Mabishano ya kidini ni ujinga na kipimo cha uelewa mdogo

Mimi nimeshaleta uthibitisho/aya "Uislamu ni dini ya haki/kweli, sasa na wewe nakuomba ututhibitishie/aya ndani ya biblia yenu isemayo "Ukristo ni dini ya haki/kweli" !!
Hakuna sehemu mimi nimetumia Biblia na Quran maandiko ya "Udini" mimi sina dini sio mkristo wala muislamu...mimi ni mimi na Mungu ni mkuu wa wote asiye na dini na mwenye Udini pia kama wewe[emoji1]
 
Acha watu watumie uhuru wao wa kikatiba. Majadiliano yasio na matusi wala vitisho yafaa sana kwa watu kujifunza!
 

God cannot exist without satan = good cannot exist without evil.
 
God cannot exist without satan = good cannot exist without evil.
Sawa "good cannot exist without evil" swali je kipi kilianza Kabla ya mwenzake? Good or evil? Nipe majibu kwa pande zote mbili.kama ni Good kwa nini? Kama ni Evil? Kwa nini?...kama ni vyote Kwa pamoja nani alifanya vi exist katika upamoja huo?
 
Acha watu watumie uhuru wao wa kikatiba. Majadiliano yasio na matusi wala vitisho yafaa sana kwa watu kujifunza!
Majadiliano gani hayo mkuu unayo maanisha??? Ya kidini, kisiasa, kijamii, kielimu,kiafya,kiburudani.Au yapi hayo?...Uzi huu umejikita kwenye majadiliano ya " ubishi wa kidini" Usivyo na MAFUNZO wala faida yeyote kwa watu.
 
Majadiliano gani hayo mkuu unayo maanisha??? Ya kidini, kisiasa, kijamii, kielimu,kiafya,kiburudani.Au yapi hayo?...Uzi huu umejikita kwenye majadiliano ya " ubishi wa kidini" Usivyo na MAFUNZO wala faida yeyote kwa watu.
Mfano ukienda ule uzi wa Isa ni Yesu ama sio kuna mambo mengi ya kujifunza toka pande zote. Unaweza kuita ubishi but kama kuna facts zinawekwa watu wanajifunza.

As long as hakuna matusi wala kutishiana, uwe ubishi ama la kama watu wanaweka mambo ambayo wengine wanajifunza naona ni heri.

Hata kama ni pumba na hazimwumizi mto yeyote shida ni nini? Si unaachana na huo uzi unaenda uzi mwingine?

Kimsing sijaona haja ya malalamiko. Mungu hajawazuia. Katiba haijawazuia. Hutaweza kuwazuia! That's the bottom line!
 
Yeah! Ni kweli mkuu, watu wanajifunza na kila mtu anapaswa abaki kuheshimu dini ya mwenzake na asijaribu kutetea upande wa dini yake zaidi.., Maana atakachokuwa anatetea kinaweza kiwe sawa au kisiwe sawa kwa mwenzake wa dini ya pili.. tukubali kwamba binadamu tumeumbwa tofauti kiimani,kimaoni, kimtazamo..na Dini moja haiwezi kuwa bora zaidi ya nyingine.
 
Sawa "good cannot exist without evil" swali je kipi kilianza Kabla ya mwenzake? Good or evil? Nipe majibu kwa pande zote mbili.kama ni Good kwa nini? Kama ni Evil? Kwa nini?...kama ni vyote Kwa pamoja nani alifanya vi exist katika upamoja huo?
God and satan are the two sides of the same coin, same as good and evil, two sides of the same coin.
 
God and satan are the two sides of the same coin, same as good and evil, two sides of the same coin.
Mkuu..Sasa hapa una maanisha "Mungu ni shetani, na Shetani ni Mungu"..?? Kama hu maanishi hivi..swali niku ulize, Who is the owner of the Coin?
 
Unaona ni Jambo rahisi kwa kuwa umepewa uwezo wa kutembea.unaweza kuniambia walemavu wa miguu walikosea Nini mpaka wamenyimwa uwezo wa kutembea?
Sasa hapo ndio umeona miujiza ngoja nikueleze. Leo hii tukichukua sperm yako moja tunaweza ibadilisha na mtoto akazaliwa bila miguu. Hivyo vitu vikitokea kakawaida tunasema mutation mtu kuzaliwa bila miguu
 
Mimi nimeshaleta uthibitisho/aya "Uislamu ni dini ya haki/kweli, sasa na wewe nakuomba ututhibitishie/aya ndani ya biblia yenu isemayo "Ukristo ni dini ya haki/kweli" !!
Kupitia kitu gani imekuwa dini ya haki. Huko wafuasi wa Buddha nao wanaamini dini yao ni ya kweli na wana mambo ya peponi na motoni. Wahindu pia wanaamini dini yao ni ya kweli na wanazo pepo na motoni.

Na hamna baya lolote Mungu Allah na Jehova amewafanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…