Mabinti wa Kiislamu kuvaa bukta katika mafunzo JKT ni kwenda kinyume na Katiba

HII mijitu mijinga Kweli,eti ukijilipua sokoni ukaua "makafiri"mnyazi Mungu atakuzawadia Bikra 73 akhera πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„

Bro, yaani mii binafsi hakuna mtu ninayemlaani duniani kama mudi. Sijawahi kuwa na hasira na Adam na Hawa kama nilivyo kwa mudi. Mud ni janga la dunia, ona sasa mtu kama huyu kahtaan amegeuzwa fikra na kuwa zombi la kutajataja maneno ya kiarabu bila kujua hata maana yake, eti ndiyo ataenda mbinguni.
 
Unakashifu waislamu wanavyo vaa.
Sasa tazama hawa hapa chini. Jr na hawa ni waislamu au waarabu?
Halafu mtazame na huyo mnaemuita Yesu. Je anatofauti gani na picha ya Osama ? Wanafanana kuanzia mavazi nywele mpk ndevu.
Sasa hapa unawakashifu wafuasi wa Yesu pamoja na Yesu kuvaa km waislamu wa Ummah huu?

Umeona ulivyo mpuuzi usie na elimu?
 

Attachments

  • Screenshot_20240618_144653.jpg
    230.1 KB · Views: 1
  • Screenshot_20240618_144356.jpg
    331.2 KB · Views: 1
  • Screenshot_20240618_144339.jpg
    516.8 KB · Views: 1
  • Screenshot_20240618_144243.jpg
    585.9 KB · Views: 1
  • Screenshot_20240618_144208.jpg
    381.1 KB · Views: 1
  • Screenshot_20240618_144146.jpg
    338.3 KB · Views: 1
Mkuu huyu aliyeko pichani sio Yesu. Ni muigizaji wa filamu ya Yesu. Asante
 
🀣🀣🀣
Hakuna muislamu anaesali asiejua anachosema ktk ibada yake.
Sisi waislamu tuna LUGHA YA ASILI Lugha ya Quraan.
Na haijabadilika kuanzia miaka 1450 iliopita na wala haitobadilika mpk mwisho wa dunia hii.

YESU ALIONGEA LUGHA YA "Aramaic"
Leo ukinionyesha BIBLIA MOJA TU YENYE LUGHA YA YESU leo leo unanibatiza. Na Pombe ntakunywa hapo kanisani na ntakubali Padri anilaze lwenye maji km mnavyofanyiwa wakati wa kuhungama madhambi.

Sasa sikiliza IBADA YA KIKRISTO HAPA
Kisha naomba Tafsiri km kweli wewe ni MKRISTO WA KWELI


View: https://youtube.com/shorts/vWc3XcPmvW4?si=v4OtWxBX581ZmI_t
 
Mkuu huyu aliyeko pichani sio Yesu. Ni muigizaji wa filamu ya Yesu. Asante
Sasa inakuwaje makanisa mengi wanaweka picha ya muigizaji?
We huoni kama wakristo Wengi hawajui imani yao .
Yesu alikuwa mzungu au?
 

Yaani unataka kuniambia kwamba kuna lugha duniani inaitwa quran. Hiyo lugha inazungumzwa na watu wa taifa gani hapa duniani?

Mnadanganyana kwa kukaririshana maneno msiyo yajua hata maana yake.
Mara kibao mimi nawauliza kwamba unaelewa kinachoongelewa au kilichoandikwa kwenye quran wanasema baadhi yake ndiyo najua. Halafu wewe unakuja na ujinga wako unasema eti kila muislam anajua anachosali bure kabisa wewe.
 
Teh teh teh.
Yaani leo umenichekesha mpk nimeamua kukusamehe Bure ndugu mgalatia.

Chukua zawadi yako hapa.
 

Attachments

  • Screenshot_20240618_171527.jpg
    553.6 KB · Views: 1
Teh teh teh.
Yaani leo umenichekesha mpk nimeamua kukusamehe Bure ndugu mgalatia.

Chukua zawadi yako hapa.
Huyu padri kawaambia waumini wake kuwa uume wake unatoa maziwa mtakatifu.
Sijui wamekunywa wangapi mpk sasa.
wewe pia ukiletewa hayo maziwa na mzungu lzm unywe.

Hallelujah!!
 

Sijawahi tishwa na mavazi. Mavazi siyo moyoni. Kuna makahaba wa kutosha wanaovaa mabuibui mpaka kisiginoni mpaka machoni.
Bwana mdogo nisikilize, tangu mdogo sishitushwi na mavazi ambayo wengi wanayatumia kitapeli tu.

Muache kuvaa kidesturi ya kiarabu, halafu mnadanganywa kuwa ili uwe muislam safi lazima uvae hivyo.
Teh teh teh.
Yaani leo umenichekesha mpk nimeamua kukusamehe Bure ndugu mgalatia.

Chukua zawadi yako hapa.

Bwana mdogo sijaja kukutekenya halafu unichekee. Jibu swali, hiyo lugha ya quran inazungumzwa katika nchi gani?
 
Teh teh teh.
Bi mkubwa leo umebanwa pabaya.
Km chura aliyebanwa mlango.

Suala la Waarabu waulize wao mi msukuma. Tena chapa ya Ng'ombe.
Sasa turudi kwenye Mnakasha uliopo hapa.
Wale masister wa makanisani wanavaa vya nini kichwani?
Kwanini PAPA ANAVAA Kikofia kama cha Ostazi? Na Gauni Jeupe?
KADINALI PENGO umeshawahi kumuona kavaa Suruali? 🀣
Ile picha ya Yesu kavaa Kanzu ndefu nyeupe na Kafuga ndevu ka Osama na kavaa kilemba cheupe kichwani
na Bikira Maria kavaa kitambaa kichwani kama kina mama wa kiislamu

Kifupi SISI NDIO TUNAMUIGA YESU NA MARIA kwenye MAVAZI.
Na Papa na Pengo wanajitahidi.

Sasa nyie makafiri Suti na sketi na vimini mmefunzwa na nani?

Nionyeshe picha moja tu ya PAPA AU KADINALI PENGO KAVAA SURUALI ili nijue nyie mnafuata viongozi wenu.

Nasubiri jibu
Sio mipasho na maneno ya Waimba Taarabu.
Hayo peleka kwa mumeo.
Hapa mwaga Point.
Kwako ndugu mgalatia.
 

Hayo kila mtu anayajua.
Jibu swali langu; lugha ya quran inazungumzwa na taifa gani?
 
Hayo kila mtu anayajua.
Jibu swali langu; lugha ya quran inazungumzwa na taifa gani?
Mataifa yote ya Kiarabu.

Sasa na wewe jibu la kwangu.
Kati ya waislamu na Makafiri Nani anavaa mavazi yanayofanana na aliovaa YESU NA MARIA mama yake na YESU?
Na Suruali , mini skirt na g string Mmefunzwa na nani kwenye BIBLIA?

NIPE JIBU kama wewe kweli ni mke wa mtu unaejitambua
 

Kwa hiyo unakubaliana na mimi kwamba wale wote wanaotamka maneno ya kiarabu nje ya mataifa ya kiarabu, wanatamka wasicho kijua. Hivyo wanaabudu kwa lugha wasiyo ielewa?

Mavazi hayanitishi.
 
Kwa hiyo unakubaliana na mimi kwamba wale wote wanaotamka maneno ya kiarabu nje ya mataifa ya kiarabu, wanatamka wasicho kijua. Hivyo wanaabudu kwa lugha wasiyo ielewa?

Mavazi hayanitishi.
Mimi ni msukuma wa kuzaliwa na kukulia usukumani lkn naijuia Quraan kuliko kisukuma.
Na sio hivyo tu.
Kuna watoto wa kinyamwezi wa miaka 7 wamehifadhi Quraan yote na kuilewa nje ndani.
Hio ndio moja ya MIUJIZA YA UISLAMU.
Leo tuna watoto wa kizungu wanaisoma na kuilewa Quraan kuliko lugha yao ya asili.

Lkn juu ya nyie makafiri kuona miujiza hii bado mnakaidi na kuwa na kiburi na bado mnaendelea kuabudu sanamu la mzungu.

Moto wa Jahannam umendaliwa kwa makafiri.
Amka sasa kabla hujavuta pumzi yako ya mwisho
 

Wewe umekulia kwenye ukanda ule waliopita wale washenzi kiarabu/kiislam na kutuachia akina nyie mazombi na masikini mliobakiziwa mwili na akili kumuachia muarabu aondoke nazo.

Na uache upumbavu wa kujisifu kujua tamaduni za kiarabu kuliko mila zenu. Bure kabisa.

Pia achana kuchanganya lugha na kuruwan. Kuruwan ni kitabu katika lugha ya kiarabu. Ambayo ninyi mazombi wote lazima muikariri bila kujua hata maana yake.
 
Kuruwan ni dawa gani tena hio?
Naona umepagawa sasa .
Teh teh teh teh
 
Kuruwan ni dawa gani tena hio?
Naona umepagawa sasa .
Teh teh teh teh

Acha kutafuta visingizio wee mtoto. Najua una uelewa wa chini ya wastani, ndiyo maana unajisifia kujua kutamka maneno ya kwenye kitabu mfu quran (kuruwan) kuliko lugha ya mama yako.
 
Serikali haina dini
Na mtumishi wa serikali anapoitumikia serikali udini wake anatakiwa aweke pembeni kwa sababu watu ambao atawatumia ni watu wa serikali na kila mtu anaimani yake na dini tofauti.

Serikali haiingilii dini ila anayeingia kwenye serikali dini yake anaweka pembeni.

Halafu usirudie kuwaita wengine wapagani.

Shika imani yako kaza amini unachoamini na wengine wataamini wanavyoamini ni uhuru wa kila mtu kufanya hivi

Ila hiyo dini unayoamini siyo asili yako fikiri tena kwamba unapendwa sana hadi wakakuletea dini?

Au ushawahi kujiuliza dini zilifikaje AFRIKA?
 
asili yetu afrika hatukuwa na nguo, ni mambo ya kigeni
 
asili yetu afrika hatukuwa na nguo, ni mambo ya kigeni
Kuna tamaduni. Tamaduni ni hali ya kuchukua kila zuri na kuwa na mila desturi zako.

Kunaubaya gn ikiwa hata wamarekani wamecopy kwa waingereza. Na waingereza wamecopy kwa warunmmo, na warumi walicopy kwa wagiriki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…