Mabinti wa kisasa hebu acheni uongo usio na maana

Imagine mtu anaomba 300,000 halafu ukimtazama mkavu. Unatest zari unamwambia hebu chukua 50,000 kwanza wakati tunatafuta kwingine, utashangaa hatafuti ila anakukazia wewe utafute umpe.... Sasa unajiuliza mtu kama huyu hana vyanzo vingine, anatoboa vipi mishe zake mjini....?!

Na hiyo 50,000 isahau maana anapiga kimya hakurejeshei.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanafanana wasome uone, tofauti yao ni mtoa mada anakuwa serious Sana kwenye mwandiko, huyo mpare yeye anakauli laini kiasi huwezi kushtuka hata akikutukana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sasa mbona mnakuwa waoga tukiwapa makavu.... Eti?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shekh kama kuna mtu alidanganya 2020/21 basi ni mimi

*Sinyi pombe kumbe anakunywa adi konyogi
*Mi sio muhuni na hofu ya Mungu najielewa kumbe kuna njemba kama 5 kwenye mstari
*Mi nikipenda mtu siangalii uwezo wako kumbe yuko kimasilahi nilivokata mrija nasikia jamaa anarukia kampatia ki iphone 12 na kigari cha kutembelea.
*Mi sipendi kufanya matusi bila ndoa, mmh! Wapi wazee wanatafuna kwa kwenda mbele.
*Simu imevunjika tuwasiliane kwa namba yangu nyingine kumbe mikakati ya kutowasiliana naye kwa simu kubwa

MAPENZI NI UGONJWA WA AKILI, VIJANA TUJENGE TAIFA.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Wanajiupdate according to status mnazozitaka vijana wa kileo kwaiyo usiogope maana njia ya muongo ni fupi

Kingsmann
But huwa hatuna hizo swagga za kurequest wawe hivyo. Ni tofauti na mwanaume, unaweza kuwa na mwanamke anakwambia kabisa, me napenda mwanaume ambaye anaendesha gari bei fulani, anavaa suti anapesa benki.

But kwa wanawake sijawahi sikia mwanaume aseme ninataka mwanamke awe na pesa awe magari na biashara, by the way me mwanamke akiwa vema sana huwa hainivutii kudate nae seriously maana najua hatutakuwa na muda wa kukimbiza uhusiano atakuwa too busy na biashara.

Na hii nimeona sana kwa wanaume wengi sana. Huwa hatuna time na mwanamke ambaye ana hustling nyingi na yupo busy na pesa hana muda na familia. Fanya uchunguzi utakuja kunambia.

Only Marioo ndio huwa wanakuwa sana concerned na mwanamke mtafutaji na anaekuwa busy na kutafuta pesa ili wao wapewe tu halafu watafute videmu vya kuoshea hizo vitu wanahongwa huko vichochoroni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We unatoka wapi na hao wadada??wanakudanganya kwa jinsi wanavyokuona....huenda na ww ni muongo muongo so wananata na biti lako...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ha ha ha ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] love of my life..... Ndio maana nadate na wewe tu.... Chuma changu cha nguvu....., [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengine wanakuwa wapo vizuri kweli ila hawana discipline ya pesa.

Mimi kuna kabinti nilisoma nako chuo. Kalikuwa kapo very smart, ila ndio kana wenge la bata na chuo hakaonekani hadi nyakati za mitihani au presentation. Unaweza kuongea nae muda huu yupo hapo chuo. Mtafute baade, ameshashika njia yupo njiani kuelekea Arusha,mara Dar, mara mwanza, yaani kama route utadhani sijui kitu gani.

Siku moja nakumbuka kalikula kwenye bata zake, kamevurugwa hakajui kasolve vipi huo msala. Akanijia na offer kuwa ataachia chumba chake (kizuri sana amepanga off campus) kina tv ndogo ya 32 inches, hometheatre ya lg, , kitanda na godoro, dressing table, kabati ya nguo, na kapeti zile za manyoya na kimeshalipiwa mwaka mzima....... Mtu ampe 2.5 milioni baadae akashusha hadi 2 milion.

Alikuwa desperate sana na pesa ile siku. Me nikamwambia, hebu tulia tulipe kwanza ada halafu mengine yatafuata. So makubaliano yakawa atanipa ufunguo wa chumba mimi nitashika, akatoa nguo zake tu na viatu vitu vingine vyote akaacha akahamia hostel za chuo na mwenzake maana alikuwa anahitaji kusoma kujiandaa na UE.

Nikaazima pesa kwa mshikaji baada ya kumpa hiyo settlement deal maana binti alitakiwa kulipa 1.1 milioni ya ada alipewa na mshua wake aliitafuna hakulipa hata mia ukiachia zile hela ndogo ndogo za usajili za awali.

So nikachukua kwa mwana na zangu nikamix tukamlipia nikampa payslip. Basi.....

Khaaaaaaaaaaah Ue inaisha bi badada amenyuti wala hanitafuti, namtafuta likizo kumkumbusha kuwa me natakiwa kusepa Dar tuje kuweka mambo sawa, ananiambia yupo Nairobi.

Ananiambia just nenda tu Dar ukirudi likizo tutaonana. Basi nikasepa. Kurudi likizo kama kawaida yake hana time ya kuonekana chuo. Huku na kule nakuja sikia amechukua nyumba sehemu nyingine na ameshanunua vitu vipya.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nikasema hapa hamna mtu....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu mnakuaga na muda mchafu wa kuandika jamani, yaan kabisa umelala kwenye kigodoro chako cha futi 2 na kuanza kuandika upupu,

Niandae ftari mie nisijewapandisha watu Muhaho.
Na bado ukasoma.... Mtizame kwanza ulivyo katili nyau wewe... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We jamaa inaonekana ni mtu wa kushikilia vitu vidogo vidogo pia una asili ya ubinafsi ndani yako. Be fair, mie mtu akihitaji gari yangu wala simuulizi unaenda wap wala nn.
Hiyo gari inakuwa gari kweli uliyonunua kwa jasho na kujinyima au inakuwa gari ya urithi.

Maana kwa kawaida mtu akitaka kuazima kitu chako lazima umuulize akupe details, ili hata yakitokea mengineyo uwe na pa kuanzia.
 
Umeandika kwa uchungu sana ila ni vizuri ukae naye na umwambie haya yote kuliko kuleta huku jukwaani maana wengine mazingira tunayoishi hakuna watu wa hivyo mkuu.
Babu.... Kuna watu ukiongea nae ana kwa ana anaona kama unamuattack ila akisikia wengine wanazungumzia hiyo tabia ndio ubongo wake unaanza kufiriki sawa sawa. [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ana gubu pia,ana moyo flani ivi mdogo
Bora mtu mtu anaetoa sumu kuliko anaevunga ni mstaarabu ile hali hapendi kinachotokea.

Unajua tutake tusitake.... Kuvumiliana kupo sana ila si sawa kutokuwa na tabia ya kubalance mwenendo. Mimi mwenyewe ninakero zangu kwa wengine ila ni vile kuna muda najitazama na kujitafakari.....

Usiwe mzigo kwa watu na kwenye akili zao muda wote.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna hawa masistaduu wana unapicha makali kinoma kule insta na uko fesibuk hata apa jeief unachat na mdada adi akili inakukaa swsw, nenda sasa muonane uso kwa macho...salalleh
Ha ha ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hutaamini utakae kutana nae sio?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata mm huwa siwaelewagi kabisa,unajiuliza mtu kama huyo alikuwa anakudanganya kwa mantiki ipi labda au apate nin?,hakika unakosa majibu unabaki kucheka tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…