Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kulikuwa hakuna ulazima wa kutumia lugha kali mkuu ungemjibu kwa ustaarabu ingetosha tu.Chukua mwanao baki nae nyumban kwako
Mnataka kufanya hii nchi ya kiislamu mnataka kuleta ujinga wenu hadi jeshin??
Huo upumbavu wako jeshin hakuna
Utaratibu ulikuwepo, upo, na utaendelea kuwepo chukua toto lako kalee kama yai
Mpuuz wewe
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
SEMA mkuu leo umeongea pumba point yaani we unataka kuileta dini ya waarabu kwenye jeshi la waafrika dah hembu funguka akili baskuabudu
Ndugu hii nchi zinaendeshwa kwa katiba. Iwapo kuna sheria yyt zinazopingana na katiba, sheria hiyo ni batili.Nikiandika kama muislamu mwanaume na niliyepitia mafunzo ya jkt kwa mujibu miaka kadhaa nyuma .
1. Niseme tu jkt/jeshi/ polisi ni kazi ambazo hazifai kwa muislamu awe wa kike au wa kiume na hii ni kiimani zaidi maana hata wanaume tulivaa pitshort kibukta ambacho hakifuniki magoti hivyo kuacha mwili uchi
maana uchi wa mwanaume ni kitovuni mpaka kwenye magoti hii ni kwa mujibu wa kidini (uislamu).
2. Muda wa ibada huwa unakosekana kutokana na ratiba zilivyo kule na pia mavazi hayaruhusu kuswalia hivyo ni ngumu kwa kijana wa kiislamu kutimiza swala zote tano kwa wakati , japo kuna watu watatumia mlango wa udhuru ila jibu langu ni kuwa udhuru haupo maana haukulazimishwa kwenda kule.
3. Kama umeona kuvuliwa nguo kwa wasichana wa kiislamu ni jambo kubwa mkuu kuna kitu inaitwa KUPIGWA TOCHI sitozama ndani zaidi ila wengi mnafahamu na kwa wale ambao hamfahamu basi jaribuni kuuliza uliza sitolielezea kiundani ila ni ukaguzi wa mwili mzima na hii ni kwa wanaume na wanawake no exception MEANING KAMA DAKTARI NI MWANAMKE ATAHUDUMIA WOTE NA KWA MWANAUME PIA HIVYO HIVYO.
4. Jeshi huwa halazimishwi mtu kwenda na hata usipokwenda hakuna atakayekufuatilia na haito affect chochote kwenye maisha yako ya kila siku hivyo sioni kama kuna ulazima wa binti au kijana wa kiislamu kwenda jeshi.
5. Ukifika kule kuna mkataba utasainishwa na kuna wiki mbili za uzalendo na kama haujiskii kubaki upo huru kuuvunja mkataba na kuondoka ndani ya hizo wiki mbili hakuna wa kukulazimisha.
SEMA mkuu leo umeongea pumba point yaani we unataka kuileta dini ya waarabu kwenye jeshi la waafrika dah hembu funguka akili bas
sasa madame hutaki maafande wafaid nyamanyama za allah hata kwa kuona tuuu.Hizo shorts sio rafiki kwa kuruta wenye miili mikubwa
Wiki hii zimetoka nafasi kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita kujiunga na mafunzo ya JKT.
Moja ya kitendo kinachokosa utu na kinachokiuka utamaduni wetu ni kuwavisha watoto wetu wa kike mavazi ya watoto wa kiume, nazungumzia vibukta kwa lazima.
Katiba ambayo ndio sheria mama inamlinda kila raia na imani yake kwa kutoa haki na uhuru wa kuabudu.
Kuvaa mavazi yenye stara kwa wanawake/mabinti wa kiislam ni sehemu ya ibada (kuabudu) inaolindwa na katiba.
Ndio maana wanafunzi mashuleni walipewa uhuru huo miaka ya 80 na serikali hii hii baada ya waislam kusimama umara na kutetea haki hii.
Huko JKT watoto wetu wa kiislam watavalishwa vibukta kwa jina la serikali isiyo na dini, kwa jina la uzalendo kwanza.
Kumekuwa na dhana kuwa tendo hili inafanywa kwa kwa kuwa itikadi ya nchi haina dini. Basi tunachojiuliza dhana hii kwa kuwa serikali haina dini ina maana ya kuwadhibiti wananchi wenye dini au kuwalinda?
Kudhibiti kwa kuwavua baadhi ya Watanzania imani za dini zao badala ya kuzilinda.
Ukweli katiba ya nchi ndio sheria kuu na hivyo kama kuna Sheria za JKT zinazowataka wasichana kuvaa vibukta.
Ieleweke ya kuwa sheria na amri hiyo ni batili. Kwa kuwa inakwenda kinyume na katiba ya nchi inayotoa haki ya uhuru wa kuabudu.
Hoja ya uzalendo au serikali isiyo na dini naamini ni ya tafsiri ya tabaka la sasa la watendaji chini ya Chama Cha Mapinduzi tulioamua kuwaamini na kuwachagua watekeleze matakwa yetu. Kinyume chake wameamua kutafsiri dhana hizi kwa matakwa na imani tulizonazo ambazo haziathiri imani binafsi.
Kwa miaka mingi sasa JKT imeamua kuminya wenye dini wasipractice uhuru wao wa kuabudu unalindwa na katiba.
Kwani JKT ni moja ya taasisi hizo ni zetu sisi umma.
Tunaitaja jamii, vyama vya siasa, kijamii na taasisi za dini kupaza sauti na kuwatetea mabinti hawa ambao hawana wa kuwasemea.
Kama ambavyo vijana wa kike waliruhusiwa kuvaa nguo zenye stara mashuleni kwanini katika mafunzo ya JKT wasiwe na uhuru huo.
Ni katiba, ni serikali au sheria za chuo inayolazimisha mabinti wanaohitaji mafunzo na wanaohitaji stara kuvuliwa stara zao?
Iwapo ni masharti ya serikali (JKT) hawaoni wanaisigina Katiba inayotoa uhuru wa kuabudu na kwamba kuvaa uniform maalum vitakazolinda stara zao ni haki ya kimsingi kama ambavyo nchi tena zenye waislam walio wachache wanavyoruhusiwa kutekeleza ibada hii ya mavazi kwa kuweka dressing code kwa wanaotaka kuvaa hivyo, je, hii ni dhana ya serikali au ni tafsiri za watendaji wa serikali wanavyotafsiri wao sawa na imani zao?
Kuwavua mavazi ya stara mabinti zetu ni sehemu ya Uzalendo?
Kunawataka Watanzania waelewe hili, uhuru wa kuabudu ni misingi ya haki za binadamu.
Kwanini watz tuko wa ajabu sana linapokuja suala la kuvumiliana values zetu. Kila kundi linalounda watanzania. Kwanini tulazimushwe kufata imani na values za kipagani.
Kwani Ujamaa ni imani.
imani ya Ujamaa ni upagani.
Kama dini dini ni imani
Na kama Ujamaa ni imani
Then Ujamaa ni dini.
Hivyo kusema serikali haina dini ni uongo uliotengenezwa, disinformation and unconstitutuion.
Dini ni falsafa na Ujamaa ni falsafa.
Kwanini serikali iwe na imani ambayo iwe ni lazima kwa wenye imani nyingine kuifata.
Mataifa ya kidemokrasia yanayojipambanua kusimamia haki za binadamu na uhuru wa kuabudu wameweka
GUIDE ON RELIGION AND BELIEF IN THE ARMED FORCES.
Unaweza kugoogle hii title na tuelimike
wa ghadafi walikuwa wanapimwa bikra kila siku, ukikutwa haipo fasta unaondolewa, walikuwa hawaruhusiwi hata kuwa na mahusiano au kunyanduana licha kuolewa.Mtoto wako asiende basi JKT ili kumlinda. Maana ukiona vizuri ni kama unataka mambo ya uarabuni yaende jeshini. Hizo ni culture zao. Tuna culture zetu.
Col. Ghadhafi alikuwa analindwa na mademu watupu. Unataka na sisi tuige? Halafu wote wakipata ujauzito muda mmoja itakuwaje?
wa ghadafi walikuwa wanapimwa bikra kila siku, ukikutwa haipo fasta unaondolewa, walikuwa hawaruhusiwi hata kuwa na mahusiano au kunyanduana licha kuolewa.
Walivaa.....kabla na hatukuona madhara yake. Hao mabinti zenu wakiingia disco na kutembelea Beach wanapigilia kaptura eti JKT Ni kinyume. Acheni udini kwenye Mambo ya kiserikali
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Utaondoka kwenye mada.Mtoto wako asiende basi JKT ili kumlinda. Maana ukiona vizuri ni kama unataka mambo ya uarabuni yaende jeshini. Hizo ni culture zao. Tuna culture zetu.
Col. Ghadhafi alikuwa analindwa na mademu watupu. Unataka na sisi tuige? Halafu wote wakipata ujauzito muda mmoja itakuwaje?
malawi24.com
Sasa mbona ni UK!Pitia hizi guide ujifunze nafasi ya mavazi ya ktk jeshi ktk kuihamisha uhuru wa kuabudu.
https://assets.publishing.service.gov.uk/media/5a789754e5274a277e68dead/guide_religion_belief.pdf
Ukiwa hivi kwa Google
What religions does the military recognize?
Kwanini na tz yenye waislam wasiwe na haki hiyo wakati serikali zote hazina dini.Sasa mbona ni UK!
Nikubali kwanza sikuwahi kulifuatilia hili kiundani hivyo meengi uliyoandika hapo nilikuwa siyafahamu ila nimejifunza kitu na nimekuwa interested kujifunza zaidi inshaallah nitachimba zaidi ili niwezw kuwa familiar na sheria hizi hasa kwenye nchi ambazo ni za ki demokrasia kama ya kwetu na waliwezaje kufanya mabadiliko na kama Kuna lolote limebadilika baada ya kupitishwa sheria hiyo.Ndugu hii nchi zinaendeshwa kwa katiba. Iwapo kuna sheria yyt zinazopingana na katiba, sheria hiyo ni batili.
Pili kama waislam tuna mapungufu ya kuelewa elimu Sosholojia na uraia na matokeo yake tunaona uislam hauko compatible kwa baadhi ya mazingira. Hili haliwezi kuondoka hadi mtaala wetu wa elimu uongeze somo la Sosholojia.
Miaka ya 80 watoto wa kiislam hawakuruhusiwa kuvaa uniform zenye kukidhi na kuwatumikia waislam uhuru wao wa kuabudu. Waisla. Wa wakati huo walisema haifai kuwapeleka watoto wa kike mashuleni.
Lkn walipoibuka wenye maarifa wakasimama na kushinikiza ruhusa ikatolewa.
Hali hiyo iko ktk vikosi vyetu. Yaonyesha ktk vikosi vyetu zinafanya mambo kimazoea.
Katika utawala wa kidemokrasia na serikali isiyo na dini, inayozingatia utawala bora, haki za binadamu na uhuru wa kuabudu. Kutokuwa na dini manake ni kulinda wenye dini hata kwenye idara za serikali na si kuwadhibiti.
Google hii
GUIDE ON RELIGION AND BELIEF
IN THE ARMED FORCES
uone nchi nyingine kama malawi, sa, uk, us wanavyoweka utaratibu huu kwa wenye dini zote kupewa haki zao za kiibada kama kuvaa kilemba kwa masingasinga wa kiume, msalaba kwa wakristo na hijab kwa mabinti wa kiislam.
Hatuwezi kuharamisha jambo kwa sababu kuna watumishi hawajui katiba inasemaji.
katiba ya nchi inawapa askari unapotifa muda wa swala wenye mahitaji hayo waende wakati shughuli nyingine zinafanywa na wengine.
Kutofata ibada zako kwasababu kuna mpagani inayoongoza vikosi kakuta utaratibu kama huo hatupaswi kuharamisha waislam wasishiri mafunzo ya jeshi.
Angalia wenzetu tena marekani.
Kwann waznz, wadanganyika wakubali ratiba iliyoandaliwa na mkurya ionekane ndio sheria ya nchi.
Wanavuliwa nguo zote ili kukaguliwa pia haswa watoto wa kiume.Wiki hii zimetoka nafasi kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita kujiunga na mafunzo ya JKT.
Moja ya kitendo kinachokosa utu na kinachokiuka utamaduni wetu ni kuwavisha watoto wetu wa kike mavazi ya watoto wa kiume, nazungumzia vibukta kwa lazima.
Katiba ambayo ndio sheria mama inamlinda kila raia na imani yake kwa kutoa haki na uhuru wa kuabudu.
Kuvaa mavazi yenye stara kwa wanawake/mabinti wa kiislam ni sehemu ya ibada (kuabudu) inaolindwa na katiba.
Ndio maana wanafunzi mashuleni walipewa uhuru huo miaka ya 80 na serikali hii hii baada ya waislam kusimama umara na kutetea haki hii.
Huko JKT watoto wetu wa kiislam watavalishwa vibukta kwa jina la serikali isiyo na dini, kwa jina la uzalendo kwanza.
Kumekuwa na dhana kuwa tendo hili inafanywa kwa kwa kuwa itikadi ya nchi haina dini. Basi tunachojiuliza dhana hii kwa kuwa serikali haina dini ina maana ya kuwadhibiti wananchi wenye dini au kuwalinda?
Kudhibiti kwa kuwavua baadhi ya Watanzania imani za dini zao badala ya kuzilinda.
Ukweli katiba ya nchi ndio sheria kuu na hivyo kama kuna Sheria za JKT zinazowataka wasichana kuvaa vibukta.
Ieleweke ya kuwa sheria na amri hiyo ni batili. Kwa kuwa inakwenda kinyume na katiba ya nchi inayotoa haki ya uhuru wa kuabudu.
Hoja ya uzalendo au serikali isiyo na dini naamini ni ya tafsiri ya tabaka la sasa la watendaji chini ya Chama Cha Mapinduzi tulioamua kuwaamini na kuwachagua watekeleze matakwa yetu. Kinyume chake wameamua kutafsiri dhana hizi kwa matakwa na imani tulizonazo ambazo haziathiri imani binafsi.
Kwa miaka mingi sasa JKT imeamua kuminya wenye dini wasipractice uhuru wao wa kuabudu unalindwa na katiba.
Kwani JKT ni moja ya taasisi hizo ni zetu sisi umma.
Tunaitaja jamii, vyama vya siasa, kijamii na taasisi za dini kupaza sauti na kuwatetea mabinti hawa ambao hawana wa kuwasemea.
Kama ambavyo vijana wa kike waliruhusiwa kuvaa nguo zenye stara mashuleni kwanini katika mafunzo ya JKT wasiwe na uhuru huo.
Ni katiba, ni serikali au sheria za chuo inayolazimisha mabinti wanaohitaji mafunzo na wanaohitaji stara kuvuliwa stara zao?
Iwapo ni masharti ya serikali (JKT) hawaoni wanaisigina Katiba inayotoa uhuru wa kuabudu na kwamba kuvaa uniform maalum vitakazolinda stara zao ni haki ya kimsingi kama ambavyo nchi tena zenye waislam walio wachache wanavyoruhusiwa kutekeleza ibada hii ya mavazi kwa kuweka dressing code kwa wanaotaka kuvaa hivyo, je, hii ni dhana ya serikali au ni tafsiri za watendaji wa serikali wanavyotafsiri wao sawa na imani zao?
Kuwavua mavazi ya stara mabinti zetu ni sehemu ya Uzalendo?
Kunawataka Watanzania waelewe hili, uhuru wa kuabudu ni misingi ya haki za binadamu.
Kwanini watz tuko wa ajabu sana linapokuja suala la kuvumiliana values zetu. Kila kundi linalounda watanzania. Kwanini tulazimushwe kufata imani na values za kipagani.
Kwani Ujamaa ni imani.
imani ya Ujamaa ni upagani.
Kama dini dini ni imani
Na kama Ujamaa ni imani
Then Ujamaa ni dini.
Hivyo kusema serikali haina dini ni uongo uliotengenezwa, disinformation and unconstitutuion.
Dini ni falsafa na Ujamaa ni falsafa.
Kwanini serikali iwe na imani ambayo iwe ni lazima kwa wenye imani nyingine kuifata.
Mataifa ya kidemokrasia yanayojipambanua kusimamia haki za binadamu na uhuru wa kuabudu wameweka
GUIDE ON RELIGION AND BELIEF IN THE ARMED FORCES.
Unaweza kugoogle hii title na tuelimike
Kwa hiyo stara ni Hako kakitambaa kichwani ka kufunika kichwa anachovaa Mwanamke wa kiislamu Wakati kavaa kasuruari ka jeshi kanakobana na tumatako twake tulikobinuka tunaonekanaNdugu hebu nambie kwa mfano huko somalia askari wa kike wanavishwa vibukta wakati wa mazoezi.
Hijab ina style nyingi kadiri ya mazingira ya kazi.
Ndio maana ktk andiko langu sijaandika hijab. Nimeandika mavazi au uniform zenye stara.
Ktk mataifa hayo mengine hutumia uniform zenye stara zisizokiuka misingi ya imani za kila kundi.