Shekh kama kuna mtu alidanganya 2020/21 basi ni mimi
*Sinyi pombe kumbe anakunywa adi konyogi
*Mi sio muhuni na hofu ya Mungu najielewa kumbe kuna njemba kama 5 kwenye mstari
*Mi nikipenda mtu siangalii uwezo wako kumbe yuko kimasilahi nilivokata mrija nasikia jamaa anarukia kampatia ki iphone 12 na kigari cha kutembelea.
*Mi sipendi kufanya matusi bila ndoa, mmh! Wapi wazee wanatafuna kwa kwenda mbele.
*Simu imevunjika tuwasiliane kwa namba yangu nyingine kumbe mikakati ya kutowasiliana naye kwa simu kubwa
MAPENZI NI UGONJWA WA AKILI, VIJANA TUJENGE TAIFA.
Sent from my 601SO using
JamiiForums mobile app