Kama jeshi la Marekani wameweza kupeleka dini ya waarabu ktk jeshi lao.
Marekani yenye 5% ya waislam. Tanzania yenye zaidi ya 30% ishindikane.
Tatizo ni pumzi ya kutoweza vumilia values za makundi mengine, tatizo ni fikra ngeni kwako, katiba inakataza uhuru wa kuabudu ktk kambi za jeshi, tatizo ni mfumo wa serikali kuu na kuwa tunahitaji mfumo wa serikali za majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao wenyewe, tatizo ni itikadi ya nchi kwa mujibu wa waanzilishi wa itikadi hiyo, tatizo ni somo la Sosholojia na uraia au tatizo ni utz.