Mabinti wa kisasa hebu acheni uongo usio na maana

Mabinti wa kisasa hebu acheni uongo usio na maana

Shekh kama kuna mtu alidanganya 2020/21 basi ni mimi

*Sinyi pombe kumbe anakunywa adi konyogi
*Mi sio muhuni na hofu ya Mungu najielewa kumbe kuna njemba kama 5 kwenye mstari
*Mi nikipenda mtu siangalii uwezo wako kumbe yuko kimasilahi nilivokata mrija nasikia jamaa anarukia kampatia ki iphone 12 na kigari cha kutembelea.
*Mi sipendi kufanya matusi bila ndoa, mmh! Wapi wazee wanatafuna kwa kwenda mbele.
*Simu imevunjika tuwasiliane kwa namba yangu nyingine kumbe mikakati ya kutowasiliana naye kwa simu kubwa

MAPENZI NI UGONJWA WA AKILI, VIJANA TUJENGE TAIFA.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Unaona sasa huu uongo uongo mimi ndio huwa sipendi... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi lakini papuchi wanatoa?..maana naona unazunguka nao dar nzima hii mara kfc mara wapi sijui..

Kuna mmoja aliniambia anasoma udsm degree ya civics..hapo ndo nilikubali hii dunia ina mambo
[emoji23][emoji23]
 
Hiyo gari inakuwa gari kweli uliyonunua kwa jasho na kujinyima au inakuwa gari ya urithi.

Maana kwa kawaida mtu akitaka kuazima kitu chako lazima umuulize akupe details, ili hata yakitokea mengineyo uwe na pa kuanzia.
Kwa mtu asiyeelewa investment ya kununua gari na kuimantain hawezi elewa uchungu pale anapokuja mtu ambaye hana gari au hamiliki gari na udereva wake unatia mashaka plus ukitazama hata kipato chake ni wasi wasi anakwambia naomba gari nitakurejeshea jioni..... Sio kirahisi hivyo ujue....?!

Gari ya kununua kwa pesa ya kudunduliza huwa inauma sana....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata mm huwa siwaelewagi kabisa,unajiuliza mtu kama huyo alikuwa anakudanganya kwa mantiki ipi labda au apate nin?,hakika unakosa majibu unabaki kucheka tuu
Ile me nadhani inakuwa ni mbinu ya kukurahisisha akili umuamini na kuona chochote utakachotoa kwake kitarejea.... (of which sahau hakitarudi, wewe ndio fursa na utapoteza sana).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji15][emoji15][emoji15] aiseee.. mbona wanitisha sasa. Mbona si jambo la kawaida hili. Mbona kama unaokumbana nao wanafanana hizi mambo despite wewe giving ur all? I think kuna shida mahali aisee... na wewe hukuogopa haya mazingira unayomwona nayo na hizo trips zakw zote? How could u risk all that?

Deni ulijalisort vipi?
Ila sometimes we women tunapelekeaga wanaume kuwa this bad aisee... mimi tuu nimepata hasiraaa hv. Wewe ilikuaje[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Alikuja akanambia nipambane na hali yangu vitu kaniachia.

Nilichofanya ni kutafuta mteja wa chumba bila kumwambia father house (mwenye nyumba alikuwa Nairobi kimasomo, anaekuwapo nyumbani ni mama yake ambae ni bibi wa makamo, pamoja na dada zake wakubwa).

So nikarudisha kodi nakumbuka ilikuwa imebakia ya miezi kumi na moja..... Nikachukua na vitu vile vyote nikaweka kwangu isipokuwa dressing table ambayo niliuza kwa mdada chumba xha jirani. Hela yote ilirudi na faida nikapata.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahaja kuna jamaa hapo juu kasema ndege wafananao?!,kwanin yy tuu ila teseme mabinti wenye tabia za hivyo baadhi hata ww unaweza kukutana nae,umdhaniaye kumbe sio man
Wapo wengi sasa.... Na nadhani kuna ulimbukeni wa maisha ya kisasa umetamalaki miaka hii.... Watu kwann wawe waongo waongo?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo lenu mnatumia lugha za kuamrisha, mnajisahau kana kwamba mnafokea wadogo zenu huko majumbani, kumbe Kuna mama, dada mamdogo na shangazi zenu wa kutosha
Sasa kwa mwanaume mwanamke si ni dogo tu au haujui... [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baadhi ya wanawake humpokea mtu jinsi anavyo kuja, mpaka hapoo? Ukijifanya matawi utageuzwa ATM mpaka hapoo? Ukijifanya mpole atakuona bado mshamba atakuingiza mjini mpaka hapoo na ukiwa muerevu atakuona uko mjanja kama mjanja wake Lucifer, na kwa Lucifer mwanamke huwa hawapinduki ni kama chatu na jibwa upoo?
hilo neno la mwisho lina mushikeri kama wewe ni Me
 
Kuna rafiki yangu aliniambia, yeye anasoma Arusha Technical College (ATC).
course ya kuingiza nyimbo kwenye simu na flash. [emoji23][emoji23][emoji23]. It is a very true story. Nilimhurumia sana kwa fix aliyonipiga.
Hahahaha
 
Tena hiyo ni back in a day. Ni mtihani sana kuwa karibu na mtu wa hivyo kazi kukuagiza vitu..... Halafu hana hata ile huruma ya huyu mtu simjui, financially sijui anabudget mambo yake vipi au ana kipato gani yeye anafanya kama kukukomoa....

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa ndo unakuta mtoto wa mtu analalamika hakuna waoaji. Hizi tabia za kuigiza zinagharimu sana watu. Achana na hawa watu aisee hizo u ajiokitea ni nuksi tu
 
Back
Top Bottom