Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Chukua mwanao baki nae nyumban kwako
Mnataka kufanya hii nchi ya kiislamu mnataka kuleta ujinga wenu hadi jeshin??
Huo upumbavu wako jeshin hakuna
Utaratibu ulikuwepo, upo, na utaendelea kuwepo chukua mtoto lako kalee kama yai
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nalizungumzia jeshi na taratibu zake. Hivi unafikili kwenye mafunzo ya jeshi Kuna mda wa kuwaza uzinzi Kama mnavyofikili?. Mleta mada kajaa uzinzi tu. Na anawaza kila mtu ni mzinzi Kama yeye kaona vibukta kapagawa analeta visheria vya kipuuzi. Mkuu watu wa Aina hiyo hata akiniona mtoto aliyemzaa anamtamani sababu ya kujaa uzinzi kwenye mwili wake.Mzee mimi ni Mgalatia...tukubali tu vile vibukta vinatweza utu wa watoto wetu wa kike.
Kabisaa mkuu. Lazima tuliheshimu jeshi letu na taratibu zake kikanuni.Ni WA kupuuzwa hawa.
Ndugu yangu, labda jeahi la siku hizi liwe hivyo. Mimi ni mehenga kidogo. Dada zetu na kaka zetu kabla lile jeshi lenyewe halijafutwa miaka ya tisini mwanzoni, walikuwa wanatupa taarifa za ngono hatari....hali ilikuwa mbaya na ni ukweli...sasa labda hilo jeshi la sasa hivi liwe lomeboreshwa sana...pia urahisi wa kupata na kusambaza taarifa unaweza ukawa umechangia mambo ya ngono kupungua...ila wadada wa enzi zile wadinywa sanaMm sipo kwenye ugalatia wa ufarisayo
Nalizungumzia jeshi na taratibu zake. Hivi unafikili kwenye mafunzo ya jeshi Kuna mda wa kuwaza uzinzi Kama mnavyofikili?. Mleta mada kajaa uzinzi tu. Na anawaza kila mtu ni mzinzi Kama yeye kaona vibukta kapagawa analeta visheria vya kipuuzi. Mkuu watu wa Aina hiyo hata akiniona mtoto aliyemzaa anamtamani sababu ya kujaa uzinzi kwenye mwili wake.
Sikukatalii unachosema kiongozi. Lakini uzinzi na ngono Kama zipo hata wavae nguo za Aina gani mzinzi atatamani tu. Nilichokiona siku hizi Kuna mambo yameboreshwa na kuepusha na kukataza kila Jambo ambalo linaondoa nidhamu za kijeshiNdugu yangu, labda jeahi la siku hizi liwe hivyo. Mimi ni mehenga kidogo. Dada zetu na kaka zetu kabla lile jeshi lenyewe halijafutwa miaka ya tisini mwanzoni, walikuwa wanatupa taarifa za ngono hatari....hali ilikuwa mbaya na ni ukweli...sasa labda hilo jeshi la sasa hivi liwe lomeboreshwa sana...pia urahisi wa kupata na kusambaza taarifa unaweza ukawa umechangia mambo ya ngono kupungua...ila wadada wa enzi zile wadinywa sana
Yote ni ktk stara.Kwa hiyo stara ni Hako kakitambaa kichwani ka kufunika kichwa anachovaa Mwanamke wa kiislamu Wakati kavaa kasuruari ka jeshi kanakobaba na tumatako twake tulikobinuka tunaonekana
Kuwalisha vibukta na kuwachanganya na wavulana ni kichocheo cha kuandaa vijana hana na ufuska.Ndugu yangu, labda jeahi la siku hizi liwe hivyo. Mimi ni mehenga kidogo. Dada zetu na kaka zetu kabla lile jeshi lenyewe halijafutwa miaka ya tisini mwanzoni, walikuwa wanatupa taarifa za ngono hatari....hali ilikuwa mbaya na ni ukweli...sasa labda hilo jeshi la sasa hivi liwe lomeboreshwa sana...pia urahisi wa kupata na kusambaza taarifa unaweza ukawa umechangia mambo ya ngono kupungua...ila wadada wa enzi zile wadinywa sana
yaonesha wewe asili yako ni lile tabaka ambalo umemaliza wakati wazazi hawakufunga ndoa.Mm sipo kwenye ugalatia wa ufarisayo
Nalizungumzia jeshi na taratibu zake. Hivi unafikili kwenye mafunzo ya jeshi Kuna mda wa kuwaza uzinzi Kama mnavyofikili?. Mleta mada kajaa uzinzi tu. Na anawaza kila mtu ni mzinzi Kama yeye kaona vibukta kapagawa analeta visheria vya kipuuzi. Mkuu watu wa Aina hiyo hata akiniona mtoto aliyemzaa anamtamani sababu ya kujaa uzinzi kwenye mwili wake.
Tuishi kwa kuacha athari chanya kwa jamii. Kwa kukumbushana juu ya yale tuliyokubaliana kama taifa.Mohamed Abubakar navyojua jeshi siyo lazima kwenda. Kama unakwazika kwa mwanao kuvalishwa hayo mavazi mkataze asiende jeshini.
Mbona Waislamu wengi tu wanatoza ushure biashara za pombe na kitomoto na wengine wako benki maafisa mikopo wana process mikopo ya riba,Najua hiki ndicho chanzo cha tatizo.
Kwamba neno ibada lina maana mbili tofauti kati ya waislam ma wakristo.
Wakristo wanatafsiri kufanya ibada ni kufanya matendo maalum kama kwenda kanisani, kumsifu na mfano wa hayo.
Katika uislam kila kitendo ukifanya kwa mujibu wa uislam ni ibada. Kuvaa nguo za stara kwa wasichana ni ibada ni kuabudu. Sasa pale mtumishi wa serikali wanaotafsiri neno ibada kwa mujibu wa imani yake. Tafsiri hiyo si msimamo wa serikali isiyo na dini bali ni tafsiri ya imani yake. Ktk serikali isiyonadini tafsiri sahihi ya kuswali wenye imani na dini kwa mujibu wa katiba si kuwadhibiti kwa kutafsiri dhana sawa na imani ya dini yake binafsi
Tuanzie hapa,Tuishi kwa kuacha athari chanya kwa jamii. Kwa kukumbushana juu ya yale tuliyokubaliana kama taifa.
Mkataba wetu kama taifa KATIBA sio mbaya. Bali wasimamizi eitha hawana maarifa au wanafanya kazi kwa mazoezi, kueleweka vibaya wa dhana na kwako huenda ni fikra mpya. Mara nyingi fikra mpya hupingwa mpaka izoeleke.
1. Serikali isiyo na dini ina maana gani.
Kulinda wenye dini au kuwadhibiti? Ktk mataifa yanayoishi kwa kusimamia misingi ya haki za binadamu taifa lisilo na dini ina maana serikali italinda haki ya wenye imani na dini. Kinyume na tz ambapo baadhi ya watu wa imani wanadhibitiwa. Jkt no mfano halisi.
Uhuru wa kuabudu ulio ndani ya katiba huishia ktk geti za kambi zao. Kinachofanywa na serikali ni The Clash of civilizations.
Kwa hiyo suluhisho si kumuondoa mwanangu bali kufata matakwa ya katiba hii hii tuliyonayo yatosha
Why Not.Tuanzie hapa,
Katika dini ya Kiislamu wanawake wanaruhusiwa kuwa viongozi wa siasa watawala, wanajeshi au majaji??
Suhulisho ni utawala wa majimbo yenye uhuru zaidi au uhuru kamili wa kujiamulia mambo yao wenyewe.Mbona Waislamu wengi tu wanatoza ushure biashara za pombe na kitomoto na wengine wako benki maafisa mikopo wana process mikopo ya riba,
Mbona wasanii wengi tu Waislamu wanafanya matangazo ya pombe na pia Waislamu wengi wanafanya biashara ya betting?!
Hata katika mfumo wa majimbo jeshi haliwezi kuwa suala la kimajimbo, jeshi litabakia kuwa federal tu, la kitaifa.Hao ni jamii ya kiislam iko contaminated.
Hata hivyo tunaungana na chadema kupitia sera ya majimbo yenye uhuru zaidi au uhuru kamili wa kujiamulia mambo yake wenyewe.
Mjadala kama huu tungekuwa ktk utawala wa majimbo ungepokelewa kwa mikono miwili kwa majimbo ya ukanda wa mwambao.
Ukimsikiliza lissu hadi ktk mkutano wake wa jana anakwenda vizuri na sera hii na tunamuunga mkono. Kuwa ardhi ya ngorongoro ni ya wamasai. Ardhi ya dar ni ya wazaramo. Wao ndio wenye mamlaka ya kuamua uishi kwa value zipi. Kwa kuwa ktk mfumo wa demokrasia ktk utawala wa majimbo wengi hufunga sheria.
Lazima kuwe na sheria na taratibu za pamoja kama nchi ambazo ziko juu ya dini zote, haiwezekani kila mtu akataka kuingiza mambo ya dini yake katika mifumo ya serikali. Yani wa Niqab atake niqab jeshini, rastafarian atake kusuka rasta jeshini, msabato akatae kulinda nchi Jumamosi hilo litakuwa jeshi au uwanja wa vurugu.Kwa muislam kuvaa mavazi ya stara ni kuabudu.
Na katiba yetu imetumka kuwa kila raia hatozuiliwa kuabudu.
Kwanini jkt wabunge kanuni zinazopingana na katiba ktk nchi ambayo nusu ni waislam
Kwanini nchi zenye waislam wachache wanazinfatia na kuwalinda watu wa dini.
Lilikuwa ni kosa kubwa kuruhusu mavazi yanayowatambulisha wanafunzi kwa dini zao mashuleni, hayo makosa hayapaswi kurudiwa.Serikali haifuati dini yoyote, kwa hivyo hatutegemei serikali isome vitabu vya dini zote duniani ili kutunga sheria zake.
Stereotypes:
Serikali yetu inejipambanua ina imani.
Imani ya Ujamaa. Kwani Ujamaa ni imani.
Kimsingi Ujamaa ni imani isiyoamini uwepo wa mungu.
Kimsingi wajamaa wameficha uhalisia kuwa Ujamaa ni upagani.
Je Ujamaa ni universal faith, value and ideology
Hapana.
Je ktk nchi ambao hakuna universal values ni value gn hupaswa kuwa ndio mwongozo wa nchi.
Jibu tunayo case study ya wanafunzi wa kiislam. Waliporuhusiwa wao tu kuvaa uniform with dressing code.
Kwa case study hiyo hiyo inapaswa kutumika kwa idara za polisi na vikosi vya jeshi.
Kwann ninyi wenzetu hamna uwezo wa kuvumilia values za wengine.
Mnataka nchi iongezwe na values za imani ya kipagani pekee. Kwani waislam wakiwa hivyo nanyi mkavaa kwa mujibu wa imani zenu za kipagani unapungukiwa na nini.
Ungejua hizo sera za woke, DEI na political correctness zilivyoleta mtafaruku mkubwa huko Magharibi hadi kusababisha watu wa hovyo hovyo kuchaguliwa kwa sababu ya hasira za raia usingekuwa unazirejea rejea hizo nchi katika haya masuala.Kama jeshi la Marekani wameweza kupeleka dini ya waarabu ktk jeshi lao.
Marekani yenye 5% ya waislam. Tanzania yenye zaidi ya 30% ishindikane.
Tatizo ni pumzi ya kutoweza vumilia values za makundi mengine, tatizo ni fikra ngeni kwako, katiba inakataza uhuru wa kuabudu ktk kambi za jeshi, tatizo ni mfumo wa serikali kuu na kuwa tunahitaji mfumo wa serikali za majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao wenyewe, tatizo ni itikadi ya nchi kwa mujibu wa waanzilishi wa itikadi hiyo, tatizo ni somo la Sosholojia na uraia au tatizo ni utz.
Bila kusahau pia mashoga wanaruhusiwa katika jeshi la Marekani na Africa Kusini.Kama jeshi la Marekani wameweza kupeleka dini ya waarabu ktk jeshi lao.
Marekani yenye 5% ya waislam. Tanzania yenye zaidi ya 30% ishindikane.
Tatizo ni pumzi ya kutoweza vumilia values za makundi mengine, tatizo ni fikra ngeni kwako, katiba inakataza uhuru wa kuabudu ktk kambi za jeshi, tatizo ni mfumo wa serikali kuu na kuwa tunahitaji mfumo wa serikali za majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao wenyewe, tatizo ni itikadi ya nchi kwa mujibu wa waanzilishi wa itikadi hiyo, tatizo ni somo la Sosholojia na uraia au tatizo ni utz.