Ukatili hauna ukabila , unasaba wala rangi,katili siku zote amjua katili mwnzake.[emoji4]Waisrael na Waarabu wanafanana na wana vinasaba sawa.Wote Wakatili.
unafanana nao...?Mbona wakawaida
Ukikuta wanacheza zile pilau uyapenda wanavyolalamika kisovieti[emoji16] [emoji16] [emoji16]
Mmoja mrussia mwingine Ukraine..
Macho + lips
Ulimbwende ulianzia kule mkuu...
Miaka zaidi ya 500B.C
Dah,hatarii
Mmoja mrussia mwingine Ukraine..
Macho + lips
NoomaUkikuta wanacheza zile pilau uyapenda wanavyolalamika kisovieti[emoji16] [emoji16] [emoji16]
Kwenye mambo ya affairs umewachunguza?Mie hilo la Ulimbwende ulianzia wapi silijui, lakini kama hatuoni mzuri katika hizo picha lazima tuseme kweli. Mie nimebahatika kuwaona wengi live lakini bado sijakutana na mzuri wa kustua wote huwaona ni wa kawaida sana.