Mabinti wa kisasa hebu acheni uongo usio na maana

Unaanzaje kumtambulisha mtu kwa watu wa circle yako wakati mwanzo tu kaanza kukudanganya!?
 
Kweli JPM aliwatia adabu watanzania, kipindi cha JK wengi wadada walikuwa wanategemea waume za watu wenye pesa, wengi walikuwa nyumba ndogo , mzee baba alivyoingia michongo na wizi wote kwishinei, wadada wakawa Kama kuku waliofunguliwa kwenye Banda lao, nyumba ndogo zote zikaisha. Mambo ya uongo uongo yakaanza hili kusogeza maisha.
 

Naomba nafasi mrembo tufanye maisha
 
Hahahahaja kuna jamaa hapo juu kasema ndege wafananao?!,kwanin yy tuu ila teseme mabinti wenye tabia za hivyo wapo baadhi hata ww unaweza kukutana nae,umdhaniaye kumbe sio man

sijakataa kukutana nae ila ntakavyomchenga hataamini me sipendag usanii inapokuja swala la maisha
 

aisee ashawah mtu chukua chuma akasema anaenda kibaha akaenda tabora akapiga nayo mbanga mbaya sana alafu gari nilijibana kweli harrier tako la nyani nikauza nikanunua kialteza siji kusahau maisha yangu yote na urafiki tuliuua
 
Mkuu umeeleweka kabisa, sema watu wanataka kuwatetea tabia mbaya maana nao ni mumo humo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…