Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Kijana mwenzangu mwenye ndoto kubwa sana huko mbeleni, naomba nikueleze mambo ambayo yanaweza kukusaidia sana na kukupunguzia vikwazo pale unapotaka kutimiza ndoto.Ninayasema haya nikiwa ni mmoja wa waliotokea kaskazini hivyo nina uzoefu wa kutosha. Epuka mabinti wa kaskazini

Kwenye safari hii vijana wengi hukwama maana hapo katikati huwa na mahusiano na huamua kuoa, hapo kwenye kuoa epuka mabinti wa kaskazini.

Wana mioyo ya chuma, huruma ni msamiati ambao kwao haupo. Pesa ipo mbele kuliko jambo lingine lolote. Epuka mabinti wa kaskazini

Jeuri + kiburi, hii ndio alama kuu ya utambulisho(SI Unit). Tumezoea kuwa wanawake/mabinti kwa jinsi walivyoumbwa huwa wanapaswa kuwa humble. Kuwa wapole, wanyenyekevu, lakini kwa hawa hiyo kitu SAHAU. Epuka mabinti wa kaskazini

Mali, hili ni neno ambalo utalisikia maisha yako yote kuliko neno lingine lolote. Ni kweli mali ni kitu kizuri lakini hatupaswi kuwa wanyama kwa sababu ya kuwaza muda wote Mali. Epuka mabinti wa kaskazini

Ukiwa upo vizuri kimaisha, atakuheshimu sana. Ukiweka ndani tu hakuna rangi utaacha kuona. Na mwisho anaweza kukumaliza kwa stress/depression.
Chake ni chake, chako ni chake, chako na chake ni Chao. Kifupi tu vyote ni vyao sio vyenu

Unae katika mahusiano? Chapa alafu sepa, ukishasepa jipige kifuani alafu sema mimi ni mwamba mjanja.

Be warned, vijana wenzangu don’t be afraid to make decisions you know you can live with afterward, never make decisions you know you can’t live with later. That’s my free advice, no charge. Epukaaaaaaa
jichanganye
 
Kijana mwenzangu mwenye ndoto kubwa sana huko mbeleni, naomba nikueleze mambo ambayo yanaweza kukusaidia sana na kukupunguzia vikwazo pale unapotaka kutimiza ndoto.Ninayasema haya nikiwa ni mmoja wa waliotokea kaskazini hivyo nina uzoefu wa kutosha. Epuka mabinti wa kaskazini

Kwenye safari hii vijana wengi hukwama maana hapo katikati huwa na mahusiano na huamua kuoa, hapo kwenye kuoa epuka mabinti wa kaskazini.

Wana mioyo ya chuma, huruma ni msamiati ambao kwao haupo. Pesa ipo mbele kuliko jambo lingine lolote. Epuka mabinti wa kaskazini

Jeuri + kiburi, hii ndio alama kuu ya utambulisho(SI Unit). Tumezoea kuwa wanawake/mabinti kwa jinsi walivyoumbwa huwa wanapaswa kuwa humble. Kuwa wapole, wanyenyekevu, lakini kwa hawa hiyo kitu SAHAU. Epuka mabinti wa kaskazini

Mali, hili ni neno ambalo utalisikia maisha yako yote kuliko neno lingine lolote. Ni kweli mali ni kitu kizuri lakini hatupaswi kuwa wanyama kwa sababu ya kuwaza muda wote Mali. Epuka mabinti wa kaskazini

Ukiwa upo vizuri kimaisha, atakuheshimu sana. Ukiweka ndani tu hakuna rangi utaacha kuona. Na mwisho anaweza kukumaliza kwa stress/depression.
Chake ni chake, chako ni chake, chako na chake ni Chao. Kifupi tu vyote ni vyao sio vyenu

Unae katika mahusiano? Chapa alafu sepa, ukishasepa jipige kifuani alafu sema mimi ni mwamba mjanja.

Be warned, vijana wenzangu don’t be afraid to make decisions you know you can live with afterward, never make decisions you know you can’t live with later. That’s my free advice, no charge. Epukaaaaaaa
We hujakaa na wakwere au wanawake wa kiswahili. Huna akili., hujiamini.
 
Kijana mwenzangu mwenye ndoto kubwa sana huko mbeleni, naomba nikueleze mambo ambayo yanaweza kukusaidia sana na kukupunguzia vikwazo pale unapotaka kutimiza ndoto.Ninayasema haya nikiwa ni mmoja wa waliotokea kaskazini hivyo nina uzoefu wa kutosha. Epuka mabinti wa kaskazini

Kwenye safari hii vijana wengi hukwama maana hapo katikati huwa na mahusiano na huamua kuoa, hapo kwenye kuoa epuka mabinti wa kaskazini.

Wana mioyo ya chuma, huruma ni msamiati ambao kwao haupo. Pesa ipo mbele kuliko jambo lingine lolote. Epuka mabinti wa kaskazini

Jeuri + kiburi, hii ndio alama kuu ya utambulisho(SI Unit). Tumezoea kuwa wanawake/mabinti kwa jinsi walivyoumbwa huwa wanapaswa kuwa humble. Kuwa wapole, wanyenyekevu, lakini kwa hawa hiyo kitu SAHAU. Epuka mabinti wa kaskazini

Mali, hili ni neno ambalo utalisikia maisha yako yote kuliko neno lingine lolote. Ni kweli mali ni kitu kizuri lakini hatupaswi kuwa wanyama kwa sababu ya kuwaza muda wote Mali. Epuka mabinti wa kaskazini

Ukiwa upo vizuri kimaisha, atakuheshimu sana. Ukiweka ndani tu hakuna rangi utaacha kuona. Na mwisho anaweza kukumaliza kwa stress/depression.
Chake ni chake, chako ni chake, chako na chake ni Chao. Kifupi tu vyote ni vyao sio vyenu

Unae katika mahusiano? Chapa alafu sepa, ukishasepa jipige kifuani alafu sema mimi ni mwamba mjanja.

Be warned, vijana wenzangu don’t be afraid to make decisions you know you can live with afterward, never make decisions you know you can’t live with later. That’s my free advice, no charge. Epukaaaaaaa
Umeongea ukweli mtupu, kuna jamaangu sana ilimtokea mwaka juzi demu alitoka arusha akaja dar, jamaa akajipakia akaoa kwa matambo sana ndoa kubwa, akachangisha ndugu na jamaa ili afanikishe jambo lake. 8M ikapatikana wakafunga ndoa,

Ebana eee hata miezi6 haikuisha mchaga akaanza yake unaambiwa waliachana mchana kweupe, mchaga alikomba kila kitu. Ile kupanic jamaa akaanza kuuza vitu oyo. Mpaka leo hii unaambiwa mshikaji hana ham na ndoa na alishafulia vibaya mno
 
Umeongea ukweli mtupu, kuna jamaangu sana ilimtokea mwaka juzi demu alitoka arusha akaja dar, jamaa akajipakia akaoa kwa matambo sana ndoa kubwa, akachangisha ndugu na jamaa ili afanikishe jambo lake. 8M ikapatikana wakafunga ndoa,

Ebana eee hata miezi6 haikuisha mchaga akaanza yake unaambiwa waliachana mchana kweupe, mchaga alikomba kila kitu. Ile kupanic jamaa akaanza kuuza vitu oyo. Mpaka leo hii unaambiwa mshikaji hana ham na ndoa na alishafulia vibaya mno
Ndio hawa wamebaki kusema....Kataa ndoa😅😅
 
sweet mangi

Dah, dai na dai bili,
Nyingi nalipa ili,
Njaa isije katili,
Msingi uwe kamili,
Vocha jumatano, elf moja Mia tano,
Jiunge bando la chuo,
Mpaka tena jumatano,
Sina takataka,
Caterpillar, kata kila demu anaenitaka,
Kata kila shorts,
Ila wanasema, kila demu anataka kila, mwanaume amkatie pochi,
Sitakupa Indian hair,
Ntakupa mtaji wakuwauzia,
Brazilian hair,
Sitakupa brazilian hair,
Ntakupa mtaji wakuwauzia,
Perruvian hair,
Nikki wa Pilli yamemkuta mambo mengi sana.
 
kaskazini kuolewa wanaolewa sana na kawaida ila kusema ndoa za mtandaoni baadhi ya sehemu hwanaga mbwembwe ..


Mfano mimi nimekaa mikoa ya pwani asilimia kubwa ya wasichana niliosoma nao walishaolewa yaani 95% kwa ninaowajua wengine sijui ila sio ndoa za kujivunga za mitandaani yaani huwezi kujua mpaka uulize watu wapo kweny ndoa zaidi ya miaka 10..


Masherehe yenu ya ukumbini ni mila jamii kama wahaya ,wachga na wengine wengi huku kwenu ni ushamba wala hatupendelei but ndoa zinafanyika kama kawa.

Hapa ofisini kwangu wapo wengi haswa assistants wa kada tofauti ila sijawahi kuona harusi ya wa huko wengi wamegonga 29 na kuendele. Sio kwamba waliolewa hawapo wapo wengi sema watu wazima sana ila hawa madogo wenye miaka 4 kazini ni wengi mno halafu wanaume
wa huko wameoa sana huko kaskazini kwao.

Sina maana mbaya kwa vile msichana wa sehemu yeyote ile anaweza kuolewa wala hamna shida ila usijaribu kuhesabu hizi harusi za mbwembwe kwani jamii nyingine hatufagilii kwa sana kwenu ni ushamba hatuna time nazo na maisha yanasonga.
Basi sawaaa.
 
Naona umeongelea mahusiano yangu we mzee.

Rhumba ninalopitia ni Mungu pekee anajua aisee. Kaskazini ibaki kuitwa kaskazi hahahaha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kesi ya talaka ni lazima ianzie mahakama ya mwanzo na siyo mahakama ya wilaya moja kwa moja?!
1.Una anzia kanisani/Bakwata/ustawi wa jamii ngazi ya kata kwa ajili ya usuruhishi.
2.Suruhu ikishindikana, unapewa form namba 3 unapeleka mahakamani (ya mwanzo)
3. kama hautaridhika na mwenendo wa kesi/hukumu basi una kwenda mahakama ya wilaya
 
Classmate wangu high school anatokea Moshi ila ameoa kwetu unyakyusani alinigawia neno la busara, ipyax usije ukathubutu kuoa kwetu (kaskazini). Wanawake wa kwetu wana upendo lakini hawana caring (kujali),pia wametanguliza pesa mbele.

Be warned brother yani hata ukipata yellow bone (mweupe) piga sepa usitangaze ndoa maana utajuta. Mwisho wa kumnukuu. Huruma ya kiuanamke ni muhimu sana kwa Amani na furaha ya familia.
 
Ndio hawa wamebaki kusema....Kataa ndoa😅😅
Ndio mkuuuu
Screenshot_20230410-174333~3.png
 
Back
Top Bottom