Kabisa....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu unamaanisha na sisi tumeanza zile kauli za "kuna mchongo nausikilizia ukitiki huo...." aargh mi siwezi kujivunga kama sina mishe,pesa nasema wazi tu hakuna cha kusikizilizia wala nini[emoji14]
Aisee ila unajua siamini kama hayo maneno yanatoka kwa wadada eti🤔 tulivo honest hivi , hizo ni swagger za wakaka kusikilizia michongo bana.😀Kabisa....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utasikia,"Dah kuna kazi hapa natype na ndio namalizia ili niweze kuiprint maana natakiwa nimtumie client wangu hapa ili asign mkataba tuanze contract ya production tupeleke mzigo sokoni.....
Hapo namtazama tu lile jicho" mwe, hivi huyu ananionaje lakini?! "
Sent using Jamii Forums mobile app
Mikono km yako sisimki mwenzio
Anipend kichizi huyo mama mkwe 😜 ila mwanae ndio kashanipenda
Ma slay kwini ni noma kwa kuji kukuz af amna kitu yani! Tutawasagia chupa tu hadi kieleweke haya maisha tu😝😝😝[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mwana lazima anipe sapoti ya kuwasagia kunguni maslay queen
Sent using Jamii Forums mobile app
Miss bantu miss u jmn!Mmekutana wote vivuruge
Nimecheka kinoma 🤓🤓🤓Hizi id ndio zinazungumziwa kwenye huu uzi
Una mzigo lakini yani “Chura”???Ila mbona mimi toka primary napiga boarding mpaka chuo naishi hostel na sijawahi kuwa influenced na yeyote?
Nadhani ni ulimbukeni wao plus malezi... maisha ya kuigiza ni ujinga sana. Siku za sikukuu mf. Nilikua nalala zangu room hostel kimyaa hata christmas[emoji28] yaan sishtuki. Club tukienda sitaki kibambiwa. Simple. Ninprincipals tu
HahahahMkuu unamaanisha na sisi tumeanza zile kauli za "kuna mchongo nausikilizia ukitiki huo...." aargh mi siwezi kujivunga kama sina mishe,pesa nasema wazi tu hakuna cha kusikizilizia wala nini😛
Niko njiani kwenda kanisani nikakuombee utulivu, kingine Nini unataka nikuombee?Miss bantu miss u jmn!
Nimeliwaza sana hilo kwamba shida iko kwa mtoa mada. Ndio aina ya mademu anaochukua.Ndege wafananao,, huruka pamoja, haiwezekani ukutane na aina hiyo hiyo moja ya wanawake lazima unafanana nao tabia[emoji16]
Majambalika ndio ma nini?[emoji23][emoji23][emoji23]Madem wamekuwa majambalika noma sana!
tukae nao chonjo....
majambaziMajambalika ndio ma nini?[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23]majambazi
Njoo Nikupe dozi, na hakika ni stress za kutokutombw* vizuri.Kavulana kengine haka, mxiieee
Niombee niendelee kukupenda tu mama😋😍😍😍Niko njiani kwenda kanisani nikakuombee utulivu, kingine Nini unataka nikuombee?
Niamini nakwambia, tena hadi wanawake wenzao wanajua kuwa wanapigwa sound.Aisee ila unajua siamini kama hayo maneno yanatoka kwa wadada eti[emoji848] tulivo honest hivi , hizo ni swagger za wakaka kusikilizia michongo bana.[emoji3]