Hao kenge hawafai kupewa hata soda, Sasa wewe unawalipia Hadi Kodi😅[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hela natoa wapi tena ndugu..... Na hali ilivyongumu hii si unaona ninavyolalamika hapa....
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila mbona mimi toka primary napiga boarding mpaka chuo naishi hostel na sijawahi kuwa influenced na yeyote?Tatizo ni kama wengi wao haya maisha ya chuo na kukaa hostel kumewashape kisaikolojia kuamini uongo ndio ngao yao ya kupata wanachotaka na kumrubuni mwanaume aweze kuwalegezea kamba.
But majority wanaendekeza uongo bila sababu. Mtu anaamua tu kudanganya.... Kwasababu kajisikia....
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23] my typical parents. Ila haikufika chuo .. ila seemingly kweli yuko smart maana haingii vipindi and yet anatoboa yuko vzr. Hayo maisha atakujaga yakumbuka siku[emoji28][emoji28]Ni kabinti ka mzee m'moja alikuwa HR pale kwenye mgodi wa Barrick (hiyo nilikuja kujua baadae sana siku baba yake alipokuja chuoni kumtembelea akaomba namba ya CR, ambae nilikuwa mimi ili nimpe taarifa za mwanae).
Kuhusu shughuli hakuwa na shughuli yoyote, anategemea pesa kutoka kwa baba yake. Alinambia mengi sana siku alipokuja chuo tukaonana. Ingawa nilimpa moyo kuwa binti yake anakichwa chepesi sababu anaperform vizuri hata kuwashinda wale wanaohudhuria shule everyday.
Mzee wake alikuwa anampatia hadi 1 milioni matumizi tu ya nusu semester ila kabinti kataichakaza hiyo ndani ya wiki imeisha. Tulizungumza mengi sana na mzee wake ikiwemo namna ya kumsaidia binti yake atulie amalize chuo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninyi msiotaka kubambiwa klabu ndo huwa mnatumalizia oksijeniIla mbona mimi toka primary napiga boarding mpaka chuo naishi hostel na sijawahi kuwa influenced na yeyote?
Nadhani ni ulimbukeni wao plus malezi... maisha ya kuigiza ni ujinga sana. Siku za sikukuu mf. Nilikua nalala zangu room hostel kimyaa hata christmas[emoji28] yaan sishtuki. Club tukienda sitaki kibambiwa. Simple. Ninprincipals tu
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12] huyo atakuwa wale wa network marketing. QnetKuna m'moja huyo, nilikutana nae kwenye stationary naona anasaidia kazi. Nikamuomba namba akanijibu mapema sana (ila usoni nikamuona tu huyu anajihami). Sikubembeleza nikakausha.
Kuna siku tukakutana nipo na gari ya rafiki yangu (harrier makalio ya nyani) nimekwenda nayo sokoni. Kuniona macho yakamtoka. Muda naondoka baada ya kununua vitu namuona ananipungia mkono. Nikampungia back kawaida tu nikaendelea na ratiba zangu.
Baada ya siku kadhaa at the same stationary, akaniona akaja haraka sana. Kufika akachukua simu yangu (kama utani hivi) kuishika inadai password. Akaniomba niweke password. Nikaweka akaweka namba zake akajipigia akanirejeshea simu yangu.
Picha ndio likaanza, akanitext usiku ule ule. Tukaanza kuchat. Huku na kule akaanza sasa story za kuonekana yeye yupo vema. Mara ananiambia ile stationary ni ya kwake yule ni mfanya kazi wake.
Mara ananiambia sijui hapa nasoma report ya biashara zangu, namuuliza biashara gani anahamisha magoli taratibu utasikia, "acha tu yaani biashara ni nyingi kwakweli, anyways leta story".
Hapo hapo mara aseme ana mambo mengi sana kichwani hadi anatamani kulewa ili apoteze mawazo, nimtoe out..... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Namuuliza mambo gani yanakuzonga. Oooh wazazi wangu unajua wamefariki, sisi kwetu tupo watatu tu, sasa tumeachiwa nyumba zipo huko mbezi Beach, kijitonyama na tabata, mimi ndio nasimamia. Sasa sijazunguka kufanya ukaguzi.
Namuuliza wewe unaishi wapi kwan kwa sasa, ooooh nakaa tegeta. Kuna siku namtext upo wapi, anasema nipo tegeta, namuuliza upo home, anajibu ndio, nikamwambia nielekeze nakuja kukusalimia nipite njia gani, anaanza kuhamisha magoli, aaaah upo njiani unakuja tegeta au upo tegeta kabisa,namjibu nipo tegeta hapa wewe upo wapi, aaaah sawa ngoja basi nikupigie baada ya dakika 1 maana simu yangu inazima chaji ipo betry low, ngoja niichomeke kwenye chaji isizime...... kisha nikuelekeze.
Kubabake kwan alipiga tena.... Nikapiga simu kimya haiiti..... Nilicheka balaa siku ile.... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
ulikuwa hutaki ushikwe wezele kimasiharaIla mbona mimi toka primary napiga boarding mpaka chuo naishi hostel na sijawahi kuwa influenced na yeyote?
Nadhani ni ulimbukeni wao plus malezi... maisha ya kuigiza ni ujinga sana. Siku za sikukuu mf. Nilikua nalala zangu room hostel kimyaa hata christmas[emoji28] yaan sishtuki. Club tukienda sitaki kibambiwa. Simple. Ninprincipals tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baada ya kusoma comment yake ilibidi nijiangalie mikono yangu kwanza maana hatupishani [emoji23] [emoji23]
Dah [emoji23][emoji23][emoji23]yote hiyo ili mikono iwe migumu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kagonge kokoto
Wanapata basi wanakula chenga za mwili...Hao kenge hawafai kupewa hata soda, Sasa wewe unawalipia Hadi Kodi[emoji28]
True mtu wangu. Matatizo ya akiliHayo ni magonjwa ya ssaikolojia wakuu "kujivunia kitu ambacho huna" n dalili mojawapo
Unajua si kila binti anapotoka nyumbani anaondoka na home training zake.....Ila mbona mimi toka primary napiga boarding mpaka chuo naishi hostel na sijawahi kuwa influenced na yeyote?
Nadhani ni ulimbukeni wao plus malezi... maisha ya kuigiza ni ujinga sana. Siku za sikukuu mf. Nilikua nalala zangu room hostel kimyaa hata christmas[emoji28] yaan sishtuki. Club tukienda sitaki kibambiwa. Simple. Ninprincipals tu
Anashika daftari hapa anasoma usiku kidogo na asubuhi anasoma pepa saa nne asubuhi. Akiingia.... Katika maksi 15 hakosi 13 au 12.....[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23] my typical parents. Ila haikufika chuo .. ila seemingly kweli yuko smart maana haingii vipindi and yet anatoboa yuko vzr. Hayo maisha atakujaga yakumbuka siku[emoji28][emoji28]
Dingi yake kampuni ilipofungwa akarudi ground tena hali ikawa tete so kabinti duh kana wenge balaa sasa hivi.....[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23] my typical parents. Ila haikufika chuo .. ila seemingly kweli yuko smart maana haingii vipindi and yet anatoboa yuko vzr. Hayo maisha atakujaga yakumbuka siku[emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23]Ninyi msiotaka kubambiwa klabu ndo huwa mnatumalizia oksijeni
Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Wazee wa ukiniletea wenzako watano tu, hapo utakuwa umeshamaliza tutakuwa mamilionea ndani ya miaka 3 tu....[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12] huyo atakuwa wale wa network marketing. Qnet
Mkuu kuzungushwaje tena.....?!We huo muda wa kuzungushwa zungushwa umepata wapi? Wameona unawikinesi ndiyo maana wanakuzungusha zungusha kama zuzu