eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Sasa kipi ulichoandika hapa ambacho bwana zenu wazungu hawajakisema?
We Muha wa kigoma kila akisemacho mzungu na wewe unabeba mazima
Mpk ushoga unatetea.
Vita KUU ya kwanza ya dunia kaanzisha muislamu?
Vita KUU ya pili ya Dunia kaanzisha Muislamu?
Hitler alikuwa MKATOLIKI SAFI na alitamka wazi anafanya kazi ya Dini yake.
Mao wa China alikuwa Muislamu?
Taja Vita yyt ya kuua watu kwenye nchi yao kaanzisha muislamu.
Makafiri akili mbovu na kusoma hamtaki.
Moto wa Jahannam ndio makazi yenu
Acha ujinga weye mfuasi wa utamaduni wa waarabu. Kule Sudan 🇸🇩 kwa na Libya 🇱🇾 wanaouana ni makafiri? Nyie ni wapumbavu sana, mnaona kila muarabu ni malaika na pia kila mtu asiye mfuasi wa utamaduni wa kiarabu ni Kafiri. Kumbe dhambi ni kwa binadamu wote. Kuna wafuasi wengi tu wa "utamaduni wa kiarabu" ambao wana matendo machafu mbele ya Muumba kuliko hata makafiri.
Ninachoshukuru ni kuwa waislam wa Tanzania 🇹🇿 wana uelewa mzuri kuhusu imani. Maana wanajua ya kuwa, kuna makafiri ambao ni watu wa kawaida tu. Wana udhaifu na uhodari wa kawaida. Lakini pia kuna makafiri ambao ni wachafu. Kwa upande mwingine kuna waislam wazuri tu, wenye udhaifu na uhodari wa kawaida tu. Lakini pia kuna waislam wachafu wananuka mbele za Muumba. Kwa kuliona hilo ndiyo maana waislam wa Tanzania hawakomai sana na maandishi yaliyo katika lugha ya kiarabu ambayo yanasisitiza kumtenga na kumnyanyapaa mtu asiye fuata tamaduni za kiarabu. Maana wanajua ukweli uko wapi na Muumba anataka nini kwa binadamu.
Shida ni nyie wachache mnaovaa tusuruale tunjiwa. Mna shida sana. Mnataka mtuharibie nchi yetu kwa kueneza tamaduni za kigeni huku na huku.