatakiwa kuwa business partner nothing more.

Sipendi mwanamke anawaza mali muda wote na anahofu ya kukosa hata mazingira ambayo si ya kukosa.
 
Wengi mnapaparukia watu wa kuoa au kuolewa WACHAGA halisi mapenzi n kupotezea muda Ila kuchakarika na maisha jion sio Mwanamke/mwanaume wote unawakuta bar mezan Kuna safari au konyagi wakati anasubiri kitimoto hapo wanakunywa kwa Machame Yan anakunywa huku wanasoma Raman ya kesho ikifika saa mbili huyo nyumbani kesho mapema yupo road anakomaa na maisha yake.

Kiukweli natafuta Mwanamke wa kichaga sijui nitapata wap
Apo kwny kutokujua utapata wap ndo umezingua Mkuu,au na ww umehadithiwa hayo ulosema
 
ni ukweli mtupu umeongea ni wabinafsi mno.....atakupenda tu kama kuna kitu anfaidika kutoka kwako...hawezi kukupenda unconditionally...

wana tamaa sana na hizo tamaa zao ndo huwa wanaishia kupigwa mimba halafu wanaachwa....

mademu wengi wa kaskazini ni single maza na sababu kubwa ni tamaa...
Me huwa nawachana live kuwa kama huu uhusiano kwako hauwezi kwenda bila pesa basi pita hivi.
 
Sina chembechembe, na mkoa wangu hauna ukaribu hata kidogo na Kaskazini. Ajira ndiyo ilinileta huku
We wa wapi ili tujue kama na wewe tukuseme au tukuachie salama[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bora twende mbeya kwa wanyakyusa. Case zao ni chache
Na wao nao wanachangamoto zao za viburi na kuwa na maamuzi yaani anataka mwanaume akudominate kwa namna yoyote.

Utajikuta muda wote unakuwa mkali mkali na mtu wa kufoka au kupiga mabiti na mikwara kama sio mtoa vipigo.

Sasa kwa mtu unayetafuta kufurahia mapenzi na ujana wanawake wa hivyo ni wakut*mba na kubalasa asiwe na mazoea na wewe
 
Mwanamke anayeleta maswala ya pesa na mali masaa 24 huyo sio mwanamke wa kuwa nae kimahusiano au kufanya awe mke. Huyo anatakiwa kuwa business partner nothing more.

Sipendi mwanamke anawaza mali muda wote na anahofu ya kukosa hata mazingira ambayo si ya kukosa.
Hamtaki magoli kipa
Hamtaki wanaowaza pesa
Mnataka wepi?
 
Babuu Kwa misemoo tu nakuaminiaaaa!!
Kweli Kabisa babuu atolewe wengine wabaki salama 🤣🤣!
Hajui anataka kutuharibia soko kwa Mabinti zetu, wengine tunategemea kupata Wakwe na mahari kwa Wajukuu zetu 🤪🙈🏃🏃
 
Aisee..
Mbona nasikia wamasai wanafaa ni vile tu hawana antenna?!
Sio wa saa hii. Aisee nilikutana na kabinti kakimasai. Aiseee nikaa nako wiki yule mtoto tulit*mbana aiseee. Yaani ilifika muda tunatazamana usoni tukiwa tunasubiria miili ipate nguvu tuendelee, ana macho fulani hivi ya rangi ya gold.

Praxeda popote ulipo nitafute maana namba yako haipatikani na wewe Namna yangu sijui ulipoteza matako yako. Tafadhali tafuta tuendeleze tulipoishia mara mwisho mbwa ww.
 
kaa mbali na wameru ndugu.
kwanza si watu wakutembea we utawakuta hapohapo arusha
wameru ni kabila dogo sana wako kwenye tarafa km 3 tu hawajazi hata wilaya moja. Kweli hawatoki na hawazai sana ndiyo maana wachache sana. Siyo watu wa kujichanhanya na watanzania. Wanawake zao ni hatari usijaribu kuoa utajuta.
 
sweet mangi

Dah, dai na dai bili,
Nyingi nalipa ili,
Njaa isije katili,
Msingi uwe kamili,
Vocha jumatano, elf moja Mia tano,
Jiunge bando la chuo,
Mpaka tena jumatano,
Sina takataka,
Caterpillar, kata kila demu anaenitaka,
Kata kila shorts,
Ila wanasema, kila demu anataka kila, mwanaume amkatie pochi,
Sitakupa Indian hair,
Ntakupa mtaji wakuwauzia,
Brazilian hair,
Sitakupa brazilian hair,
Ntakupa mtaji wakuwauzia,
Perruvian hair,
Nenda kamuulize saa hii kilichomkuta si alisema hataki mwanamke wa kumwambia anapenda ila anataka wakumuuliza tumeingiza shilingi ngapi leo baba.
 
Kijana mwenzangu mwenye ndoto kubwa sana huko mbeleni, naomba nikueleze mambo ambayo yanaweza kukusaidia sana na kukupunguzia vikwazo pale unapotaka kutimiza ndoto.Ninayasema haya nikiwa ni mmoja wa waliotokea kaskazini hivyo nina uzoefu wa kutosha. Epuka mabinti wa kaskazini

Kwenye safari hii vijana wengi hukwama maana hapo katikati huwa na mahusiano na huamua kuoa, hapo kwenye kuoa epuka mabinti wa kaskazini.

Wana mioyo ya chuma, huruma ni msamiati ambao kwao haupo. Pesa ipo mbele kuliko jambo lingine lolote. Epuka mabinti wa kaskazini

Jeuri + kiburi, hii ndio alama kuu ya utambulisho(SI Unit). Tumezoea kuwa wanawake/mabinti kwa jinsi walivyoumbwa huwa wanapaswa kuwa humble. Kuwa wapole, wanyenyekevu, lakini kwa hawa hiyo kitu SAHAU. Epuka mabinti wa kaskazini

Mali, hili ni neno ambalo utalisikia maisha yako yote kuliko neno lingine lolote. Ni kweli mali ni kitu kizuri lakini hatupaswi kuwa wanyama kwa sababu ya kuwaza muda wote Mali. Epuka mabinti wa kaskazini

Ukiwa upo vizuri kimaisha, atakuheshimu sana. Ukiweka ndani tu hakuna rangi utaacha kuona. Na mwisho anaweza kukumaliza kwa stress/depression.
Chake ni chake, chako ni chake, chako na chake ni Chao. Kifupi tu vyote ni vyao sio vyenu

Unae katika mahusiano? Chapa alafu sepa, ukishasepa jipige kifuani alafu sema mimi ni mwamba mjanja.

Be warned, vijana wenzangu don’t be afraid to make decisions you know you can live with afterward, never make decisions you know you can’t live with later. That’s my free advice, no charge. Epukaaaaaaa
good message judge not you will not be judged.Ndio kusema mabinti wa kaskazini hakuna mwenye sifa za kuoa?
 
Back
Top Bottom