Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Nilikutana na moja ya kimeru hiyo demu nilipoonyesha interest tu akaona huyu fala amenielewa atafanya ninachotaka.

Akaniomba laki tatu yaani from no where demu kaomba laki tatu as if ananipima. Nikaona huyu mbali na kuwa hana maisha lakini amejawa na kiburi na shetani ndani yake.

Nikamwambia haina shida mwisho huu wa mwezi nikumbushe nitakupatia. Nikamwambia nitakubadilishia na simu nionyeshe simu unapenda yeye alikuwa anatumia kasimu sijui brand gani ya kichina ile maana hata logo yake haieleweki.

Kuna siku nikamchukua twende home by surprise, tulipofika tukapelekeana moto. Hakuna kanachojua kitandani sijui hata X huwa hakatazami yaani hakuna kitu kanajua. Unapiga mashine unamtazama usoni macho makavu haonyeshi hata stimu kuwa anapagawa cha zaidi anaweka muonekano kama yupo surprised kuwa tupo uchi.

Nikapiga round mbili nikamrudisha anapoishi na mdogo wake nikamtoa elfu kumi. Nikamwambia sijabeba pesa leo nitakutumia.

Nilipoondoka hapo hajaniona hadi leo nikaona shetani wewe
wapogo macho juu sana hasa wakina palanjo
 
Una stress sana kwanza ulileta thread watu wasioe wachaga leo umekuja kugeneralise pote kinachofuata utasema watu wasioe wanawake tanzania

Kila sehemu watu wazuri na wabaya, Mental health ni tatizo kamwone daktari kabla hali haijawa mbaya
Asifiaye mvua imemnyea.
 
Kanda hio feminist wengi wameambukizwa ujinga na wanawake wa Kenya. Kuishi na mwanamke wa Kenya inatakiwa uwe na phd ya uvimilivu.
Wanawake wa Kenya ni kama wanawake toka Nigerian too much trouble.
 
Tamaa. Wanaamini muda wote wanatakiwa kuwa na pesa ili kuishi vizuri na hiyo pesa ashike yeye. Ukitaka jua hawajielewi tazama matumizi yao ndipo utajua hizi ni ng'ombe kama ng'ombe zingine tu.
😂😂😂🙌
 
Nilishawahi kuwa na mahusiano na Binti wa Kipare nilienda nae fresh sana hata hela zake nilikuwa namuwekea maana alikuwa ni MwanaChuo sema alikuwa ni Kiburi sana alichokuja kuzingua baadae alinitengenezea mazingira fulani akanipiga hela na alikuwa na laptop yangu akaondoka nayo. Sijui mleta mada thread yako inaweza ikawa inaeleza ukweli. Nilicho experience Mimi kwa yule Binti ni Kiburi lakini Mimi nilikuwa namwangalia tu.
 
Nilishawahi kuwa na mahusiano na Binti wa Kipare nilienda nae fresh sana hata hela zake nilikuwa namuwekea maana alikuwa ni MwanaChuo sema alikuwa ni Kiburi sana alichokuja kuzingua baadae alinitengenezea mazingira fulani akanipiga hela na alikuwa na laptop yangu akaondoka nayo. Sijui mleta mada thread yako inaweza ikawa inaeleza ukweli. Nilicho experience Mimi kwa yule Binti ni Kiburi lakini Mimi nilikuwa namwangalia tu.
Daaa,hongera sana
 
Back
Top Bottom