Mabinti wa kisasa hebu acheni uongo usio na maana

Mabinti wa kisasa hebu acheni uongo usio na maana

Tatizo ni kama wengi wao haya maisha ya chuo na kukaa hostel kumewashape kisaikolojia kuamini uongo ndio ngao yao ya kupata wanachotaka na kumrubuni mwanaume aweze kuwalegezea kamba.

But majority wanaendekeza uongo bila sababu. Mtu anaamua tu kudanganya.... Kwasababu kajisikia....

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila mbona mimi toka primary napiga boarding mpaka chuo naishi hostel na sijawahi kuwa influenced na yeyote?
Nadhani ni ulimbukeni wao plus malezi... maisha ya kuigiza ni ujinga sana. Siku za sikukuu mf. Nilikua nalala zangu room hostel kimyaa hata christmas[emoji28] yaan sishtuki. Club tukienda sitaki kibambiwa. Simple. Ninprincipals tu
 
Ni kabinti ka mzee m'moja alikuwa HR pale kwenye mgodi wa Barrick (hiyo nilikuja kujua baadae sana siku baba yake alipokuja chuoni kumtembelea akaomba namba ya CR, ambae nilikuwa mimi ili nimpe taarifa za mwanae).

Kuhusu shughuli hakuwa na shughuli yoyote, anategemea pesa kutoka kwa baba yake. Alinambia mengi sana siku alipokuja chuo tukaonana. Ingawa nilimpa moyo kuwa binti yake anakichwa chepesi sababu anaperform vizuri hata kuwashinda wale wanaohudhuria shule everyday.

Mzee wake alikuwa anampatia hadi 1 milioni matumizi tu ya nusu semester ila kabinti kataichakaza hiyo ndani ya wiki imeisha. Tulizungumza mengi sana na mzee wake ikiwemo namna ya kumsaidia binti yake atulie amalize chuo.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23] my typical parents. Ila haikufika chuo .. ila seemingly kweli yuko smart maana haingii vipindi and yet anatoboa yuko vzr. Hayo maisha atakujaga yakumbuka siku[emoji28][emoji28]
 
Ila mbona mimi toka primary napiga boarding mpaka chuo naishi hostel na sijawahi kuwa influenced na yeyote?
Nadhani ni ulimbukeni wao plus malezi... maisha ya kuigiza ni ujinga sana. Siku za sikukuu mf. Nilikua nalala zangu room hostel kimyaa hata christmas[emoji28] yaan sishtuki. Club tukienda sitaki kibambiwa. Simple. Ninprincipals tu
Ninyi msiotaka kubambiwa klabu ndo huwa mnatumalizia oksijeni

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Kuna m'moja huyo, nilikutana nae kwenye stationary naona anasaidia kazi. Nikamuomba namba akanijibu mapema sana (ila usoni nikamuona tu huyu anajihami). Sikubembeleza nikakausha.

Kuna siku tukakutana nipo na gari ya rafiki yangu (harrier makalio ya nyani) nimekwenda nayo sokoni. Kuniona macho yakamtoka. Muda naondoka baada ya kununua vitu namuona ananipungia mkono. Nikampungia back kawaida tu nikaendelea na ratiba zangu.

Baada ya siku kadhaa at the same stationary, akaniona akaja haraka sana. Kufika akachukua simu yangu (kama utani hivi) kuishika inadai password. Akaniomba niweke password. Nikaweka akaweka namba zake akajipigia akanirejeshea simu yangu.

Picha ndio likaanza, akanitext usiku ule ule. Tukaanza kuchat. Huku na kule akaanza sasa story za kuonekana yeye yupo vema. Mara ananiambia ile stationary ni ya kwake yule ni mfanya kazi wake.

Mara ananiambia sijui hapa nasoma report ya biashara zangu, namuuliza biashara gani anahamisha magoli taratibu utasikia, "acha tu yaani biashara ni nyingi kwakweli, anyways leta story".

Hapo hapo mara aseme ana mambo mengi sana kichwani hadi anatamani kulewa ili apoteze mawazo, nimtoe out..... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Namuuliza mambo gani yanakuzonga. Oooh wazazi wangu unajua wamefariki, sisi kwetu tupo watatu tu, sasa tumeachiwa nyumba zipo huko mbezi Beach, kijitonyama na tabata, mimi ndio nasimamia. Sasa sijazunguka kufanya ukaguzi.

Namuuliza wewe unaishi wapi kwan kwa sasa, ooooh nakaa tegeta. Kuna siku namtext upo wapi, anasema nipo tegeta, namuuliza upo home, anajibu ndio, nikamwambia nielekeze nakuja kukusalimia nipite njia gani, anaanza kuhamisha magoli, aaaah upo njiani unakuja tegeta au upo tegeta kabisa,namjibu nipo tegeta hapa wewe upo wapi, aaaah sawa ngoja basi nikupigie baada ya dakika 1 maana simu yangu inazima chaji ipo betry low, ngoja niichomeke kwenye chaji isizime...... kisha nikuelekeze.

Kubabake kwan alipiga tena.... Nikapiga simu kimya haiiti..... Nilicheka balaa siku ile.... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12] huyo atakuwa wale wa network marketing. Qnet
 
Ila mbona mimi toka primary napiga boarding mpaka chuo naishi hostel na sijawahi kuwa influenced na yeyote?
Nadhani ni ulimbukeni wao plus malezi... maisha ya kuigiza ni ujinga sana. Siku za sikukuu mf. Nilikua nalala zangu room hostel kimyaa hata christmas[emoji28] yaan sishtuki. Club tukienda sitaki kibambiwa. Simple. Ninprincipals tu
ulikuwa hutaki ushikwe wezele kimasihara
 
Ila mbona mimi toka primary napiga boarding mpaka chuo naishi hostel na sijawahi kuwa influenced na yeyote?
Nadhani ni ulimbukeni wao plus malezi... maisha ya kuigiza ni ujinga sana. Siku za sikukuu mf. Nilikua nalala zangu room hostel kimyaa hata christmas[emoji28] yaan sishtuki. Club tukienda sitaki kibambiwa. Simple. Ninprincipals tu
Unajua si kila binti anapotoka nyumbani anaondoka na home training zake.....

Wengi wakiondoka nyumbani kwenda vyuoni ni fungulia mbwa.... Majuto yake ni baada ya kumaliza chuo halafu miaka kadhaa baade....

Kama ule msemo wa kiswahili wa kwamba kenge hasikii hadi apate kipigo kimtoe damu ndio adabu huja. The same kwa mabinti wanaojifanya wajuzi wa ujanja wa mjini, balaa ni umri ukishaenda.

Sasa mtu anakuwa anatumia muda mchache wa ujana kujifunza upuuzi na uongo uongo wa kutaka kuonekana ni maridadi hivi kesho na kesho kutwa nani atakuamini akuweke ndani muishi pamoja.

Na sisi wanaume huwa tunashare mafaili. Tunakwambia kabisa.... Dah aisee yule dada ni muongo balaa....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We huo muda wa kuzungushwa zungushwa umepata wapi? Wameona unawikinesi ndiyo maana wanakuzungusha zungusha kama zuzu
 
[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23] my typical parents. Ila haikufika chuo .. ila seemingly kweli yuko smart maana haingii vipindi and yet anatoboa yuko vzr. Hayo maisha atakujaga yakumbuka siku[emoji28][emoji28]
Anashika daftari hapa anasoma usiku kidogo na asubuhi anasoma pepa saa nne asubuhi. Akiingia.... Katika maksi 15 hakosi 13 au 12.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23] my typical parents. Ila haikufika chuo .. ila seemingly kweli yuko smart maana haingii vipindi and yet anatoboa yuko vzr. Hayo maisha atakujaga yakumbuka siku[emoji28][emoji28]
Dingi yake kampuni ilipofungwa akarudi ground tena hali ikawa tete so kabinti duh kana wenge balaa sasa hivi.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu unamaanisha na sisi tumeanza zile kauli za "kuna mchongo nausikilizia ukitiki huo...." aargh mi siwezi kujivunga kama sina mishe,pesa nasema wazi tu hakuna cha kusikizilizia wala nini😛
 
Back
Top Bottom