Mabinti wa kisasa hebu acheni uongo usio na maana

Mabinti wa kisasa hebu acheni uongo usio na maana

Huo kimsingi ni utoto tu na kuji “kukuz” kuna limoja nilikutana nalo humu humu jeiefu nikasema hiiiiiii!~ in hayatiz voice

Tabia hizo hizo za kujikweza unaweza dhania ni mtu wa maana kumbe jau tu 😂😂😂 !!! Mambo ya kishamba hayo kama unazo zitakutangaza wala huna haja ya maigizo na upambe!
 
Akili nusu😂😂 ila acha mkome maana tulio real mnatuonaga washamba na mnatutapeligi sana,

Wanajiweka hivyo ili kujitengenezea mazingira mazuri ya kupiga mizinga mikubwa mikubwa
Hahahahah na mademu wa hivyo ndio ma Mogul wa kudanga! Kuna mtu humu namuonaga ana Taizi hizo ila namchuniaga tu 😸😸😸 but what i know atakuwa hewa tu ila mtu wa mipango kweri kweri!!!
 
2017 au 2018 nilikutana na kamoja kwenye Viunga vya jiji la Makonda enzi hizo nikaauliza most of your time unakua wapi kakasema kanasoma Nursing UDSM nikaambia na Mimi ninasoma Medical Doctor chuo cha DUCE, cha ajabu kakafurahia sana hilo.
Mbwa kala mbwa
 
Huo kimsingi ni utoto tu na kuji “kukuz” kuna limoja nilikutana nalo humu humu jeiefu nikasema hiiiiiii!~ in hayatiz voice

Tabia hizo hizo za kujikweza unaweza dhania ni mtu wa maana kumbe jau tu [emoji23][emoji23][emoji23] !!! Mambo ya kishamba hayo kama unazo zitakutangaza wala huna haja ya maigizo na upambe!
Umeanza kututangaza
 
Vinapenda kuishi maisha ya maigizo sana....

Kuna kimoja niliishi nacho, tabu tupu kila chakula nnachoamua tule analalamika, " eeh jamani ugali na samaki, eeh jamani viazi, eeeh jamani mihogo, kuna siku nikavurugika nikamuuliza hivi kwenu familia mnakulaga pizza, chips kuku?? Kikajibu hamna nakula tu kwasababu ndio vilivyopo.... nikakaambia good, na kwangu unakula kilichopo ukipata kwako utakula unachopenda.

Kakikaa story ni sijui nimeenda mall gani, sijui mlimani city bla bla wakati mi nakajua kabisa ni katoto ka mkulima... Ovyo sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nomaaa
 
Hahahahah na mademu wa hivyo ndio ma Mogul wa kudanga! Kuna mtu humu namuonaga ana Taizi hizo ila namchuniaga tu 😸😸😸 but what i know atakuwa hewa tu ila mtu wa mipango kweri kweri!!!
😂😂😂😂Inaitwa jichanganye uliwe mbwembwe nyiiingi kumbe hola,,

isije kuwa Ni mimi hebu nije chemba uniambie vizuri
 
Walinambia wanawageni wanaenda kuwaona nawapeleka wananipa direction ya Serena Hotel. Nafika kule Serena wameingia ndani wana nambia tuingie sote. Ndio kuingia nimekaa kwenye mojawapo ya viti nasubiria naona nachoreka muda unaenda hawatoki nikamshitua akaja mwenzake kuwa anataka kwenda kuchukua pesa ATM, anaomba ufunguo wa gari. Nikaona huyu hana akili sawa sawa. Kwanza simjui, pili nampatia ufunguo halafu naanzaje kukaa nikiwasubiria.....?!

Nikamkata tu kimya kimya..... Nikamwambia twende naenda huko huko.....


Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan mkuu walitaka kukuiba gari bila shaka.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jana kidogo nimtag ila nikajisemea hataupita akiuona lazima atie neno tu na kweli imekuwa
Hawezi kukosekana we, na atatambaa nao huu hadi kurasa zikatike[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huo kimsingi ni utoto tu na kuji “kukuz” kuna limoja nilikutana nalo humu humu jeiefu nikasema hiiiiiii!~ in hayatiz voice

Tabia hizo hizo za kujikweza unaweza dhania ni mtu wa maana kumbe jau tu 😂😂😂 !!! Mambo ya kishamba hayo kama unazo zitakutangaza wala huna haja ya maigizo na upambe!
Hivi unajua mtoa mada huwa mnafanana miandiko kiaina sema wewe umezidi ubaharia, itakuwa mna undugu hebu tafutaneni mnaweza kuwa marafiki wazuri,
 
Back
Top Bottom