Tatizo lenu mnatumia lugha za kuamrisha, mnajisahau kana kwamba mnafokea wadogo zenu huko majumbani, kumbe Kuna mama, dada mamdogo na shangazi zenu wa kutoshaShida hampendi tukiwapa live makosa ya kikeni...... Jifunzeni hapa ni shule.... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Una mkono laini sana, jitahidi uukomaze etiMajanga yalikuwa hivi..... Hiyo taa hapo ilinitoka tshs 90,000/=.
Sasa nani anataka hasara za kipuuzi. Machale yakikucheza usiwe mwepesi kukubali.
Mara nyingine mwenye gari huwa anamuamini mwenye gari sababu wote wanajua uchungu wa kulinda mali.View attachment 1754903
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaona sasa huu uongo uongo mimi ndio huwa sipendi... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shekh kama kuna mtu alidanganya 2020/21 basi ni mimi
*Sinyi pombe kumbe anakunywa adi konyogi
*Mi sio muhuni na hofu ya Mungu najielewa kumbe kuna njemba kama 5 kwenye mstari
*Mi nikipenda mtu siangalii uwezo wako kumbe yuko kimasilahi nilivokata mrija nasikia jamaa anarukia kampatia ki iphone 12 na kigari cha kutembelea.
*Mi sipendi kufanya matusi bila ndoa, mmh! Wapi wazee wanatafuna kwa kwenda mbele.
*Simu imevunjika tuwasiliane kwa namba yangu nyingine kumbe mikakati ya kutowasiliana naye kwa simu kubwa
MAPENZI NI UGONJWA WA AKILI, VIJANA TUJENGE TAIFA.
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Na bado.... Tunanyie huu mwaka.... Sisi tunawapenda ndio maana tunawanyoosha. Asie kupenda huwa hawezi kuhangaika kukwambia ukweli.Yani tuogope miandiko yenu[emoji23][emoji23][emoji23] Unachekesha Sana we mtoto,
[emoji23][emoji23]Vipi lakini papuchi wanatoa?..maana naona unazunguka nao dar nzima hii mara kfc mara wapi sijui..
Kuna mmoja aliniambia anasoma udsm degree ya civics..hapo ndo nilikubali hii dunia ina mambo
Kwa mtu asiyeelewa investment ya kununua gari na kuimantain hawezi elewa uchungu pale anapokuja mtu ambaye hana gari au hamiliki gari na udereva wake unatia mashaka plus ukitazama hata kipato chake ni wasi wasi anakwambia naomba gari nitakurejeshea jioni..... Sio kirahisi hivyo ujue....?!Hiyo gari inakuwa gari kweli uliyonunua kwa jasho na kujinyima au inakuwa gari ya urithi.
Maana kwa kawaida mtu akitaka kuazima kitu chako lazima umuulize akupe details, ili hata yakitokea mengineyo uwe na pa kuanzia.
Ile me nadhani inakuwa ni mbinu ya kukurahisisha akili umuamini na kuona chochote utakachotoa kwake kitarejea.... (of which sahau hakitarudi, wewe ndio fursa na utapoteza sana).Hata mm huwa siwaelewagi kabisa,unajiuliza mtu kama huyo alikuwa anakudanganya kwa mantiki ipi labda au apate nin?,hakika unakosa majibu unabaki kucheka tuu
Alishindwana na bibie mahondawHahhahahha na we si unapendaga pisi kali
Alikuja akanambia nipambane na hali yangu vitu kaniachia.[emoji15][emoji15][emoji15] aiseee.. mbona wanitisha sasa. Mbona si jambo la kawaida hili. Mbona kama unaokumbana nao wanafanana hizi mambo despite wewe giving ur all? I think kuna shida mahali aisee... na wewe hukuogopa haya mazingira unayomwona nayo na hizo trips zakw zote? How could u risk all that?
Deni ulijalisort vipi?
Ila sometimes we women tunapelekeaga wanaume kuwa this bad aisee... mimi tuu nimepata hasiraaa hv. Wewe ilikuaje[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Unajua wabongo tukipeana ukweli wa kuumiza huwa wanahisi ni personal attack.....Na kweli wafunguke tuu,uzur wa hii platform unafunguka hamna ataekujua so na ss tunakuwa tumeelewa,nna visa vingi hata kuhadithia naona uvivu man
Mtu anaekudanganya halafu wewe ndie unakuwa 150% responsible na gharama za maisha yake huwa inakera sana.Mwanamke akiwa mwongo wala haipendizi ila vile baadhi yao hawajui
Naachiaje sasa kwa mfano....Hahaha ameshikilia funguo zake mkononi tuu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji23]
Wapo wengi sasa.... Na nadhani kuna ulimbukeni wa maisha ya kisasa umetamalaki miaka hii.... Watu kwann wawe waongo waongo?!Hahahahaja kuna jamaa hapo juu kasema ndege wafananao?!,kwanin yy tuu ila teseme mabinti wenye tabia za hivyo baadhi hata ww unaweza kukutana nae,umdhaniaye kumbe sio man
Khaaaaaaaaaaah kweli?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahah wewe ndo una matatizo sio sisi
utapaliwa sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wallah nimecheka hadi mbavu zinataka kukatika hapa mie. .
Sasa kwa mwanaume mwanamke si ni dogo tu au haujui... [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tatizo lenu mnatumia lugha za kuamrisha, mnajisahau kana kwamba mnafokea wadogo zenu huko majumbani, kumbe Kuna mama, dada mamdogo na shangazi zenu wa kutosha
hilo neno la mwisho lina mushikeri kama wewe ni MeBaadhi ya wanawake humpokea mtu jinsi anavyo kuja, mpaka hapoo? Ukijifanya matawi utageuzwa ATM mpaka hapoo? Ukijifanya mpole atakuona bado mshamba atakuingiza mjini mpaka hapoo na ukiwa muerevu atakuona uko mjanja kama mjanja wake Lucifer, na kwa Lucifer mwanamke huwa hawapinduki ni kama chatu na jibwa upoo?
HahahahaKuna rafiki yangu aliniambia, yeye anasoma Arusha Technical College (ATC).
course ya kuingiza nyimbo kwenye simu na flash. [emoji23][emoji23][emoji23]. It is a very true story. Nilimhurumia sana kwa fix aliyonipiga.
Hapa ndo unakuta mtoto wa mtu analalamika hakuna waoaji. Hizi tabia za kuigiza zinagharimu sana watu. Achana na hawa watu aisee hizo u ajiokitea ni nuksi tuTena hiyo ni back in a day. Ni mtihani sana kuwa karibu na mtu wa hivyo kazi kukuagiza vitu..... Halafu hana hata ile huruma ya huyu mtu simjui, financially sijui anabudget mambo yake vipi au ana kipato gani yeye anafanya kama kukukomoa....
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina project yangu naisikilizia nitoe buku ten, basi😂😂😂😂 Hata kudanganya sijui maskini weeSasa kwa mwanaume mwanamke si ni dogo tu au haujui... [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app