muhosni
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 1,108
- 152
Miongoni mwa watu ninawaheshimu sana na wewe ni mmoja wao!! Be blessed!!
Greatful mum
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miongoni mwa watu ninawaheshimu sana na wewe ni mmoja wao!! Be blessed!!
Wanapenda kula na kunywa,
Siku zinaenda wanaume kama mabinti,
Ninaposema wanaume si maanishi wote,
Ila wale wenye tabia kama za mabinti!!
Ha ha ha!!! Sio wimbo wangu huo!!
Habari yake Michelle mama!!
Raia Fulani,
Obuntu anapenda kufahamu ni nini kinaendelea hapa?
Mabinti wa leo:-
1.. Hawana subira.
2.. Si wadadisi.
3.. Ni rahisi kushawishiwa,waonapo mazingira ya mali.
4.. Wanam conclude mwanaume kwa kumtazama tu.
Conclusion:
Cha msingi wapate mahitaji yao 'muhimu'-saluni, vocha, usafiri, mlo, viwalo, kodi. Sex inaweza isiwe lazima. Anajua to calm hamu hata kama ni kwa kuibia, kujichua ama wao kwa wao! Si tunaona wakilana madenda laivu kwenye media? Nisiseme sana. Sie wanaume tunapenda muwe wadadisi na wenye subira. Hayo mawili ni msingi wa mengine.
======================================================================================
Hili linahitaji mjadala mrefu usio na jazba - ingawaje ukweli upo karibia 95%, very unfortunately!
======================================================================================
mkuu pamoja sana............!
kweli tupu....................!
sio wote, lkn asilimia kubwa ndivyo walivyo kabisa........................!
usitishwe na makelele mkuu..............!
Hii thread imesaidia kuona upande mwingine wa sarafu wa baadhi ya members niliodhani wana hekima na heshima.............!
Haya jiteteeni may be ana evidence!
Obuntu unajua vile navyokuheshimu na kukupenda sana (Hilo unalijua halina ubishi) pia sasa tafadhali sana tena sana hebu acha hayo mambo yako kama sina shida na hivyo kwenye red???
Ndo maana tumemwambia aende amwambie huyo wake ambaye yuko hivyo sio kutuchanganya kama nyanya sokoni
Father unajua nakushimu sana????? Hiyo red???!!!!
hivi wewe ni binti, mwanamke au mama? Kuna tofauti. Kama umeolewa halikuhusu hili. Waambie na wengine
hivi wewe ni binti, mwanamke au mama? Kuna tofauti. Kama umeolewa halikuhusu hili. Waambie na wengine
mwanamke yupi anaependa shida?
mwanamke yupi anaependa shida?
mkuu pamoja sana............!
kweli tupu....................!
sio wote, lkn asilimia kubwa ndivyo walivyo kabisa........................!
usitishwe na makelele mkuu..............!
Hii thread imesaidia kuona upande mwingine wa sarafu wa baadhi ya members niliodhani wana hekima na heshima.............!
nalifahamu hilo sweetie..............!
hapo kwenye red sina nguvu za kupaongelea naomba tupaache kwa sasa..........!
huko nilipopotelea nilikumiss sana.........................!
Enjoy"I want to shoot the moon...and even if it happens that I fail, I will land among the stars" i love this signature!!!!