Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Sawa. Halafu ana TAKO laini mkuu, nimekwama
'Kmmmk' huyo kufa naye kijana wangu. Ni nadra sana mabinti wa huko kuwa na matako makubwa laini. Ni kama bahati tu kwako. Mpe miongozo yako ishi naye.
Samahani kwa lugha kali hapo mstari wa kwanza mwanzoni.
 
Am your sweet sweet mangi, Am your sweet mangi sweet mangi Ama sweeeet maangiii....!!!

Na sio nikufanye tu, Nataka nikufanye mwanamke mjasiriamali kisha uje kuwa mwanamke mjasiri na mali. Napotoka asili mbali.....

Mi napenda milima,mabonde misitu king
Vitu vilaini and ma queen.Ukirusha maswali na majibu hamsini, ila sina jibu kwa maswali malaini....

Ni baba lake kwenye flow lainiii,Na mama lake tuna kunywa wainiiii
Ushanipata usijiulize why me
Sweet manka mi nadeka me
Na kutoka na kuhit ni mzunguruko tu
Wachunge vifaranga na kunguru huko juu
Ingawa tuko peace, Wakudhuru yupo tu
Tufunge nakusali, Kufuturu kupo tu....

Sitakupa indian hair, Ntakupa mtaji waku wauzia Brazilian hair,Sitakupa Brazilian hair Ntakupa mtaji waku wauzia Peruvian hair...

Am your sweet sweet mangi, Am your sweet mangi, sweet mangi
Am your sweet mangiiiiii

Am your sweet sweet mangiiiiiiiiii.....

Babalake kwenye flow lainiii, Baba lake kwenye flow lainiii.....[emoji23][emoji23][emoji445][emoji445][emoji445]

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Kijana mwenzangu mwenye ndoto kubwa sana huko mbeleni, naomba nikueleze mambo ambayo yanaweza kukusaidia sana na kukupunguzia vikwazo pale unapotaka kutimiza ndoto.Ninayasema haya nikiwa ni mmoja wa waliotokea kaskazini hivyo nina uzoefu wa kutosha. Epuka mabinti wa kaskazini

Kwenye safari hii vijana wengi hukwama maana hapo katikati huwa na mahusiano na huamua kuoa, hapo kwenye kuoa epuka mabinti wa kaskazini.

Wana mioyo ya chuma, huruma ni msamiati ambao kwao haupo. Pesa ipo mbele kuliko jambo lingine lolote. Epuka mabinti wa kaskazini

Jeuri + kiburi, hii ndio alama kuu ya utambulisho(SI Unit). Tumezoea kuwa wanawake/mabinti kwa jinsi walivyoumbwa huwa wanapaswa kuwa humble. Kuwa wapole, wanyenyekevu, lakini kwa hawa hiyo kitu SAHAU. Epuka mabinti wa kaskazini

Mali, hili ni neno ambalo utalisikia maisha yako yote kuliko neno lingine lolote. Ni kweli mali ni kitu kizuri lakini hatupaswi kuwa wanyama kwa sababu ya kuwaza muda wote Mali. Epuka mabinti wa kaskazini

Ukiwa upo vizuri kimaisha, atakuheshimu sana. Ukiweka ndani tu hakuna rangi utaacha kuona. Na mwisho anaweza kukumaliza kwa stress/depression.
Chake ni chake, chako ni chake, chako na chake ni Chao. Kifupi tu vyote ni vyao sio vyenu

Unae katika mahusiano? Chapa alafu sepa, ukishasepa jipige kifuani alafu sema mimi ni mwamba mjanja.

Be warned, vijana wenzangu don’t be afraid to make decisions you know you can live with afterward, never make decisions you know you can’t live with later. That’s my free advice, no charge. Epukaaaaaaa
Shemela Evelyn Salt wewe hujashindikana!?
Depal wangapi wamekushindwa?
 
Kaoe Lindi na mtwara uko wangoni wakukatikie kiuno masaa 24. Uko kwa wachaga hautawaweza
Nimeuliza swali ila hujajibu kutokana na maelezo ya swali. Hivyo basi nahitimisha yafuatayo;
1. You are not civilized, huna uungwana.
2. Ni mshamba kwa damu
3. Natoa pole kwa bosi wako.

Mwisho, mimi mbona naona Kilimanjaro ni pa kishamba mno? Yaani hata mshipa haushtuki, nawaona pia na hao wanawake wenu wa kawaida mno.

NB: huna sababu ya kuniambia nije Kilimanjaro ukiacha Mlima Kilimanjaro ambao si kila mtu anapenda milima.

Got that you pimp?
 
Huwa sipendi sana ku exposed my identity humu kwenye mitandao na NDIO MAANA ntaomba pale ulipo ni quote unisaidie ku DELETE

Sorry to say that....

Labda kama mjadala tuuhamishie Pm,
Ni mawazo yangu hayo [emoji120]
Ooh ahsante mno kwa kunijulisha hilo.
 
Countrywide
Personal I hate Tribalism Ideology.

I think it's primitive survival instinct..Fear as a basic emotion yes which is understandable..But mainly perceived threat which as civilized..rational beings we should be able to dispute when it doesn't have a factual basis.

But humans are also built to learn and think different which means changing perspectives. Evolve with new knowledge.
Humans have also shown multiple records of living with differences..various communities thriving despite different ideologies.

To sum - fear is innate but hate is learned.. And what is learned can be unlearned😊
 
Back
Top Bottom