Mabishano ya kidini ni ujinga na kipimo cha uelewa mdogo

Mabishano ya kidini ni ujinga na kipimo cha uelewa mdogo

Ukichukua betri then ukiangalia mwanzo wake na mwisho wake unaona nini?

View attachment 2355015
Betri ni Sayansi na material za kidunia na kibinadamu ukileta mifano ya kibinadamu na kisayansi kwenye kulinganisha Mungu na shetani unaanza tena kutumia Akili ya kibinadamu kuwatafsiri Supernatural powers(Mungu na shetani) wasio na mifano ya kuwathibitishia kwa ukamili kwa akili na mawazo ya kibinadamu.
 
Ila kuhoji ni muhimu kabla ya kupokea hiyo imani. Mf. Je ufufuko ni kweli? Ni kweli alipaa Mbinguni? Na Mbinguni ni wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Usiisome biblia kama unavyosoma utili wa physics.. Imeandikwa kimafumbo.
Kama ufalme wa Mungu upo ndani yako basi Yesu hakupaa Mbinguni kwenye mawingu unapopajua wewe. Ni fumbo hilo
Screenshot_20220912-230153~2.jpg
 
Betri ni Sayansi na material za kidunia na kibinadamu ukileta mifano ya kibinadamu na kisayansi kwenye kulinganisha Mungu na shetani unaanza tena kutumia Akili ya kibinadamu kuwatafsiri Supernatural powers(Mungu na shetani) wasio na mifano ya kuwathibitishia kwa ukamili kwa akili na mawazo ya kibinadamu.
Mfano wa Mungu na shetani unaendana na hizo negative charges na positive charges ambazo zinahitajika kufanya kazi pamoja ili umeme uzalishwe.

Ukielewa mchanganuo huu utaelewa kwanini Mungu na shetani wanaexist kwa pamoja na existence zao zinategemeana.
 
Ila kuhoji ni muhimu kabla ya kupokea hiyo imani. Mf. Je ufufuko ni kweli? Ni kweli alipaa Mbinguni? Na Mbinguni ni wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata ukihoji imani fulani kabla ya kupokea imani hiyo bado majibu yake watu watajaribu kukupa waki jikita na kuegemea kwenye Dini zao na maandiko yao ya kiimani (Biblia na Quran) kutokana na sababu kwamba ndicho wanachojua tu.. hawana tofauti na hicho ambapo tafsiri yake wanabaki kwenye "Udini" waliokulia na kuaminishwa.
 
Mfano wa Mungu na shetani unaendana na hizo negative charges na positive charges ambazo zinahitajika kufanya kazi pamoja ili umeme uzalishwe.

Ukielewa mchanganuo huu utaelewa kwanini Mungu na shetani wanaexist kwa pamoja na existence zao zinategemeana.
Basi mkuu [emoji23] niku ulize swali wewe una mwamini Mungu ndie mwenye nguvu au shetani ndiye mwenye nguvu???
 
Basi mkuu [emoji23] niku ulize swali wewe una mwamini Mungu ndie mwenye nguvu au shetani ndiye mwenye nguvu???
Nguvu za Mungu bila uwepo wa shetani hazina maana, na nguvu za shetani bila uwepo wa Mungu hazina maana.
 
Hata akitokeza amtoamini.
Mungu na shetani uonekana kupitia watu
[emoji23][emoji23][emoji23]Basi kama hatutamuani then haaminiki. So ndio ameamua kujificha kwa watu wachache
 
Vp Kama miguu ingekuwa inakwenda sawa ungeweza kutembea?ndivyo ilivyo kwenyee dini vipi Kama biblia na Quran vingekuwa ni kitabu kimoja?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Eti miguu kupishana ni miujiza ya Mungu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nguvu za Mungu bila uwepo wa shetani hazina maana, na nguvu za shetani bila uwepo wa Mungu hazina maana.
Ni kweli mkuu..ila mbona tena maandiko haya ya kidini yanadai Mungu ndio muumba wa vyote? Na ndio mkuu..? Na kwamba shetani ndio muasi na msaliti wa Mungu..sasa mwenye nguvu anaonekana ni Mungu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Eti miguu kupishana ni miujiza ya Mungu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unaona ni Jambo rahisi kwa kuwa umepewa uwezo wa kutembea.unaweza kuniambia walemavu wa miguu walikosea Nini mpaka wamenyimwa uwezo wa kutembea?
 
Ni kweli mkuu..ila mbona tena maandiko haya ya kidini yanadai Mungu ndio muumba wa vyote? Na ndio mkuu..? Na kwamba shetani ndio muasi na msaliti wa Mungu..sasa mwenye nguvu anaonekana ni Mungu.
Maandiko pia yanasema hivi..
Screenshot_20220912-234521~2.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Basi kama hatutamuani then haaminiki. So ndio ameamua kujificha kwa watu wachache
Fanya ili mema umuone siku moja au tenda maovu siku ya mwisho umuone shetani live. Uchaguzi ni wako.
 
Mimi nilivyo uona huu uzi nikasema labda mkuu anakuja kutoa suruhu ya kidini kutukanya kuhusu mabishano yetu kidini kumbe na yeye ni mtu wa mabishano yakidini hivyo ameamua kuleta ubishi tena watu tuanze kubishanaa. ,😂😂😂😂
 
Mimi nilivyo uona huu uzi nikasema labda mkuu anakuja kutoa suruhu ya kidini kutukanya na kuku kuhusu mabishano yetu kidini kumbe na yeye ni mtu wa mabishano yakidini hivyo ameamua kuleta ubishi tena watu tuanze kubishanaa. ,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu,Hebu fuatilila huu uzi na usome hadi mwisho Nimeshauri na kutoa suluhu kwamba "Hakuna mwenye uthibitisho wa usahihi na ukweli wa dini yake zaidi ya kujikita na kuegemea kwenye maandiko ya kidini (Biblia na Quran) yanayo kinzana na kuleta Udini na ubishi usio Isha".. sitetei upande wowote ule Uislamu wala ukristo maana kutetea imani yako au dini yako ni "Udini"...mimi sijabishana kutetea dini yangu kwenye huu uzi....
 
Mhala sana bhabhaa?

إِنَّ الدِّينَ عِنْدَ اللَّهِ الْإِسْلَامُ ۗ وَمَا اخْتَلَفَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ إِلَّا مِنْ بَعْدِ مَا جَاءَهُمُ الْعِلْمُ بَغْيًا بَيْنَهُمْ ۗ وَمَنْ يَكْفُرْ بِآيَاتِ اللَّهِ فَإِنَّ اللَّهَ سَرِيعُ الْحِسَابِ
Al-Imran 19
Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu.

فَإِنْ حَاجُّوكَ فَقُلْ أَسْلَمْتُ وَجْهِيَ لِلَّهِ وَمَنِ اتَّبَعَنِ ۗ وَقُلْ لِلَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ وَالْأُمِّيِّينَ أَأَسْلَمْتُمْ ۚ فَإِنْ أَسْلَمُوا فَقَدِ اهْتَدَوْا ۖ وَإِنْ تَوَلَّوْا فَإِنَّمَا عَلَيْكَ الْبَلَاغُ ۗ وَاللَّهُ بَصِيرٌ بِالْعِبَادِ
Al-Imran 20
Na pindi wakikuhoji, basi sema: Mimi nimeusalimisha uso wangu kumwelekea Mwenyezi Mungu, na kadhaalika walio nifuata. Na waambie walio pewa Kitabu na wasio na kisomo: Je! Mmesilimu? Wakisilimu basi wameongoka. Na wakikengeuka basi juu yako ni kufikisha ujumbe tu. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuwaona waja wake.


إِنَّ الَّذِينَ يَكْفُرُونَ بِآيَاتِ اللَّهِ وَيَقْتُلُونَ النَّبِيِّينَ بِغَيْرِ حَقٍّ وَيَقْتُلُونَ الَّذِينَ يَأْمُرُونَ بِالْقِسْطِ مِنَ النَّاسِ فَبَشِّرْهُمْ بِعَذَابٍ أَلِيمٍ
Al-Imran 21
Hakika wanao zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu, na wakawauwa Manabii pasipo haki, na wakawauwa watu waamrishao Haki wabashirie adhabu kali.


أُولَٰئِكَ الَّذِينَ حَبِطَتْ أَعْمَالُهُمْ فِي الدُّنْيَا وَالْآخِرَةِ وَمَا لَهُمْ مِنْ نَاصِرِينَ
Al-Imran 22
Hao ndio ambao vitendo vyao vimeharibika duniani na Akhera. Nao hawatapata wa kuwanusuru.


أَلَمْ تَرَ إِلَى الَّذِينَ أُوتُوا نَصِيبًا مِنَ الْكِتَابِ يُدْعَوْنَ إِلَىٰ كِتَابِ اللَّهِ لِيَحْكُمَ بَيْنَهُمْ ثُمَّ يَتَوَلَّىٰ فَرِيقٌ مِنْهُمْ وَهُمْ مُعْرِضُونَ
Al-Imran 23
Huwaoni wale walio pewa sehemu ya Kitabu? Wanaitwa kukiendea Kitabu cha Mwenyezi Mungu ili kiwahukumu baina yao; kisha baadhi yao wanageuka wanakikataa.


ذَٰلِكَ بِأَنَّهُمْ قَالُوا لَنْ تَمَسَّنَا النَّارُ إِلَّا أَيَّامًا مَعْدُودَاتٍ ۖ وَغَرَّهُمْ فِي دِينِهِمْ مَا كَانُوا يَفْتَرُونَ
Al-Imran 24
Hayo ni kwa sababu walisema: Hautatugusa Moto isipo kuwa kwa siku chache tu. Na yakawadanganya katika dini yao yale ambayo wenyewe waliyo kuwa wakiyazua.


فَكَيْفَ إِذَا جَمَعْنَاهُمْ لِيَوْمٍ لَا رَيْبَ فِيهِ وَوُفِّيَتْ كُلُّ نَفْسٍ مَا كَسَبَتْ وَهُمْ لَا يُظْلَمُونَ
Al-Imran 25
Basi itakuwaje tutakapo wakusanya Siku ambayo haina shaka kuja kwake? Na kila nafsi italipwa kama ilivyo chuma, bila ya kudhulumiwa.
 
Maandiko pia yanasema hivi..View attachment 2355052
Haya mkuu, kulingana na haya maandiko uliyo leta hapa Mungu ndio ame create vyote peace and evil ile kauli yako ya "God can not exist without Satan" ina maana kwamba Mungu kamuumba shetani ili washindane?? Maana naona wewe unaanza tena kutetea upande mmoja wa "Mungu' ndio creator wa vyote..je shetani yeye ni creator wa kipi hapo peace au evil? Au naye kaumbwa na Mungu?.....afu pia wewe inaonesha tena unaanza kutetea dini yako Imani kupitia maandiko yako ya"Biblia"..ambapo tayari una leta Udini...unakuwa huna uthibitisho kamili wa kuthibitisha zaidi ya kutumia maandiko yako..unapotumia "Biblia" kubishana unakaribisha tena Udini wa mtu mwenye Quran aje Aku kosoe.. maana hivi vitabu viwili ndio chanzo cha Ubishi wa kidini usio isha....
 
Mhala sana bhabhaa?

إِنَّ الدِّينَ عِنْدَ اللَّهِ الْإِسْلَامُ ۗ وَمَا اخْتَلَفَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ إِلَّا مِنْ بَعْدِ مَا جَاءَهُمُ الْعِلْمُ بَغْيًا بَيْنَهُمْ ۗ وَمَنْ يَكْفُرْ بِآيَاتِ اللَّهِ فَإِنَّ اللَّهَ سَرِيعُ الْحِسَابِ
Al-Imran 19
Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu.

فَإِنْ حَاجُّوكَ فَقُلْ أَسْلَمْتُ وَجْهِيَ لِلَّهِ وَمَنِ اتَّبَعَنِ ۗ وَقُلْ لِلَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ وَالْأُمِّيِّينَ أَأَسْلَمْتُمْ ۚ فَإِنْ أَسْلَمُوا فَقَدِ اهْتَدَوْا ۖ وَإِنْ تَوَلَّوْا فَإِنَّمَا عَلَيْكَ الْبَلَاغُ ۗ وَاللَّهُ بَصِيرٌ بِالْعِبَادِ
Al-Imran 20
Na pindi wakikuhoji, basi sema: Mimi nimeusalimisha uso wangu kumwelekea Mwenyezi Mungu, na kadhaalika walio nifuata. Na waambie walio pewa Kitabu na wasio na kisomo: Je! Mmesilimu? Wakisilimu basi wameongoka. Na wakikengeuka basi juu yako ni kufikisha ujumbe tu. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuwaona waja wake.


إِنَّ الَّذِينَ يَكْفُرُونَ بِآيَاتِ اللَّهِ وَيَقْتُلُونَ النَّبِيِّينَ بِغَيْرِ حَقٍّ وَيَقْتُلُونَ الَّذِينَ يَأْمُرُونَ بِالْقِسْطِ مِنَ النَّاسِ فَبَشِّرْهُمْ بِعَذَابٍ أَلِيمٍ
Al-Imran 21
Hakika wanao zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu, na wakawauwa Manabii pasipo haki, na wakawauwa watu waamrishao Haki wabashirie adhabu kali.


أُولَٰئِكَ الَّذِينَ حَبِطَتْ أَعْمَالُهُمْ فِي الدُّنْيَا وَالْآخِرَةِ وَمَا لَهُمْ مِنْ نَاصِرِينَ
Al-Imran 22
Hao ndio ambao vitendo vyao vimeharibika duniani na Akhera. Nao hawatapata wa kuwanusuru.


أَلَمْ تَرَ إِلَى الَّذِينَ أُوتُوا نَصِيبًا مِنَ الْكِتَابِ يُدْعَوْنَ إِلَىٰ كِتَابِ اللَّهِ لِيَحْكُمَ بَيْنَهُمْ ثُمَّ يَتَوَلَّىٰ فَرِيقٌ مِنْهُمْ وَهُمْ مُعْرِضُونَ
Al-Imran 23
Huwaoni wale walio pewa sehemu ya Kitabu? Wanaitwa kukiendea Kitabu cha Mwenyezi Mungu ili kiwahukumu baina yao; kisha baadhi yao wanageuka wanakikataa.


ذَٰلِكَ بِأَنَّهُمْ قَالُوا لَنْ تَمَسَّنَا النَّارُ إِلَّا أَيَّامًا مَعْدُودَاتٍ ۖ وَغَرَّهُمْ فِي دِينِهِمْ مَا كَانُوا يَفْتَرُونَ
Al-Imran 24
Hayo ni kwa sababu walisema: Hautatugusa Moto isipo kuwa kwa siku chache tu. Na yakawadanganya katika dini yao yale ambayo wenyewe waliyo kuwa wakiyazua.


فَكَيْفَ إِذَا جَمَعْنَاهُمْ لِيَوْمٍ لَا رَيْبَ فِيهِ وَوُفِّيَتْ كُلُّ نَفْسٍ مَا كَسَبَتْ وَهُمْ لَا يُظْلَمُونَ
Al-Imran 25
Basi itakuwaje tutakapo wakusanya Siku ambayo haina shaka kuja kwake? Na kila nafsi italipwa kama ilivyo chuma, bila ya kudhulumiwa.
Unachofanya wewe hapa tayari ni "Udini" unatumia maandiko yako ya kidini uliyo aminishwa tangu utotoni kupinga dini nyingine tayari wewe ni "mdini"..na ukisha kuwa mdini unaona dini yako ndio yenye ukweli na usahihi kuliko nyingine... tayari wewe mkuu una kipimo kidogo cha uelewa.....[emoji1][emoji1] usitumie maandiko ya kidini (Biblia na Quran) kujibu huu uzi maana utakuwa tena mdini unataka watu wengine waone Dini yako ni bora sana....
 
Mkuu,Hebu fuatilila huu uzi na usome hadi mwisho Nimeshauri na kutoa suluhu kwamba "Hakuna mwenye uthibitisho wa usahihi na ukweli wa dini yake zaidi ya kujikita na kuegemea kwenye maandiko ya kidini (Biblia na Quran) yanayo kinzana na kuleta Udini na ubishi usio Isha".. sitetei upande wowote ule Uislamu wala ukristo maana kutetea imani yako au dini yako ni "Udini"...mimi sijabishana kutetea dini yangu kwenye huu uzi....

Mimi nimeshaleta uthibitisho/aya "Uislamu ni dini ya haki/kweli, sasa na wewe nakuomba ututhibitishie/aya ndani ya biblia yenu isemayo "Ukristo ni dini ya haki/kweli" !!
 
Mimi nimeshaleta uthibitisho/aya "Uislamu ni dini ya haki/kweli, sasa na wewe nakuomba ututhibitishie/aya ndani ya biblia yenu isemayo "Ukristo ni dini ya haki/kweli" !!
Moja kwa moja wewe ni "Mdini" una Udini ndani yako! Unaona sasa unaanza kutetea dini yako kuendeleza Udini wewe una kipimo kidogo cha uelewa... Usitumie Maandiko ya kidini (Biblia na Quran) kuja kujibu huu Uzi wangu nitapingana na wewe vikali mno maana ni Udini huo... Biblia na Quran vyote ni vitabu vinavyo chochea Udini...na vinataka andiko moja lijione bora kuliko andiko lingine...Mimi sina dini ya ukristo wala uislamu... ukristo na uislamu ni "Udini" unao mgawa Mungu aonekane ni wa watu fulani tu..Mungu ni wa wote wenye dini na wasio na dini...usitumie maandiko yako ya kidini uliyo aminishwa kuona Mungu ana Udini kama wewe ulivyo na Udini wako...[emoji1][emoji1]
 
Back
Top Bottom