Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

90% ya dadaz kwenye cycle yangu ya maisha wanatoka Kaskazini, they're very beautiful na wana mapenzi ya dhati [[talking from experience]].

wako na mazuri mengi kuliko mabaya in all aspects, ni kawaida sana kwa binadamu kusahau na kufuta mazuri 99 kwa baya 1.

Kama wewe ni MWANAUME ULIYEKAMILIKA huwezi shindwa kuoa Mwanamke kutoka kaskazini kisa izo sababu ulizogeneralize apo juu.

Mdada wa kaskazini AKIKUPENDA ANAKUPENDA KWELI, kama hakupendi atakuchuna na pesa atakua anampatia Barafu Wa Moyo Wake.

Note:
hata uwe na Mali kiasi gani kama hauwezi kumfikisha kunako 6/6 mdada yeyote wa kaskazini then you're finished.!!
Wamachame hapana bosi wangu. Tusidanganyane!
 
Si
ni ukweli mtupu umeongea ni wabinafsi mno.....atakupenda tu kama kuna kitu anfaidika kutoka kwako...hawezi kukupenda unconditionally...

wana tamaa sana na hizo tamaa zao ndo huwa wanaishia kupigwa mimba halafu wanaachwa....

mademu wengi wa kaskazini ni single maza na sababu kubwa ni tamaa...
Sijui hii ni laana au wanaume wa Kaskazini nao wana shida?
 
90% ya dadaz kwenye cycle yangu ya maisha wanatoka Kaskazini, they're very beautiful na wana mapenzi ya dhati [[talking from experience]].

wako na mazuri mengi kuliko mabaya in all aspects, ni kawaida sana kwa binadamu kusahau na kufuta mazuri 99 kwa baya 1.

Kama wewe ni MWANAUME ULIYEKAMILIKA huwezi shindwa kuoa Mwanamke kutoka kaskazini kisa izo sababu ulizogeneralize apo juu.

Mdada wa kaskazini AKIKUPENDA ANAKUPENDA KWELI, kama hakupendi atakuchuna na pesa atakua anampatia Barafu Wa Moyo Wake.

Note:
hata uwe na Mali kiasi gani kama hauwezi kumfikisha kunako 6/6 mdada yeyote wa kaskazini then you're finished.!!
We ni muongo mkubwa,tuko hapa Kaskazini mwaka wa 15 sasa tunafanya kazi hapa,wadada wa huku ni mbwa,wengi wao nasema ni mbwa....hivyo yani

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Ila ni pisi balaa. Nina rafiki ni mmasai aliyemix na mpare. Yule dada ni mzurii
Na ana tabia njema, sijawahi notice kama ni mchoyo.
Samahani huyo Naomba uniunganishe naye tafadhali
 
Bora mabinti wa kaskazini wanazungumzwa kilabwakati humu mitandaoni walau wanaoleka hao wa pande nyingine vipi mbona hatuwasikii? Kama wao ni bora mbona hamuelekezani watu wakaoe wapi?
Toa na option mkuu kuwa hawa wa kaskaskazini hawafai je watu wakaoe wa upande gani?
 
ni ukweli mtupu umeongea ni wabinafsi mno.....atakupenda tu kama kuna kitu anfaidika kutoka kwako...hawezi kukupenda unconditionally...

wana tamaa sana na hizo tamaa zao ndo huwa wanaishia kupigwa mimba halafu wanaachwa....

mademu wengi wa kaskazini ni single maza na sababu kubwa ni tamaa...
Nimescreenshot hii komenti, nataka nitengeze bango lake kabisa kuna sehemu nataka niwatumie kama zawadi...shukrani kwa note hii
 
Inasomeka hivi kabla haijafutwa


"
Kijana mwenzangu mwenye ndoto kubwa sana huko mbeleni, naomba nikueleze mambo ambayo yanaweza kukusaidia sana na kukupunguzia vikwazo pale unapotaka kutimiza ndoto.Ninayasema haya nikiwa ni mmoja wa waliotokea kaskazini hivyo nina uzoefu wa kutosha. Epuka mabinti wa kaskazini

Kwenye safari hii vijana wengi hukwama maana hapo katikati huwa na mahusiano na huamua kuoa, hapo kwenye kuoa epuka mabinti wa kaskazini.

Wana mioyo ya chuma, huruma ni msamiati ambao kwao haupo. Pesa ipo mbele kuliko jambo lingine lolote. Epuka mabinti wa kaskazini

Jeuri + kiburi, hii ndio alama kuu ya utambulisho(SI Unit). Tumezoea kuwa wanawake/mabinti kwa jinsi walivyoumbwa huwa wanapaswa kuwa humble. Kuwa wapole, wanyenyekevu, lakini kwa hawa hiyo kitu SAHAU. Epuka mabinti wa kaskazini

Mali, hili ni neno ambalo utalisikia maisha yako yote kuliko neno lingine lolote. Ni kweli mali ni kitu kizuri lakini hatupaswi kuwa wanyama kwa sababu ya kuwaza muda wote Mali. Epuka mabinti wa kaskazini

Ukiwa upo vizuri kimaisha, atakuheshimu sana. Ukiweka ndani tu hakuna rangi utaacha kuona. Na mwisho anaweza kukumaliza kwa stress/depression.
Chake ni chake, chako ni chake, chako na chake ni Chao. Kifupi tu vyote ni vyao sio vyenu

Unae katika mahusiano? Chapa alafu sepa, ukishasepa jipige kifuani alafu sema mimi ni mwamba mjanja.

Be warned, vijana wenzangu don’t be afraid to make decisions you know you can live with afterward, never make decisions you know you can’t live with later. That’s my free advice, no charge. Epukaaaaaaa"
 
Back
Top Bottom