Mabinti wa leo

Mabinti wa leo

Subira yanini wakati hata wanaume wenyewe hamtabiriki?
Nikudadisi inisaidie nini wakati mmeshajiandaa kudanganya?
Sio rahisi kushawishiwa kama udhanivyo.
Kumbe nanyi mnajijua kua mkiona maungo yetu akili zinawaruka? Sasa kwanini mshangae akili zikituruka kwa Pesa?
Bora sisi Pesa kuliko nyie maungo ya mwili,nani yupo pabaya kati yetu?
Tenzi zinisaidie nini,najua kesho utanitenda tu hata kama uliniimbia mashairi matamu.
Mnaona tukilana denda kwenye media huwaoni wanaume wenzako wanaoolewa?
Sorry,nimejaribu kutumia lugha uliyotumia.
Iwewajumuisha wadada as if wote wanafanya haya uliyoyasema ila sikua na lengo la kujumuisha wanaume wote.

nimekubali maneno yako,umesema ukweli kabisaaaaaaaa!!!!
 
Uliniudhi ulivyotoroka kwenye maombi,nitasema kwa mchungaji leo.....habari yako binafsi CPU?

Naku😛ray2: sana usinisemelee kwasababu nita :A S 20::A S 20::A S-cry::A S-cry:sana, mchungaji mnoko sana atani :ban: mwezi mzima
Plse nitaharakishavkuja kwenu kutoa mahali ili baadae ukisha pata:mimba: tuanze kuitwa baba na mama tuje tuwape darasa wana JF kama hawa walioanzisha hii sredi, fanya mpango basi uni :A S 101:
Sema :amen:
 
Naunga mkono hoja hii 10000000000000000%

Mioyo ya Mabinti Woooooooooooooooooote imebadlika sana!!!!!!!

As long as Wallet ipo safi (max $300), unaweza kuchukua binti yeyote yule na kwenda naye guest!! Shame!!

Huu mwandiko kama naujua vile!
 
Naku😛ray2: sana usinisemelee kwasababu nita :A S 20::A S 20::A S-cry::A S-cry:sana, mchungaji mnoko sana atani :ban: mwezi mzima
Plse nitaharakishavkuja kwenu kutoa mahali ili baadae ukisha pata:mimba: tuanze kuitwa baba na mama tuje tuwape darasa wana JF kama hawa walioanzisha hii sredi, fanya mpango basi uni :A S 101:
Sema :amen:
Unanizingua sana mtu wangu,tufanye kweli basi,yaani hadi kanisani wanauliza tuna mpango gani??mi nataka tu-prove watu wrong na masredi yao ati????fanya kweli mpz!!
 
Unanizingua sana mtu wangu,tufanye kweli basi,yaani hadi kanisani wanauliza tuna mpango gani??mi nataka tu-prove watu wrong na masredi yao ati????fanya kweli mpz!!

Michelle umenitesa vya kutosha......

Ngoja ni log out nikazimue...nisije kufa na mapresha bure LOLZ
 
Unanizingua sana mtu wangu,tufanye kweli basi,yaani hadi kanisani wanauliza tuna mpango gani??mi nataka tu-prove watu wrong na masredi yao ati????fanya kweli mpz!!
Hii statement kama vile sielewi elewi
 
Naunga mkono hoja hii 10000000000000000%

Mioyo ya Mabinti Woooooooooooooooooote imebadlika sana!!!!!!!

As long as Wallet ipo safi (max $300), unaweza kuchukua binti yeyote yule na kwenda naye guest!! Shame!!


Shame on you first.

Unakwenda Guest kwa $300??? Hata aibu huna labda hizo Guest za kwenu huko Malampaka ndo huwa unakwenda.

Wenzio siku hizi tunakwenda Hotel za maana sio viguest vyako hata AC hakuna. Mwone kwanza peleka wa***** wako huko kwenye kunguni na usituunganishe wote.

Usinipandishe hasira mie saa hizi

Watu wengine bana eti $300??? Njoo kwangu nikuonyeshe pochi yangu ina $ ngapi halafu uache up******** wako
 
Somo lilishafikiwa muktadha, thread ikageuzwa Chat Room kwa hisani ya watu wa Marekani kitengo cha Gongo La Mboto!

Hivi Gongo na Mbali wapi Mboto?

haya wandugu. Tuichakachue wkend
 
Back
Top Bottom