Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Tunae mwingine hapa hapendi ndugu wa kiumeni

NB: mpe yanga win odd 6 tuwalidhishe wachaga wa kike
 
So you speak from experience Sir [emoji848]

Unajua kuyasemea vibaya hayo makabila inakuwa kama kuyaharibia Image yao, kuna Mabinti zetu watakosa Wame kwa maneno yako ujue.

Manake kama ni ishu ya Changamoto za ndoa, ipo kila Kabila. Muhimu vijana kumuhusisha Mungu wakati wa kutafuta wenza wao wa ndoa na maisha.

Ukichagua Mke kwa kigezo cha Tako, siku hizi kuna matako ya China na Uturuki yamejaa tele. Mungu awasaidie
So ndugu kama kuna haiba fulani inaonyeshwa sana na jamii au kundi fulani la watu then yaliyowakuta wasiseme lolote?!

Mfano raia wa Zanzibar huwa tunawasema kwa ubaguzi dhidi ya raia wa bara so ni vibaya?!

Sisi ni watanzania, hiki ni kikao cha familia, miaka hii watu wamevuka mipaka ya ukabila na udini tunaishi kama familia moja. Ndio maana waslamu kwa wakristo wanasutana hapa kila uchao ili kupunguza ile hali ya kuweka Siri mambo ambayo yanatakiwa kuwa bayana.

Same applies kwenye tabia, kinachotokea hapa ni kurekebishana tabia. Watakaposoma watajua kuwa nje ya jamii ya kichagga, kimeru, sijui kabila gani hizo tabia zao ni za hovyo na hakuna anaependezwa naonwajirekebishe.

Hakuna mtu anakuja anzisha uzi hapa ili kuhairibia wengine sababu ya chuki binafsi tu.
 
Baada ya wachaga wenzao kuwakimbia Siku hizi wanailewa kanda ya ziwa kwa Wasukuma na Wahaya. Ndo hawa mnaosikia kwamba wanaolewa kwa ndoa za gharama kubwa. Huko kanda ya ziwa waoaji wanafuata rangi na mabinti wanafuata mapenzi.
Tashuhudia vifo vya tai shingoni hadi watafurahi. Mfupa uliomshinda fisi mbwa atauweza?!
 
So ndugu kama kuna haiba fulani inaonyeshwa sana na jamii au kundi fulani la watu then yaliyowakuta wasiseme lolote?!

Mfano raia wa Zanzibar huwa tunawasema kwa ubaguzi dhidi ya raia wa bara so ni vibaya?!

Sisi ni watanzania, hiki ni kikao cha familia, miaka hii watu wamevuka mipaka ya ukabila na udini tunaishi kama familia moja. Ndio maana waslamu kwa wakristo wanasutana hapa kila uchao ili kupunguza ile hali ya kuweka Siri mambo ambayo yanatakiwa kuwa bayana.

Same applies kwenye tabia, kinachotokea hapa ni kurekebishana tabia. Watakaposoma watajua kuwa nje ya jamii ya kichagga, kimeru, sijui kabila gani hizo tabia zao ni za hovyo na hakuna anaependezwa naonwajirekebishe.

Hakuna mtu anakuja anzisha uzi hapa ili kuhairibia wengine sababu ya chuki binafsi tu.
Huyo mtoa mada akiambiwa atoe ushahidi wa alichokisema unadhani ataweza?

Kwahiyo alichokisema ni kama nadharia tu, hana uhakika zaidi ya mambo ya kufikirika hivyo hatakiwi ku generalise wote.
 
K

kabisa. ..but hii naona km mke niwahuko ndio changamoto kwa mwanamke akiolewa huko shida yake hutapata muda wamapenzi nae atakua busy muda wote kutafuta hela 24x7x365 labda awe anaumwa au anarudi uchagani kuhesabiwa
Sasa si us*ng* huu. Me nimeoa ili uje nikutazame unatafuta pesa au nimeoa nifurahie ndoa.
 
Hiyo kaskazini toa Tanga mkuu, wanawake wa Tanga Ni wakarimu sn wao mapenzi ndio kipaumbele wanakupa hata Kama huna hela na unapewa kweli ujue.

Dar kweli Tanga raha jamani.wasafi, wanajua kujiandaa, Kama hujatosheka unaulizwa, mauno Kama yote, na pole unapewa ukimaliza[emoji848][emoji1][emoji1]
Hadi nimedinda maneno yako tu namna yamenisuuza nafsi.
 
Na hapo bado wana beki tatu alafu wanawake wengi wa mbeya hawako romantic kabisa
Mapenzi njoo pwani mzee. Aisee ukipata mke wa kitanga aliyekaa mjini wanaweza kukufanya usiwe unaenda kazini. Wao muda wote wapo romantic wanapenda kudekezana, kubembelezana. Anawaza mume 24/7.

So ukijua kubalance muda wa mapenzi na kazi, aisee ukirejea home utakuwa unasahau shida zote. Upate tu mwenye urembo na uzuri wa matakwa yako.
 
Mi wakazaskazini and I don't care kwanza hamna matunzo , jingine unetendwa pole zako, jingine ni kweli ila utafanyaje kaoe kwingine sio lazima uje ukaseme huku , wapare wabaya , washirikina , wanaroho mbaya , wauaji, hawana huruma , wachagga the same thing , waarusha ni kabila Hilo langu ila weh wabaya hawana tofauti na hao na wao ndio wabaya hata hayo makabila mawili yanawaogopa , ila sio kama wameru wanatisha sana Kwa uroho, mmbaya , so ndio maisha , wachache kati ya 30% kati ya 70% ni wazuri sana, wanaheshima ila wanyakyusa niwa abaya sana , ila sio wote ila niliowafahamu mie huyu mama kaua mumewe Kisa Mali so maisha ni kuchagua tu mtu sahihi tu , na umshirikishe Mungu aisee ndio anaweza , kukupa wakufanana naye .
Umeongea kwa kiburi sana hadi umenikera. Toka hapa. [emoji19][emoji19][emoji19] Mxiem
 
Kwahyo ma binti zetu wataolewa na nan?

Kama sisi ma bro zao tunapotezea ushawish wa wao kuolewa

#nikupgaNaoDiliTu[emoji2484][emoji1783][emoji91]
 
Miti yenye matunda
Sometimes watu hawarushii mawe mti wenye matunda , wanarushia mawe nyoka mwenye sumu kali. Usifocus zaidi kwenye kurushiwa mawe focus kwenye warusha mawe wanalenga nini huko wanaporusha mawe.

Don't be too comfortable with a bad behavior and repels everyone.
 
Wala hatukuwazaa muwaoe ninyi vyasaka. Hata kutunza mke hamuwezi.

Kwenye uzazi unampa supu ya samaki? Dagaa ? Miguu na vichwa vya kuku?

Inahusu!!

Akikutana na sisi ni mwendo wa mguu wa ng'ombe na siagi za kutosha.... bia kwa mbaali mpaka gauni linalowa maziwa.... miezi 6 ndani !
Ndio maana huwa mnatuna tuna juu mnakuwa kama viboko. Jifunze na kwenye jamii nyingine sio unaklemisha tamaduni za jamii uliyozaliwa tu. Wali wenyewe mlikuwa hamjui kupika hadi mlipoanza kuishi Dar na kujifunza kwa watu wa pwani.
 
Kama unataka uwe na maendeleo na akili ya kutafuta pesa oa kaskazini

Kama unataka mahaba shata shata ushindwe kwenda hadi kazini oa mikoa mingine waliowekeza kwenye mapenzi lkn ni kapuku hawana maendeleo
Hayo maendeleo yanakusaidia nini kama mwisho wa siku yanakuwahisha kupata mauti yaani unakufa ukitafuta.
 
Back
Top Bottom