Mabinti wa kisasa hebu acheni uongo usio na maana

Kabisa mwana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwamba wewe unanifundisha vile natakiwa kubehave mbele ya mwanaume wa kiafrika anaenitongozaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nalijua hilo kabla hujabalehe we dogo

Mazuri yao labda uyaandike leo sijawahi kuona popote humu jf kwa ID yako hii labda uwe na nyingine
 
Hahahahah na mademu wa hivyo ndio ma Mogul wa kudanga! Kuna mtu humu namuonaga ana Taizi hizo ila namchuniaga tu [emoji75][emoji75][emoji75] but what i know atakuwa hewa tu ila mtu wa mipango kweri kweri!!!
Itikadi za kusema kuna mzigo wangu upo china nasubiria paperwork...... "Mzigo gani mama si useme tu umefua unalinda heshima kwa uongo"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Bro.. thank you soo much for making my evening. Nimechekaa. Unawapata wapi hao watu? Umekutana nao wapi haswa?
Pole sana aisee... hata na kulala na mtu wa hivyo nayo yataka ujasiri. Hukuogopa? Hoping ulitumia protection...

Nilichojifunzaa ninkwamfano maybe basi huyu dada ni mdangaji alitakiwa hata kuonyesha efforts za kuwa a good girl hata kuamka na kuweka mazingira mapema asubuhi maybe hata ungemfikiria. Kitendo cha kuwa mvivu na kutofanya lolote na kuagiz vitu ndo lililokukera zaidi. Unamwaminije hata kumuacha mwenyewe ndani kwako.? Dont bwana. Nyumbani kwako ni pahali patakatifu sana. Wengine wana mikosi. Palinde sana. Bora mkamalizane mahotelini huko..

Ila kuwa halisia sisi imekua tatizo sana. Sijui tunaamini tukijiweka matawi sana ndo tutathaminika kwenye jamii hata sijui. Hivi ni huu utandawazi unatuharibu hv ama
 
Hiyo nayo ni changamoto kiukweli.
 
Kuna rafiki yangu aliniambia, yeye anasoma Arusha Technical College (ATC).
course ya kuingiza nyimbo kwenye simu na flash. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. It is a very true story. Nilimhurumia sana kwa fix aliyonipiga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…