Mabinti wa kisasa hebu acheni uongo usio na maana

Mabinti wa kisasa hebu acheni uongo usio na maana

Kuna mmoja huyo anaishi masaki, wazazi wake wako nje na yeye ni mmoja baina ya watoto wachache waliozaliwa via (family planning).

Anaishi apartmemt na mume wake na mume wake anafanya kaz moja ya sehem za kukusanya mapato makubwa makubwa kwa taifa.

Picha zake ni yupo mliman city, au yupo karib na sea clif!
Vilevi vilivyopo kwenye friji majina yake sikutaka kuyakariri maana niliona yananiumiza kichwa kama definition ya archmedes principle au law of floatation.

Alivyonizoea virungu vya 50, 50 haviishi.

Kibaya zaidi unaweza mpa 50 akasema hii hata sijui robo ya kilevi gan haifiki, mara peruviana hair haitoshi...

Ila nikagundua pia sio mm tu wanaume kibao anawapanga hivo hivo!
Nikavuta picha ya mjomba wangu kijijin vile nikienda na kumuona alivyo huku mwanamke anakuomba elf 50 ukimsaidia anasema haitosh nikasema hapa nachuma dhambi.

Yule aliesema wanajiweka hivo wakupige pakubwa nimemuelewa maana unapewa proposal ya 5m in simple language, can you assist me such money (5m) nifanye renovation ya saloon fulan pale masak ili niweke issue zangu sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii nilikutana nayo mwaka juzi, demu kanipeleka hadi kwao[emoji16][emoji16] pako vizuri saana, wanaishi ndani ya bonge la jumba huko kinyerezi.
Tulipozoeana akaanza vizinga vya kijinga.. mara baba yake anaumwa, mara baba yake kasafiri, pesa ya matumizi imeisha, mara mdogo wake alipiwe ada arudi shule ili baba yake akirudi atanirudishia [emoji3][emoji3][emoji3].
Mwanzoni nilisaidia pale nilipoweza ila nikagundua napigwa changa la macho.
 
Kuna watu mnakuaga na muda mchafu wa kuandika jamani, yaan kabisa umelala kwenye kigodoro chako cha futi 2 na kuanza kuandika upupu,

Niandae ftari mie nisijewapandisha watu Muhaho.
 
Habarini wadau. Naandika hii kitu hapa baada ya kukerwa na tabia za baadhi ya mabinti especially hawa wamjini ambao wameanza kurithi tabia zile walizokuwa nazo wanaume za "kuna hela na isikilizia" halafu baada ya dakika kumi utasikia "una elfu tano au kumi ya karibu hapo".

Ipo hivi, kuna wadada kadhaa nimenotice wanahii tabia katika mazungumzo kukuaminisha wao ni watu wa mipango mikubwa. Na hata wanavyojiweka ni as if ni watu muhimu sana hapa mjini but ukweli wa mambo ni wabangaizaji wasio na mbele wala nyuma.

Kuna m'moja ameshakuwa na tabia ya kunicheki kuniomba kuniazima gari akisema ana wageni sijui wanakuja kutoka nje wanahitaji usafiri watakaotumia wakiwa hapa mjini.

Nikamkata nikamwambia twende nitakupeleka safari yako. Nimekwenda mchukua yupo na wenzake wawili, wanasema wanaenda serena kufika hapo serena wanaangaliana yale macho ya tumeumbuka, mimi nikaona wananipotezea muda maana waliniweka zaidi ya nusu saa hapo kwenye kiti sehemu ya kusubiria kisha mwenzake nisie mjua anakuja niomba ufunguo kuwa anaomba aende pale posta ATM mara moja kisha aniletee, nikamwambia ngoja twende sote na mimi nilikuwa naenda huko, tukaenda kufika pale CRDB anatoa toa macho (sidhani kama hata alitoa hela alipoingia kwenye ATM mule). Nikamrejesha serena kisha nikampigia mwenzake nikawaaga nikawaambia nina dharula nitawareje, sikurudi tena.

Mwingine kila nikichekiana nae story zake ni "kuna jamaa tuna contract nae katika ile kampuni yangu, hapa ndio naangalia contract inakaribia kuisha ili nionane nae tukasaini mkataba mwingine" ukimuuliza mnadeal na nini katika kampuni yako, ooooh apartments kwa foreigners, tuna import na kuexport bidhaa etc, halafu hapo hapo anakupiga kibomu cha msosi. Au anaomba umnunulie soda tena anachagua yeye anataka soda gani.

Mwingine nilishapiga hadi mashine, shida ikaja baada ya kumleta maskani. Ni mwanamke ambaye hana impact ndani ya nyumba ukiachia kukuomba hela ndogo ndogo bila utaratibu as if mission yake ni kuhakikisha hauna hata mia mfukoni.

Ukiachia kulala hadi saa nne asubuhi kulala tu kitandani anachat na kupiga simu za kuongea na mashost zake na hakuna la maana wanaongea zaidi ya kupeana umbea wa juzi waliposafiri au bata sijui kumuongelea mtu gani, hawana mazungumzo ya maana.

Ila mtu huyu huyu ukiongea nae anaongelea kuhusu kufanya kazi katika NGO iliyomlipa milioni 2. 7 take home na imefungwa kipindi cha magufuri.

Mara akwambie anasomesha wadogo zake international schools, na anamhudumia mama yake mwenyewe. Mara akwambie sijui anataka ajiajiri anataka kufungua kampuni ya beauty and cosmetic ambayo ataiweka kule masaki au oysterbay na inalipa sana. Mara aseme yeye ni CEO haoni haja ya kuajiriwa.

Ila ukitoka kwenda dukani nje, utaona text kutoka kwake imeingia beib, ukirudi niletee Cadbury bars mbili na maziwa ya asas au utasikia niletee sausages na apple juice ya ceres kubwa. Anaagiza hivi kwa confidence kabisa utadhani mimi ni babake.

Unakuta mpo kwenye foleni barabarani inapita vogue utasikia one day lazima nita own hii gari...... Nina rafiki yangu ana jaguar hii ya 2018 and she's only 25, yaani i must get there....

Sasa huwa nawatazama nasema hivi hawa ni kwamba hawaoni uhalisia wa maisha yao au ni vipi. Watu wana maisha ya kubangaiza, wanatoka katika very common families za kitanzania ambazo wazazi ni wastaafu na hawana hela.

Why mtu usiwe humble na kuishi according to your level requirements wakati unaplan kuwa mkubwa baadae....?!

Why uishi maisha ya kufake fake na uongo mwingi ile hali hauna uwezo na ni tegemezi by 150%?!

Kuna haja gani ya kunidanganya kuwa kuna report naandika mara sijui kuna email muhimu nataka nijibu hapa.... Au unanipigia simu au kunitext whatsapp baada ya kuniona online saa saba usiku halafu unanifix kuwa Atm imemeza card na hauna balance muda huo unaomba nikuazime 50,000 utanirejeshea asubuhi, halafu asubuhi ikifika unapiga kimya naona tu upo online unapost status unakaa kimya wiki, hatimae mwezi na miezi?!

Au unaniazima laptop unasema kuna a very serious work unahitaji kutype (hata haujulikani unajishughulisha na biashara gani mjini). Kisha nakupa tu bila ya kukuuliza swali lolote zaidi ya utaniletea lini, cha ajabu dakika chache baadae baada ya kukupa laptop unanitext kuniuliza file ya movies ipo upande gani?! Unakaa na laptop yangu zaidi ya wiki hadi naanza kuiulizia na hapo bado utanambia sijui kuna mgeni kaja anacheki movie, anamalizia utaniletea!

Why mnakuwa waongo waongo watoto wa kike?!

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeandika kwa uchungu sana ila ni vizuri ukae naye na umwambie haya yote kuliko kuleta huku jukwaani maana wengine mazingira tunayoishi hakuna watu wa hivyo mkuu.
 
We jamaa inaonekana ni mtu wa kushikilia vitu vidogo vidogo pia una asili ya ubinafsi ndani yako. Be fair, mie mtu akihitaji gari yangu wala simuulizi unaenda wap wala nn.
Ana gubu pia,ana moyo flani ivi mdogo
 
Hii nilikutana nayo mwaka juzi, demu kanipeleka hadi kwao[emoji16][emoji16] pako vizuri saana, wanaishi ndani ya bonge la jumba huko kinyerezi.
Tulipozoeana akaanza vizinga vya kijinga.. mara baba yake anaumwa, mara baba yake kasafiri, pesa ya matumizi imeisha, mara mdogo wake alipiwe ada arudi shule ili baba yake akirudi atanirudishia [emoji3][emoji3][emoji3].
Mwanzoni nilisaidia pale nilipoweza ila nikagundua napigwa changa la macho.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Habarini wadau. Naandika hii kitu hapa baada ya kukerwa na tabia za baadhi ya mabinti especially hawa wamjini ambao wameanza kurithi tabia zile walizokuwa nazo wanaume za "kuna hela na isikilizia" halafu baada ya dakika kumi utasikia "una elfu tano au kumi ya karibu hapo".

Ipo hivi, kuna wadada kadhaa nimenotice wanahii tabia katika mazungumzo kukuaminisha wao ni watu wa mipango mikubwa. Na hata wanavyojiweka ni as if ni watu muhimu sana hapa mjini but ukweli wa mambo ni wabangaizaji wasio na mbele wala nyuma.

Kuna m'moja ameshakuwa na tabia ya kunicheki kuniomba kuniazima gari akisema ana wageni sijui wanakuja kutoka nje wanahitaji usafiri watakaotumia wakiwa hapa mjini.

Nikamkata nikamwambia twende nitakupeleka safari yako. Nimekwenda mchukua yupo na wenzake wawili, wanasema wanaenda serena kufika hapo serena wanaangaliana yale macho ya tumeumbuka, mimi nikaona wananipotezea muda maana waliniweka zaidi ya nusu saa hapo kwenye kiti sehemu ya kusubiria kisha mwenzake nisie mjua anakuja niomba ufunguo kuwa anaomba aende pale posta ATM mara moja kisha aniletee, nikamwambia ngoja twende sote na mimi nilikuwa naenda huko, tukaenda kufika pale CRDB anatoa toa macho (sidhani kama hata alitoa hela alipoingia kwenye ATM mule). Nikamrejesha serena kisha nikampigia mwenzake nikawaaga nikawaambia nina dharula nitawareje, sikurudi tena.

Mwingine kila nikichekiana nae story zake ni "kuna jamaa tuna contract nae katika ile kampuni yangu, hapa ndio naangalia contract inakaribia kuisha ili nionane nae tukasaini mkataba mwingine" ukimuuliza mnadeal na nini katika kampuni yako, ooooh apartments kwa foreigners, tuna import na kuexport bidhaa etc, halafu hapo hapo anakupiga kibomu cha msosi. Au anaomba umnunulie soda tena anachagua yeye anataka soda gani.

Mwingine nilishapiga hadi mashine, shida ikaja baada ya kumleta maskani. Ni mwanamke ambaye hana impact ndani ya nyumba ukiachia kukuomba hela ndogo ndogo bila utaratibu as if mission yake ni kuhakikisha hauna hata mia mfukoni.

Ukiachia kulala hadi saa nne asubuhi kulala tu kitandani anachat na kupiga simu za kuongea na mashost zake na hakuna la maana wanaongea zaidi ya kupeana umbea wa juzi waliposafiri au bata sijui kumuongelea mtu gani, hawana mazungumzo ya maana.

Ila mtu huyu huyu ukiongea nae anaongelea kuhusu kufanya kazi katika NGO iliyomlipa milioni 2. 7 take home na imefungwa kipindi cha magufuri.

Mara akwambie anasomesha wadogo zake international schools, na anamhudumia mama yake mwenyewe. Mara akwambie sijui anataka ajiajiri anataka kufungua kampuni ya beauty and cosmetic ambayo ataiweka kule masaki au oysterbay na inalipa sana. Mara aseme yeye ni CEO haoni haja ya kuajiriwa.

Ila ukitoka kwenda dukani nje, utaona text kutoka kwake imeingia beib, ukirudi niletee Cadbury bars mbili na maziwa ya asas au utasikia niletee sausages na apple juice ya ceres kubwa. Anaagiza hivi kwa confidence kabisa utadhani mimi ni babake.

Unakuta mpo kwenye foleni barabarani inapita vogue utasikia one day lazima nita own hii gari...... Nina rafiki yangu ana jaguar hii ya 2018 and she's only 25, yaani i must get there....

Sasa huwa nawatazama nasema hivi hawa ni kwamba hawaoni uhalisia wa maisha yao au ni vipi. Watu wana maisha ya kubangaiza, wanatoka katika very common families za kitanzania ambazo wazazi ni wastaafu na hawana hela.

Why mtu usiwe humble na kuishi according to your level requirements wakati unaplan kuwa mkubwa baadae....?!

Why uishi maisha ya kufake fake na uongo mwingi ile hali hauna uwezo na ni tegemezi by 150%?!

Kuna haja gani ya kunidanganya kuwa kuna report naandika mara sijui kuna email muhimu nataka nijibu hapa.... Au unanipigia simu au kunitext whatsapp baada ya kuniona online saa saba usiku halafu unanifix kuwa Atm imemeza card na hauna balance muda huo unaomba nikuazime 50,000 utanirejeshea asubuhi, halafu asubuhi ikifika unapiga kimya naona tu upo online unapost status unakaa kimya wiki, hatimae mwezi na miezi?!

Au unaniazima laptop unasema kuna a very serious work unahitaji kutype (hata haujulikani unajishughulisha na biashara gani mjini). Kisha nakupa tu bila ya kukuuliza swali lolote zaidi ya utaniletea lini, cha ajabu dakika chache baadae baada ya kukupa laptop unanitext kuniuliza file ya movies ipo upande gani?! Unakaa na laptop yangu zaidi ya wiki hadi naanza kuiulizia na hapo bado utanambia sijui kuna mgeni kaja anacheki movie, anamalizia utaniletea!

Why mnakuwa waongo waongo watoto wa kike?!

Sent using Jamii Forums mobile app
Baadhi ya wanawake humpokea mtu jinsi anavyo kuja, mpaka hapoo? Ukijifanya matawi utageuzwa ATM mpaka hapoo? Ukijifanya mpole atakuona bado mshamba atakuingiza mjini mpaka hapoo na ukiwa muerevu atakuona uko mjanja kama mjanja wake Lucifer, na kwa Lucifer mwanamke huwa hawapinduki ni kama chatu na jibwa upoo?
 
Kwanza hawana nguvu za kike. Ukipiga mechi usiku mmoja kesho haendi hata kazini.Wamekuwa wavivu kitandani hata utafutaji. Uongo mwingi.

Enzi hizo unapiga game usiku kucha asubuhi mwanamke anaenda kukata kuni.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbuzi kabisa wewe.

Ila ipo hivi, sio kwamba hawa mabinti nina date nao. Nimesema miongoni mwa mabinti nimeshadate nao nilishamuona m'moja ana hii tabia. Lakini wengi wao ni wale wanawake nakutana nao katika social circles zangu huku mjini na mtaani.

So tabia hii naiona sana. Yaani its like mtu anajihami ili asionekane ana maisha ya ajabu au maisha ya kubahatisha.

Ni ile miss independent virus imefikia katika critical stage ya kumdhuru host.

Its okay kwa binti wa secondary, advanced au chuo kuwa na imaginary day dreaming attitude kwa watu wengine ila sio kwa mtu ambaye amemaliza chuo yupo mtaani, hana mahusiano serious wala hayupo katika ndoa. Hii ni hatari sana.

Sent using Jamii Forums mobile app

Wapo wengi
Ma slay queens[emoji28][emoji28]
Ngoja nisimulie kisa kimoja kuna dada nilikutana nae vowet kulikuwa na maonyesho ya bidhaa na Mimi nilipeleka bidhaa zangu yeye tulijuana alikuwa ni jirani kwangu kwenye meza yake picha linaanza ameweka bidhaa sio zake ni brand name ya mtu mwingine ambae mimi namjua akanidanganya ni bidhaa yake mwenyewe nikaguna ila nikapotezea,tuka exchange number tukawa close alinizoea haraka sana akajua ninapo ishi nika mu introduce kwa circle yangu tena marafiki zangu wa maana kabisa,sad alikuja kutuvurugaa duh mpaka leo tumesambaratika
Aliwakopa hela alikuwa muongo ana project nyingiii za kufikirika
Mpaka leo sijui hata alikuwa anaishi wapi najua sinza madukani ila mtaa upi sijui nilikuwa naonana nae kituoni
Alikuwa na baba wawili kwa mtoto mmoja yani maisha yake mvurugiko mpaka huruma sijui alikuwa anapata nini kwa uongo uongo
So mleta mada nakuelewa
Nadhani huwa ni namna ya kuvutia watu waonekane ni high profile people kumbe hamna kitu
Wanaume wanao penda mtelezo ukijichanganya kwa wadada kama hawa you’re finished
 
Unamwambia mtu tutoke out anakuletea story kuwa anavijua viwanja kweli kweli hapa Dar na hakuna sehemu hajawahi kwenda.

Haya tukaenda KFC pale mlimani, naona mtu anatoa macho anasubiria kila jambo nimuongoze na ameshakwambia hayo ni maeneo yake ya kujidai na haelewi hata pa kuanzia baada ya kufika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Dah sasa unakuwa unajiuliza huyu mtu kwann anidanganye mimi lakini....

Sent using Jamii Forums mobile app

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]duh ila unawapata wapi hawa design hii
 
Wapo wengi
Ma slay queens[emoji28][emoji28]
Ngoja nisimulie kisa kimoja kuna dada nilikutana nae vowet kulikuwa na maonyesho ya bidhaa na Mimi nilipeleka bidhaa zangu yeye tulijuana alikuwa ni jirani kwangu kwenye meza yake picha linaanza ameweka bidhaa sio zake ni brand name ya mtu mwingine ambae mimi namjua akanidanganya ni bidhaa yake mwenyewe nikaguna ila nikapotezea,tuka exchange number tukawa close alinizoea haraka sana akajua ninapo ishi nika mu introduce kwa circle yangu tena marafiki zangu wa maana kabisa,sad alikuja kutuvurugaa duh mpaka leo tumesambaratika
Aliwakopa hela alikuwa muongo ana project nyingiii za kufikirika
Mpaka leo sijui hata alikuwa anaishi wapi najua sinza madukani ila mtaa upi sijui nilikuwa naonana nae kituoni
Alikuwa na baba wawili kwa mtoto mmoja yani maisha yake mvurugiko mpaka huruma sijui alikuwa anapata nini kwa uongo uongo
So mleta mada nakuelewa
Nadhani huwa ni namna ya kuvutia watu waonekane ni high profile people kumbe hamna kitu
Wanaume wanao penda mtelezo ukijichanganya kwa wadada kama hawa you’re finished
Hii noma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nimecheka [emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti mzigo, yan town palivyo pamoto hivi umpe tu mtu gari lako na laki juu, wawe wanaangalia na wenyewe daaah ahahahaha
Unasikia anakwambia yaani kuna mzigo upo china ukifika tu paaah nakwenda kuingiza sokoni ndaninya wiki nitakuwa nimeshazungusha nakuletea laki yako,nisaidie please dear! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Shida sasa ukomae kuwa unataka kujua huo mzigo ni upoje.... Au anadeal na maswala gani.... Hautaamini maneno utapigwa hapo.

Jamii imewakosea sana watoto wakike, wamewajenga kuamini wao ni werevu kumbe dunia ni tambala bovu...... Wanaisoma namba bila msaada wanabakia kuwa waongo waongo... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi kama nampa mtu gari lazma aache 300k pembeni ya emergence, unampa mtu gari anaenda pigia mingo kwa madem zake anarudisha gari asbh imechafuka, kuna wenginr sio wastaarabu kabsa anafanyia uchafu ndani humohumo. Nampa mtu gari nae muheshimu ila masela wengine lazma aache 300k pembeni ya ermegence
Nilimpa mtu gari ameniaga anaenda mchukua demu wake airport kisha ananiletea. Kuja akaja na mdada ila hawana muonekano kama mtu aliyetoka safari inaonekana alikwenda mzoa mtaa wa pili.

Mimi sikuwa na pressure akaniomba kuwa anampeleka kwao kisha atakuja. Nikamwambia poa haina shida.

Akaenda akapotea anakuja nitafuta saa kumi na mbili asubuhi. Na hapo amefanya kunitumia text kuwa eti jana alipoenda alichelewa kutoka so akaona asinisumbue usiku akaenda kulala na gari ili aniletee asubuhi mapema.

Nikamwambia haina noma kama vipi we utanicheki tu ukishafika me nipo macho. Akaja mida ya saa mbili kasoro story nyingi nikaona vijana uhuni mnajifunza kwa kuchelewa sana halafu kwa wandewa. Nikamuitia bodaboda akasepa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Unachekesha kweli kila binti kwako mbaya sijawahi kuona unawazungumzia vizuri mabinti
Umejuaje?! [emoji15][emoji15][emoji15]

Wazuri mbona wapo wengi ni vile tu sijawahi leta story zao hapa mazuri yao. Ila wapo wengi tu mbona. Anyways, huwa siongelei kwa nia mbaya (u sound like u took it personal), naongelea kwa namna ya kujenga.

Kwa mfano wewe ukisha soma hapa sidhani kama utaanza kusema uongo na umeona wanaume hapa wanakerekwa na hiyo tabia.....

So ni part ya kujifunza. Wanaume tunajua zaidi bad sides za wanawake. By the way, wanaume huwa hatukosei..... [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom